Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Watia nia wafutiwa mishahara
Habari za Siasa

Watia nia wafutiwa mishahara

Spread the love

SERIKALI imeagiza kwamba, watumishi wa umma waliotia nia ya kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa, wasilipwe mishahara yao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Barua hiyo imetolewa na Ofisi ya Msajili wa Hazina tarehe 21 Julai 2020, likiwataka wakurugenzi na wakuu wote wa taasisi kuhakikisha, watumishi hao hawalipwi mishahara hiyo kuanzia Julai 2020.   

Neema Msonda, Msajili wa Hazina pia amewataka wakuu wa taasisi hizo kuandaa na kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa maelekezo hayo ifikapo tarehe 25 Julai 2020.

“Maelekezo haya ya kutolipa mshahara wa mwezi Julai, yanawahusu watumishi waliopatiwa vibali/ruhusa na waajiri wao pamoja na watumishi waliogombea bila vibali kutoka kwa waajiri wao au kupitia mamlaka stahiki,” imeeleza barua hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za Siasa

CCM yamkana mwenyekiti UVCCM aliyetaka wapinzani wapotezwe

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejitenga na kauli ya mwenyekiti...

error: Content is protected !!