Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Uchaguzi Mkuu Tanzania Jumatano Oktoba 28
Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Mkuu Tanzania Jumatano Oktoba 28

Mwenyekiti wa NEC, Semistocles Kaijage
Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi  (NEC) nchini Tanzania imesema, Uchaguzi Mkuu wa udiwani, ubunge na Urais wa Tanzania utafanyika Jumatano Oktoba 28, 2020. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam … (endelea).

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Jumanne tarehe 21 Julai 2020, Mwenyekiti wa NEC, Semistocles Kaijage amesema uteuzi wa wagombea itakuwa Agosti 25,2020 na kampeni zitaanza Agosti 26 hadi Oktoba 27,2020.

Hii itakuwa mara ya kwanza Uchaguzi Mkuu unafanyika katikati ya wiki yaani Jumatano tofauti na chaguzi zilizopita ambazo zilikwua zikifanyika Jumapili.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online na MwanaHALISI TV

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Mwakyembe : Zanzibar waliongoza kutaka Serikali 2 za muungano

Spread the love  MWANASIASA mkongwe nchini, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema mjadala wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

error: Content is protected !!