Monday , 6 May 2024

Kitengo

Categorizing posts based on content

Michezo

Historia ya mpira na utajiri wake

  HISTORIA ya mpira wa miguu ilikuwepo tangu karne ya 15C, lakini ilisambaa Zaidi karne ya 19C huko Uingereza ambapo mpira wa miguu...

Michezo

Simulizi za kale ndani ya Meridianbet Kasino

  BILA shaka simulizi za kale huwa zina sisimua na kufurahisha haswa unapopata mtu anayejua kusimulia au stori nzuri iliyoandikwa kwenye mtiririko mzuri...

Kimataifa

“Diplomasia ya Yuan China ni aina mpya ya mtego wa madeni

  INAELEZWA kuwa China imekuja na mkakati mpya wa kupunguza ushawishi wa Marekani pamoja na kuishusha dola kwa kuanzisha Diplomasia ya Yuan ambapo...

Michezo

Wiki ya Moto Man City vs Bayern, Madrid vs Chelsea Odds kubwa Leo

  ZILIANZA timu 32, zikafika 16, na hatimaye zimebaki 8 katika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, unatabiri timu zipi...

Michezo

Aliyebeti kwa 20,000 na kushinda Mil 26 atoa tamko

  KILA mtu ana siku yake ya kutoboa kwenye Maisha, kama haijafika basi ipo karibu kufika ongeza bidi na juhudi piga sala na...

Michezo

Odds kubwa Meridianbet wikiendi bomba

  APRILI ni mwezi uliobarikiwa sana ndio maana Meridianbet wanasema ni mwezi wa kutoboa, wakati ukisherehekea Sikukuu ya Pasaka nakukumbusha kwamba unahitaji uwe...

Kimataifa

Muuaji aliyetoroka jela Sauzi adakwa kimafia Arusha

MHALIFU wa makosa ya mauaji na ubakaji kutoka Afrika Kusini, Thabo Bester amekamatwa jijini Arusha nchini baada ya kusakwa kwa muda mrefu toka...

Kimataifa

Lori laparamia na kuua madereva bodaboda 10

WATU 10 wanadaiwa kupoteza maisha baada ya lori lililokuwa likisafirisha changarawe kupoteza mwelekeo na kuparamia kijiwe cha bodaboda katika eneo lao mjini Migori...

Kimataifa

Waziri aburuzwa kortini kwa kuuza mabati ya msaada

  MAHAKAMA nchini Uganda imemfungulia rasmi mashtaka ya ufisadi na rushwa Waziri Marie Goretti Kitutu kutokana na tuhuma za kuuza mabati 14,500 ya...

Kimataifa

Rwanda yaadhimisha miaka 29 ya mauaji ya Kimbari

  WANANCHI wa Rwanda leo Ijumaa, tarehe 7 Aprili 2023, wanaadhimisha miaka 29 ya mauaji ya Kimbari, ambapo Wahutu wenye msimamo mkali waliwaua...

Kimataifa

Mpango wa Ukraine, Marekani na NATO kushambulia Urusi wavuja kwenye mitandao ya kijamii

  PICHA za hati za siri kutoka Pentagon na NATO juu ya utayarishaji wa shambulio la Ukraine dhidi ya Urusi zimevuja katika mitandao...

Kimataifa

Israel yashambulia Lebanon, Gaza baada yakushambuliwa kwa roketi

  JESHI la Israel limesema kuwa limeshambulia maeneo yenye uhusiano na kundi la wapiganaji wa Palestina Hamas ndani ya Lebanon na katika Ukanda...

Michezo

Uzinduzi wa duka jipya la Meridianbet Posta

  KAMPUNI ya Meridianbet Tanzania wanaendelea walipoishia kwa kuhakikisha wateja wake wanapata huduma popote na ndio sababu ya kuendelea kusambaza maduka, Na leo...

Afya

Ujenzi wa zahanati kwa ufadhili wa TASAF wafikia asilimia 95

  UJENZI wa mradi wa Zahanati ya Mwanalugali A Kibaha Mjini unaofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF itakayowahudhumia wakati 3367 umefikia asilimia...

Michezo

Kasino ya mtandaoni yaifanya stori ya Roman Empire kuwa mchezo

  FURAHIA sloti mpya kutoka Kasino ya Mtandaoni ikielezea Roma ya Kale! Cheza kipekee katika sloti ya Meridianbet Veni Vidi Vici! Miongoni mwa...

Afya

Serikali yatenga Sh. 15 bilioni kukamilisha maboma 300 ya zahanati

  SERIKALI imetenga kiasi cha fedha Sh. 15 bilioni, katika mwaka wa fedha wa 2022/23, kwa ajili ya ukamilishaji ujenzi wa maboma ya...

Kimataifa

Trump ajitetea mahakamani kesi ya ngono, alia kuhujumiwa urais

  RAIS wa zamani Marekani, Donald Trump jana Jumanne amefikishwa mahakamani kwa mashtaka ya kumlipa mwanamke mmoja nyota wa filamu za ngono kabla...

Michezo

Meridianbet yaja na promosheni ya utajiri

  USIFANYE makosa katika kuutafuta utajiri haswa kwenye harakati zako za kila siku, hata iweje ishi na Imani ya kuwa siku moja utatoboa...

Afya

Serikali: Tumedhibiti virusi vya Murburg

  SERIKALI ya Tanzania, imesema imefanikiwa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa virusi vya Murburg, huku ikiahidi kuutokomeza kwa kufuata miongozo ya Shirika la...

Kimataifa

Kenya kurusha satelaiti yake ya kwanza ya uchunguzi wa dunia

  KENYA inajiandaa kurusha satelaiti yake ya kwanza kabisa ya uchunguzi wa dunia katika kile kinachoelezwa kuwa mafanikio ya kihistoria katika juhudi za...

AfyaHabari za Siasa

Wabunge walia na serikali uchakavu vituo vya afya

  BAADHI ya wabunge wameihoji Serikali ina mpango gani wa kuboresha vituo vya afya chakavu, ili viweze kutoa huduma bora za afya kwa...

Michezo

Mwarabu mshindi wa Tsh 54m apatikana

NI stori ambayo inafanya vizuri sana kwa vijana wengi wenye ndoto za kumiliki magari, nyumba na kusimamia biashara zao, habari za Mwarabu mshindi...

Kimataifa

Benki ya Dunia yaonesha wasiwasi juu mikopo ya China kwa Afrika

  RAIS wa Benki ya Dunia (WB), David Malpass amesema ana wasiwasi kuhusu baadhi ya mikopo ambayo China imekuwa ikitoa kwa nchi zinazoendelea...

Kimataifa

Marekani yatia mguu maaandamano Kenya, yatoa maagizo kwa Rais Ruto, Odinga

  Mabalozi kutoka nchi sita za Magharibi, zikiongozwa na Marekani, zimeonesha wasiwasi kuhusu maandamano yanayoendelea nchini Kenya na kutaka kuwepo kwa maridhiano kati...

Kimataifa

Papa Francis alazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu

  KIONGOZI wa Kanisa katoliki duniani, Papa Francis jana Jumatano amelazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu baada ya kukabiliwa na matatizo ya...

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea nyumba ambayo aliwahi kuishi yeye na babu yake miaka ya 1960, jambo ambalo...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali kwa kuzifungia akaunti za watu wa Urusi kutokana na operesheni zake za kijeshi...

Kimataifa

Netanyau asitisha mipango yenye utata marekebisho mfumo wa sheria

  WAZIRI Mkuu wa nchini Israel, Benjamin Netanyahu amesema atachelewesha sehemu muhimu ya mipango yenye utata ya kurekebisha mfumo wa sheria ambao umefanya...

ElimuHabari

Serikali yataka vijana  wajiunge na program atamizi ya biashara CBE

  SERIKALI imewahamasisha vijana kujiunga na program atamizi inayotolewa na Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), ili wapate ujuzi wa biashara na hatimaye...

Kimataifa

Raila ahutubia waandamanaji, mabomu yarindima

MSAFARA wa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga umepita katika eneo la Kawangware jijini Nairobi nchini Kenya na kupata fursa ya...

Kimataifa

Sheria ya kudhibiti maandamano yaandaliwa kumfunga Odinga ‘speed governor’

WIZARA ya mambo ya ndani ya Kenya inapendekeza mabadiliko ya sheria za usalama ambayo yatafanya iwe vigumu kwa watu kufanya maandamano. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Washirika wa Odinga wapokonywa walinzi

SERIKALI ya Kenya imedaiwa kuwaondoa walinzi wa washirika wa kinara wa muungano wa upinzani nchini humo unaofahamika kama ‘Azimio la Umoja’ wanaoshiriki maandamano...

Kimataifa

Makamu wa Rais wa Marekani awasili Ghana

MAKAMU wa Rais wa Marekani Kamala Harris, amewasili hii jana tarehe 26 Machi 2023 mjini Accra nchini Ghana ambako amesema ana matumaini na...

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa kwa watumishi kazini na hata jamii majumbani ili kuboresha Afya ya mwili kupambana...

Kimataifa

Rwanda kufanya uchaguzi wa rais na wabunge kwa pamoja

BARAZA la mawaziri la Rwanda limesema ofisi ya waziri mkuu imeamua kuoanisha tarehe za uchaguzi wa rais na wabunge nchini humo. Inaripoti Mitandao...

Kimataifa

Mpinzani mkuu wa Rais Kagame aachiwa huru

  PAUL Rusesabagina, aliyewahi kuripotiwa kama ‘shujaa’ katika filamu ya Hollywood “Hotel Rwanda,” baadaye akahukumiwa kifungo cha miaka 25 gerezani na serikali ya...

Kimataifa

Rais Tshisekedi amteua kiongozi wa wanamgambo kuwa Waziri wa Ulinzi

  RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi, amemteua aliyekuwa kiongozi wa wanamgambo wa DR Congo kuwa waziri wa ulinzi. Anaripoti...

AfyaHabari

Ugonjwa wa ajabu ulioua watano Bukoka ni Marburg

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa ajabu uliosababisha vifo vya watu watano kati ya wanane waliougua wilayani Bukoba Vijijini mkoani Kagera...

Kimataifa

Raila Odinga: Tutafanya maandamano makubwa mara mbili kwa wiki

KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya, Raila Amollo Odinga ametangaza kuwa muungano wa Azimio la Umoja (One Kenya), sasa utafanya maandamano makubwa mara mbili...

Kimataifa

Magharibi kuwekeza silaha Indo-Pacific, China yachochea

KUVUNJIKA ushirhikiano wa China na Magharibi uliodumu kwa takribani kwa miaka 20 katika mkoa wa Bahari ya China Kusini, umechochea kupanda kwa matumizi...

Kimataifa

Ruto amlaumu Odinga kujaribu kuanzisha mgogoro kwa mara ya pili

  RAIS wa Kenya William Ruto amesema kwamba hatakubali “kutoijali nchi” baada ya maandamano ya ghasia kukumba mji mkuu, Nairobi na mji wa...

Kimataifa

Putin, Xi Jinping kujadili mpango kumaliza vita nchini Ukraine

  Vladimir Putin amesema atajadili mpango wenye vipengele 12 wa Xi Jinping wa “kusuluhisha mgogoro mkubwa nchini Ukraine”, wakati wa ziara inayotarajiwa mjini...

Kimataifa

Xi Jinping awasili Urusi, kufanya mazungumzo na Putin

  RAIS wa uchini Xi Jinping amewasili sasa nchini Urusi, na kulingana na Shirika la habari la Urusi TASS news , Xi Jinping...

Kimataifa

Maandamano Kenya, Afrika Kusini yashika kasi, wapinzani wakishikiliwa

  MAANDAMANO ya kupinga serikali zilizoko madarakani nchini Kenya na Afrika Kusini, yameendelea kushika kasi katika mataifa hayo, huku baadhi ya walioandamana wakitiwa...

Elimu

Mfuko wa Jimbo Musoma Vijijini wamwaga mamilioni ujenzi maabara za sekondari

  MFUKO wa Jimbo la Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, umetoa fedha kiasi cha Sh. 75.8 milioni, kwa ajili ya ujenzi na ukamilishaji...

Kimataifa

Maandamano Afrika Kusini: Tanzania yatahadharisha raia wake

  WAKATI maandamano yaliyoitishwa na Chama cha upinzani Afrika Kusini, Economic Freedom Fighters, yakiendelea kufanyika katika maeneo mbalimbali , Ubalozi wa Tanzania nchini...

Kimataifa

ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa rais Vladmir Putin wa Urusi

  MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita (ICC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Urusi Vladimir Putin. Vinaripoti Vyombo vya Habari...

Kimataifa

Puto la kijasusi la China halikuleta tishio la usalama Marekani, lilifichua udhaifu wa ulinzi

  PUTO la kijasusi la China limetajwa kuwa halikuweza kusababisha tishio la usalama nchini Marekani badala yake limeweza kugundua udhaifu wa kijeshi Marekani...

AfyaHabariHabari

Ugonjwa wa ajabu wadaiwa kuua watano Kagera, Serikali yatoa tahadhari

JUMLA ya watu watano wanaidaiwa kufariki dunia  katika vijiji vya Bulinda na Butayaibega vilivyopo kata ya Maruku na Kanyangereko wilaya ya Bukoba vijijini...

Kimataifa

Mwanaye Museveni: Nimechoka kusubiri, nitagombea urais 2026

MTOTO wa kiume wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba amesema  akiwa kama kijana amechoka kusubiri na sasa atagombea kiti cha...

error: Content is protected !!