Saturday , 27 April 2024

Elimu

Elimu

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi ya uzalishaji wahitimu katika taaluma ambazo nafasi za ajira zimepungua ikiwemo walimu,...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Naibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Ridhiwani Kikwete amesema katika mwaka huu wa fedha unaoishia 2023/2024, Serikali imepanga...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya Zaidi ya shilingi milioni 29.7 kwa shule sita zilizopo katika...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (Geita Boys) kwa lengo...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa wanawake wanaofanya kazi katika Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML Ladies) wametoa...

ElimuHabari Mchanganyiko

RC Songwe ang’aka kesi 2 kati ya 60 za mafataki kuamuliwa

Mkuu wa mkoa wa Songwe Dk. Fransis Michael ameshangazwa na mienendo ya kesi zinazowahusu watu wanaodaiwa kuwapa ujauzito wanafunzi na kukatisha masomo yao,...

Elimu

Takukuru wambana Mwalimu mkuu, atema bungo

Mwalimu Mkuu wa shule msingi Hanihani, kata ya Igunga wilayani Igunga mkoani Tabora, Joseph Luyega aliyekuwa anatuhumiwa na baadhi wa wazazi wanaosomesha watoto...

ElimuHabari za Siasa

Prof Muhongo ataka ubunifu mitaala mipya ya elimu

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha  maarifa, ujuzi, uvumbuzi na udadisi vinazingatiwa kwenye mitaala mipya ya elimu ili kupata wahitimu watakaoweza kushindana katika soko la ajira...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa saidizi kwa walimu, wanafunzi wenye ulemavu Ilala

BENKI ya NMB, imekabidhi msaada wa vifaa saidizi kwa walimu na wanafunzi wenye ulemavu wa Shule za Msingi Mzambarauni na Uhuru Mchanganyiko na...

Elimu

St. Mary’s Mbezi Beach High School yafanya maajabu kidato cha nne

  WANAFUNZI waliomaliza  kidato cha nne kwenye shule ya sekondari St Mary’ s Mbezi Beach na kufaulu kwa daraja la kwanza wamepewa zawadi...

ElimuHabari Mchanganyiko

CBE yaanza kutoa mafunzo wahudumu wa mabasi

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeanza kutoa mafunzo kwa wahudumu wa kwenye mabasi ya abiria ili kuifanya kazi hiyo kuheshimika kama zilivyo...

ElimuTangulizi

Haya hapa matokeo ya mtihani kidato pili, darasa la nne

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), leo tarehe 7 Januari 2024, limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne wa...

ElimuHabari za Siasa

NBC yaunga mkono ufaulu somo la hesabu Ubungo

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, kwa kufadhili mpango wa kuchochea...

ElimuTangulizi

Haya hapa majina wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2024

Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa ametangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza...

ElimuHabari za Siasa

Mwalimu mkuu aomba kuhamishwa kisa uchakavu wa shule

MKUU wa shule ya sekondari Udinde iliyopo kijiji na kata ya Udinde katika Halmashauri ya wilaya Songwe mkoani Songwe, Mwalimu Amani Kilagoa amemuomba...

Elimu

Wananchi waomba msaada ukamilishaji ujenzi wa sekondari

WANANCHI wa Kijiji cha Muhoji, wilayani Musoma Mkoa wa Mara, wamewaangukia wadau wakiwaomba wawasadie michango ya hali na mali ili wakamilishe ujenzi wa...

ElimuTangulizi

Mwalimu Maganga Japhet asimamishwa kazi kwa utoro

Mwalimu Maganga Japhet amesimamishwa kazi na Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) kutokana na tuhuma za utoro kazini na kukaidi au kukataa kutekeleza...

ElimuHabari Mchanganyiko

CEO NMB awataka vijana kunoa ujuzi wao

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri vijana nchini Tanzania kunoa ujuzi wao wa karne ya 21 ili kufanikiwa katika...

Elimu

150 wahitimu Shahada ya Udaktari HKMU

CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali itoe ruzuku kwa vyuo vikuu vinafsi ili kuvijengea uwezo kuboresha miundombinu yake, kusomesha...

Elimu

Aliyehitimu udaktari HKMU na miaka 21 atoa siri

MHITIMU wa fani ya udaktari ambaye ni mdogo kuwahi kutokea tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert kairuki (HKMU), Ahlam Azam...

Elimu

Janeth Mbene apongeza HKMU, ataka wahitimu wajiajiri

WAHITIMU wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU),  watakiwa kutumia elimu waliyoipata kufanya tafiti na kutatua changamoto mbalimbali zilizoko kwenye jamii....

Elimu

Prof. Mkenda avitaka vyuo vikuu Afrika kujikita katika tafiti

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Prof. Adolf Mkenda amevitaka vyuo vikuu barani Afrika, kujikita katika kufanya tafiti zitakazojibu changamoto za...

ElimuTangulizi

Tazama matokeo darasa la saba 2023 hapa

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Alhamisi limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika tarehe 13-14 Septemba mwaka huu. Anaripoti Mwandishi...

Elimu

Shule za St Mary’s zang’ara matokeo darasa la saba

SHULE za St Mary’s nchini zimeendelea kufanya vizuri kwenye mitihani ya darasa la saba kwa wanafunzi wake kupata wastani wa alama A kwenye...

ElimuHabari Mchanganyiko

Tume ya TEHAMA yaanika mikakati kuendana na mabadiliko ya kidijitali

KATIKA kujenga uwezo kwa kampuni ndogondogo zinazojishughulisha masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Tume ya Tehama (ICTC) inatarajia kujenga vituo katika...

ElimuHabari za Siasa

‘Mafataki’ wamchefua Majaliwa, 2 kati ya 59 wamefikishwa mahakamani

WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa ameeleza kushangazwa na idadi ya kesi mbili pekee kufikishwa mahakamani kati ya kesi 59 zinazohusu wanafunzi waliofanyiwa ukatili na...

ElimuTangulizi

Twibhoki, Graiyaki zafungiwa, Mother of Mercy, St. Marys’ Mbezi Beach zapewa onyo

BARAZA la Mitihani la Tanzania limefungia vituo vya mtihani viwili ambavyo ni Twibhoki (PS0904095) na Graiyaki (PS0904122) vyote vya Halmashauri ya Serengeti mkoa...

ElimuTangulizi

Wasichana, wavulana wakabana koo ufaulu darasa la 7

TOFAUTI na miaka iliyopita, katika matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi 2023 (darasa la saba) yaliyotangazwa leo na Baraza la Mitihani...

ElimuHabari Mchanganyiko

TADB yawashika mkono wahitimu waliofanya vizuri SUA

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imewapongeza wahitimu bora wa Chuo Kikuu cha Kilimo Cha Sokoine (SUA) cha Morogoro kwa kuwapatia zawadi...

Elimu

Mwanafunzi aliyeacha shule kwa kukosa fedha za chakula arejeshwa

MKUU wa Wilaya ya lleje, Farida Mgomi kwa kushirikiana na wazazi wamefanikiwa kumrejesha shuleni, Irene Mwazembe (15), mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika...

ElimuHabari za Siasa

Wanafunzi waliofanya mtihani wakiwa na watoto wachanga wamkuna Jokate

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzani (UWT), Jokate Mwegelo amesema hatua ya wanafunzi walioruhusiwa kufanya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2023...

Elimu

CBE yaingia makubaliano na RSM kutoa mafunzo ya elimu ya fedha

KATIKA jitihada za kuandaa wahitimu wanaoendana na soko la ajira duniani, Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeanzisha ushirikiano na kampuni ya RSM...

Elimu

CBE, DSE kuwapa wanafunzi mbinu za masoko

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeingia makubaliano na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) ya kuwapa mafunzo ya vitendo wanafunzi...

Elimu

Wanafunzi Hazina waonyesha vipaji vya hali ya juu.

WANAFUNZI wa shule ya msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam wameonyesha vipaji vya aina yake walipokuwa kwenye mahafali ya darasa la...

Elimu

Shule ya Hazina kuendelea kuwa juu kitaaluma

SHULE ya Msingi Hazina imeahidi kuendelea kuwa juu kitaaluma kwa kuhakikisha inakuwa na walimu mahiri na wenye wito wa kazi ya ualimu. Anaripoti...

ElimuHabari Mchanganyiko

Walimu almanusra watwangane ngumi kisa kujitoa CWT, wamvaa mkurugenzi

Baadhi ya Walimu wa shule za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe ‘wamemvamia’  Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa...

Elimu

CBE yapongezwa kwa program za uanagenzi na atamizi

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema kuanzia mwakani kitaanza kufundisha baadhi ya kozi zake kwa njia ya mtandao ili kuwawezesha watu wengi...

Elimu

Mahafali ya CBE yatia fora Dar

SERIKALI imevitaka vyuo vikuu kuwa na program atamizi na zile za uanagenzi ili kuzalisha wataalamu wenye uwezo wa kujiajiri na kuajiri wengine badala...

Elimu

RC Songwe ageuka mbogo Sekondari Ileje kukosa maji, ampigia simu Meneja RUWASA

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dk. Francis Michael ameagiza Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) mkoani Songwe, kuhakikisha Shule ya...

Elimu

Muhongo achangia mifuko 150 ya saruji ujenzi sekondari Rukuba

WANANCHI wa Kisiwa cha Rukuba, kilichopo Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, wameamua kuanza ujenzi wa shule ya sekondari kwa nguvu zao, ili...

ElimuTangulizi

Sera mpya ya elimu yafuta darasa la saba, vigezo kusomea ualimu form VI

SERIKALI imekamilisha kazi ya mapitio ya mitaala ya elimu kuanzia ngazi ya msingi, sekondari hadi ualimu, huku ikiendelea na mapitio ya mitaala na...

Elimu

My Legacy yagusa shule 28 Kinondoni

  MRADI unaohamasisha utunzaji wa mazingira na hedhi salama ( Wash), unaotekelezwa na Taasisi ya Urithi Wangu (My Legacy), umegusa wanafunzi katika shule...

Elimu

Walimu 29,879 waajiriwa miaka 2 ya Rais Samia

  WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema tangu Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani, Serikali imeajiri jumla ya walimu 29,879 wa Shule...

Elimu

St Mary’s yaahidi kuendelea kuwa juu kitaaluma

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeahidi kuiunganisha shule ya St Mary’s Mbezi Beach na Maktaba Kuu ya Taifa ili wanafunzi wa shule...

Elimu

Vipaji St Mary’s  vyawashangaza wazazi

SHULE ya Msingi na Sekondari St. Marys Mbezi Beach imesema imejenga viwanja vya michezo shuleni hapo kama moja ya njia ya kuhamasisha michezo...

Elimu

Bihimba asaidi ujenzi shule, wadau wengine waitwa

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Nasoro Mpaya, imesaidia ujenzi wa ukuta wa shule ya Sekondari ya Abbuy Jumaa, iliyoko Kivule jijini Dar es Salaam, kwa...

Elimu

Wanafunzi Sekondari ya Samia waomba uzio kudhibiti mafataki

WANAFUNZI kutoka mikoa mbalimbali nchini walioanza masomo ya kidato cha tano katika shule mpya ya wasichana Dk. Samia -SSH iliyopo kijiji cha Namole ...

Elimu

Mitihani darasa la nne, kidato cha pili kufutwa Zanzibar

SERIKALI ya Zanzibar, imetangaza mpango wake wa kufuta mitihani ya darasa la nne kwa shule za msingi  na kidato cha pili kwa sekondari,...

Elimu

Ujenzi vyuo vya VETA washika kasi

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Anthony Kasore, amesema Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan,...

Elimu

Samia:Bajeti ijayo tutazingatia ujenzi nyumba za walimu

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inafanyia kazi changamoto ya upungufu wa walimu nchini, huku akiweka wazi mpango wake wa kutaka...

error: Content is protected !!