Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Mitihani darasa la nne, kidato cha pili kufutwa Zanzibar
Elimu

Mitihani darasa la nne, kidato cha pili kufutwa Zanzibar

Spread the love

SERIKALI ya Zanzibar, imetangaza mpango wake wa kufuta mitihani ya darasa la nne kwa shule za msingi  na kidato cha pili kwa sekondari, ili kukidhi matakwa ya sera mpya ya elimu visiwani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea).

Mageuzi hayo ya elimu yametangazwa leo tarehe 18 Oktoba 2023 na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Lela Mohammed Musa, Zanzibar.

“Serikali itaondoa mitihani hiyo, imeamua kufuta hii mitihani kwanza sio kwamba inafanya mwanafubzi whitinu au inamfanya asiendelee kusoma. Lengo la mitihani ni kumpima kafaulu au hakufaulu, tutaandaa utaratibu mzuri,” amesema Lela.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

error: Content is protected !!