Monday , 11 December 2023
Home Kitengo Maisha Elimu Mitihani darasa la nne, kidato cha pili kufutwa Zanzibar
Elimu

Mitihani darasa la nne, kidato cha pili kufutwa Zanzibar

Spread the love

SERIKALI ya Zanzibar, imetangaza mpango wake wa kufuta mitihani ya darasa la nne kwa shule za msingi  na kidato cha pili kwa sekondari, ili kukidhi matakwa ya sera mpya ya elimu visiwani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea).

Mageuzi hayo ya elimu yametangazwa leo tarehe 18 Oktoba 2023 na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Lela Mohammed Musa, Zanzibar.

“Serikali itaondoa mitihani hiyo, imeamua kufuta hii mitihani kwanza sio kwamba inafanya mwanafubzi whitinu au inamfanya asiendelee kusoma. Lengo la mitihani ni kumpima kafaulu au hakufaulu, tutaandaa utaratibu mzuri,” amesema Lela.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuTangulizi

Mwalimu Maganga Japhet asimamishwa kazi kwa utoro

Spread the loveMwalimu Maganga Japhet amesimamishwa kazi na Tume ya Utumishi wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

CEO NMB awataka vijana kunoa ujuzi wao

Spread the loveAfisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri...

Elimu

150 wahitimu Shahada ya Udaktari HKMU

Spread the loveCHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali...

Elimu

Aliyehitimu udaktari HKMU na miaka 21 atoa siri

Spread the love MHITIMU wa fani ya udaktari ambaye ni mdogo kuwahi...

error: Content is protected !!