ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro amekula matapishi yake baada ya kutangaza kuunga mkono juhudi za...
By Faki SosiAugust 12, 2018MWANAMUZIKI wa kizazi kipya Nasibu Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnum leo tarehe 9 Agosti, 2018 amezua kizaazaa kwenye msiba wa Amri...
By Faki SosiAugust 9, 2018RAIS wa Tanzania, John Magufuli na Rais mstaafu Jakaya Kikwete amewaongoza mamia ya watanzania kuaga mwili wa marehemu muigizaji wa vichekesho Amri Athumani...
By Faki SosiAugust 9, 2018MUIGIZAJI maarufu Amir Athuman (Mzee Majuto) amefariki dunia usiku huu kwenye Hospital ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akitibiwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiAugust 9, 2018SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu anasema, anakwenda Hijja leo Agosti 02, 2018 pamoja na kutekeleza Nguzo ya...
By Faki SosiAugust 2, 2018VUGUVUGU la madiwani wa upinzani kukimbilia Chama Cha Mapinduzi (CCM) halijapoa, jimboni Hai, Kilimanjaro katika Kata ya Kia, diwani wake amehamia chama tawala....
By Faki SosiAugust 2, 2018MTOTO wa mbunge wa Chadema katika jimbo la Tarime Mjini, Easter Matiko, ameibua mjadala kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kufuatia mama yake...
By Faki SosiAugust 2, 2018VYAMA vingi vya siasa vimejaa ubinafsi, tamaa ya madaraka na kutaka kushinda uchaguzi ili kutawala. Ajenda hiyo ni rahisi mno. Anaandika Faki Sosi...
By Faki SosiAugust 2, 2018CHAMA cha ACT-Wazalendo wamesisitiza kuwa Kiongozi wao, Zitto Kabwe hatatii agizo lililotolewa na Kangi Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani, kwani hana mamlaka...
By Faki SosiAugust 1, 2018SIKU moja baada ya Zitto Kabwe, kumweleza Kangi Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kwamba, ashughulike na mbwa wa polisi, hatimaye...
By Faki SosiAugust 1, 2018OMARY Kumbilamoto, Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, ambaye pia ni Diwani wa kata ya Vingunguti kupitia tiketi ya Chama cha Wananchi CUF,...
By Faki SosiAugust 1, 2018EDWARD Lowassa, Wziri Mkuu Mstaafu ameonesha kuteswa na hama hama ya wapinzani kuelekea Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Lowassa ambaye ni...
By Faki SosiJuly 31, 2018ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini amegomea wito uliotolewa na Kangi Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Waziri wa kujisalimisha kwa...
By Faki SosiJuly 31, 2018MWENYEKITI wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amepewa onyo na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la kutohudhuria mahakamani hapo kwa mara mbili....
By Faki SosiJuly 31, 2018SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema kuwa, hakuna wa kumng’oa ndani ya chama hicho. Anaandika Faki Sosi…(endelea)....
By Faki SosiJuly 30, 2018MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeamuru gazeti la kila wiki la MwanaHALISI ambalo lilifungiwa na serikali, liendelee kuchapishwa. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). ...
By Faki SosiJuly 30, 2018WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amezindua Master Plan (Mpango Mji) wa jiji la Dar es Salaam. Anaripoti Faki...
By Faki SosiJuly 27, 2018CHRISTOPHER Chiza, mgombea mteule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Buyungu, Kigoma anakwenda kuumbuka. Anaripoti Faki Sosi …...
By Faki SosiJuly 27, 2018MWENYEKITI wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP), Abdull Nondo ametiwa mbaroni na jeshi la Polisi usiku kuamkia leo. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiJuly 27, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imepanga kuanza kusikiliza kesi ya jinai inayowakabili viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na...
By Faki SosiJuly 25, 2018TUME ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imeeleza kuwa, Virusi Vinavyosababisha Ukimwi (VVU) vinaendelea kusambaa na kwamba, wananchi wanapaswa kuwa na tahadhari. Anaripoti...
By Faki SosiJuly 24, 2018WIMBI la baadhi ya madiwani kukihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), linatarajiwa kuendelea kutikisa jiji la Mbeya. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiJuly 24, 2018SERIKALI ya Tanzania inaweza kuingia katika mgogoro katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama haitatii maagizo waliyopewa na Mahakama ya Afrika Mashariki ya kulifungulia...
By Faki SosiJuly 22, 2018CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani Mbeya, kimetangaza kuwavua uanachama madiwani wake watatu kwa madai ya “utovu wa nidhamu na kukiuka taratibu...
By Faki SosiJuly 21, 2018Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kulipa faini ya Sh 1Milioni kwa kila kosa au kwenda jela mwaka...
By Faki SosiJuly 20, 2018BARAZA la Mitihani la Taifa (Necta), limetangaza matokeo ya kidato cha sita leo Julai 13 na kuzitaja shule zilizoshika mkia kuwa ni pamoja...
By Faki SosiJuly 13, 2018MWENYEKITI wa Mtandao wa Wanafunzi Nchini (TSNP), Abdul Nondo amekitaja kikwazo kingine kwenye mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu ni Wakala wa Usajili,...
By Faki SosiJuly 12, 2018KAMBI mbili ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) zinaendea kuminyana huku kila moja ikishindwa kujua tamati ya mgogoro ndani ya chama hicho. Anaripoti Faki...
By Faki SosiJuly 10, 2018CHAMA cha Wananchi (CUF), kimethibitisha kuwa hakitashiriki uchaguzi mdogo wa marudio katika jimbo la Buyungu, mkoani Kigoma, Jang’ombe Unguja na kata 79 Tanzania...
By Faki SosiJuly 8, 2018MWENYEKITI wa Muda wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatito ameendelea kubaki mikononi mwa Polisi huku akituhumiwa kwa kusambaza ujumbe...
By Faki SosiJuly 6, 2018CHAMA cha Wananchi CUF kimechambua bajeti ya serikali ya mwaka 2018/19 kuwa ni bajeti hiyo ni hewa na haina muafaka kwenye kuinua uchumi...
By Faki SosiJune 24, 2018MGOGORO wa Qatar na mataifa jirani unazidi kukua na sasa taifa hilo (Qatar) limezuia kuingizwa biashara kutoka Saudi Arabia, Emirates, Bahrain na Misri....
By Faki SosiMay 28, 2018SHIRIKA la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) linatuhumiwa kuwalipisha wananchi malipo ya kuingiziwa umeme majunbani mwao bila kuwapa huduma husika kama ilivyo ahidi....
By Faki SosiMay 28, 2018MENEJA wa msanii wa muziki wa Bongo fleva, Nasib Abdul ‘Diamond,’ Hamis Tale ‘Babu Tale’ amepelekwa rumande baada ya kushindwa kulipa fedha kama...
By Faki SosiMay 23, 2018BAJETI ya Wizara ya Kilimo iliyowasilishwa bungeni mjini Dodoma jana Jumanne, ni mzigo kwa wananchi na imelenga kuwanyonya wakulima. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiMay 16, 2018CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeeleza kuwa uchambuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) juu ya ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kimepotosha...
By Faki SosiApril 19, 2018MWENYEKITI wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo ameitwa Makao Makuu ya Uhamiaji kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu uraia wake. Anaripoti Faki...
By Faki SosiApril 4, 2018MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wenzake sita akiwemo Halima Mdee, Mbunge wa Kawe aliyeunganishwa katika kesi hiyo leo, wamekamilisha masharti ya...
By Faki SosiApril 3, 2018JESHI la Polisi limemkamata Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na kuendelea kumshikiria hadi sasa pamoja na kuwa mgonjwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiApril 1, 2018BARAZA la Vijana la Chadema (Bavicha) limejiapiza kukulinda chama chao kwa gharama yeyote kwa kile walichodai ni hujuma za kutaka kukifuta na kufungwa...
By Faki SosiMarch 31, 2018WABUNGE na Madiwani wa Chama cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameishitaki SErikali ya Tanzania kwa Umoja wa Ulaya juu ya hali...
By Faki SosiMarch 29, 2018MAWAKILI wa pande zote mbili wa kesi zinazowakabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake wamekutana na Hakimu Mkazi, Wilbard Mashauri kujua hatma ya...
By Faki SosiMarch 29, 2018VIONGOZI wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaendelea kusota rumande kwa hoja kwamba, wanaweza kuhatarisha usalama wa jamii. Anaandika Faki Sosi…(endelea)....
By Faki SosiMarch 28, 2018FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema na viongozi watano wa chama hicho wamesomewa mashtaka nane katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu likiwemo la kufanya...
By Faki SosiMarch 27, 2018MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wengine wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusomewa mashtaka yanayowakabiri. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiMarch 27, 2018MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na viongozi wengine wandamizi wa chama hicho, “wameswekwa rumande,” kwenye kituo cha polisi...
By Faki SosiMarch 27, 2018RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Serikali (CAG) ya mwaka 2016/17 imeonyesha deni la Taifa limezidi kupaa kwa asilimia 12 ukilinganisha na ripoti...
By Faki SosiMarch 27, 2018CHAMA cha Wananchi (CUF) kimepiga marufuku uanzishaji wa matawi mapya na kuagiza viongozi wake ngazi ya majimbo kuwa macho na nyendo zozote za...
By Faki SosiMarch 26, 2018MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama hicho, Edward Lowassa wameshiriki kwenye ibada ya Jumapili ya matawi kwenye...
By Faki SosiMarch 25, 2018KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa Msajili wa vyama siasa nchini Jaji Francis Mutungi na Mwenyekiti...
By Faki SosiMarch 24, 2018