Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lowassa, Mbowe waufuata waraka wa Maaskofu KKKT
Habari za SiasaTangulizi

Lowassa, Mbowe waufuata waraka wa Maaskofu KKKT

Spread the love

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama hicho, Edward Lowassa wameshiriki kwenye ibada ya Jumapili ya matawi kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Azania Front,  Dar es Salaam. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Ujumbe waliotoka nao viongozi hao ni amani inayotakwenda sambamba na haki kwa pande zote.

Akizungumza nje ya Kanisa hilo baada ya ibada hiyo, Mbowe amesema kuwa viongozi wa dini wamehubiri amani na kusisitiza kutenda haki kutokana na kushabihiana kwa masuala hayo.

“Neno la leo ni amani na amani inapatikana kwa kutoa haki hivyo wachungaji wetu wamesema kuwa haki itendeke kwenye familia hadi kwa viongozi,” amesema Mbowe.

Mbowe amesema kuwa Pasaka ni Sikukuu muhimu kwa waumini wa dini ya kikristo  na ni siku inaazimisha kuteswa kufa, kuzikwa na kufufuka Yesu.

“Ni siku ambayo wakiristo tunaiona kuwa ni chanzo ukombozi na amani ya mwadamu ni chanzo cha kukoshwa kwa zambi zetu na damu ya kristo,” amesema Mbowe.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Mwakyembe : Zanzibar waliongoza kutaka Serikali 2 za muungano

Spread the love  MWANASIASA mkongwe nchini, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema mjadala wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

error: Content is protected !!