Sunday , 2 April 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Nondo akamatwa tena na Polisi
Habari MchanganyikoTangulizi

Nondo akamatwa tena na Polisi

Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT-Wazalendo
Spread the love

MWENYEKITI wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP), Abdull Nondo ametiwa mbaroni na jeshi la Polisi usiku kuamkia leo. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Akizungumza na MwanaHALISI Online Hellen Sisya Ofisa Habari wa Mtandao huo amethibitisha kushikiliwa kwa kiongozi huyo.

Sisya amesema kuwa Nondo alikamatwa akiwa viunga vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam usiku wa jana Julai 26 na askari wa chuo hicho.

Paul Kisabo, Mkurugenzi wa Idara ya Sheria wa TSNP, amesema kuwa Nondo amekamatwa akiwa eneo la Mgahawa wa chuo na
askari wa auxiliary.

“Tumefika kituo cha polisi chuo tumekuta Abdul Nondo anachukuliwa maelezo lakini alikataa kuyasaini sababu hakuwa na msaada wa kisheria akiwa anachukuliwa maelezo.

“Sababu ya kukamatwa ni eti amefanya criminal tresspass chuoni, tumeongea na mkuu wa kituo ili tuweze kuondoka na Nondo, imeshindikana kwa sababu za kiusalama,” amesema Kisabo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Ditopile aungana na Wana-Kongwa kwa Iftar, wamuombea dua Rais Samia

Spread the loveKATIKA muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti...

Habari Mchanganyiko

PSSSF yawekeza kwenye viwanda 4, kuzalisha ajira 3,000

Spread the loveKATIKA kuisaidia Serikali kupunguza tatizo la uhaba wa ajira nchini,...

Habari Mchanganyiko

Luhemeja ahimiza utunzaji rasilimali maji kwa faida ya vizazi vijavyo

Spread the love  NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Cyprian Luhemeja...

Habari Mchanganyiko

NSSF yawapa darasa wahariri uwekezaji wa nyumba, yapewa cheti

Spread the loveMFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetoa wito...

error: Content is protected !!