Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo Yanga yazinduka jioni
Michezo

Yanga yazinduka jioni

Spread the love

IKIWA yamebakia masaa machache kabla ya dirisha la usajiri la Ligi Kuu Tanzania Bara pamoja na ligi daraja la kwanza hatimaye klaba ya Yanga imefanikiwa kunasa saini ya kipa Klaus Nkinzi na mshambulia Heritier Makambo ambao wote ni raia wa Congo DRC. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Yanga ambayo ilionekana kusuasua hapo awali katika mchakato wa usajili toka dirisha hilo kufunguliwa kutokana na hali ya kiuchumi wanayopitia kwa sasa toka alipojiuzuru mwenyekiti wao na mfadhili mkuu wa klabu hiyo

Wawili hao wanaongeza idadi ya kuwa wachezaji saba mpaka sasa waliosajiriwa na klabu ya Yanga kuelekea msimu mpya wa mashindano wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuanza 23 Agosti, 2018.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!