
MUIGIZAJI maarufu Amir Athuman (Mzee Majuto) amefariki dunia usiku huu kwenye Hospital ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akitibiwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).
Mzee Majuto ameripotiwa kufariki majira ya saa 2 usiku hospitalini hapo alipokuwa anatibiwa kwa wiki wiki mbili.
Taarifa za kifo cha King Majuto zimethibitishwa na mtoto wake Abuobakari.
King Majuto alizaliwa mwaka 1948 mkoani Tanga na kusoma Shule Msambweni, mkoani humo, alianza kuigiza 1958 akiwa na umri wa miaka 10.
More Stories
Vigogo wa Bandari kortini Dar, yumo aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu
Rais Samia ampeleka Jenerali Mabeyo Ngorongoro
Mawakili wa Chadema wapinga hoja tano za kina Mdee