Sunday , 19 May 2024
Home mwandishi
8889 Articles1248 Comments
Habari

Askofu Shoo aomba wimbo wa Taifa ubadilishwe

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, ameomba neno haki, liongezwe katika wimbo wa taifa hilo, kwani...

Habari

Viongozi wa dini wahimiza haki

  VIONGOZI wa dini kutoka madhehebu mbalimbali nchini Tanzania, wamehimiza Watanzania kuwa walinzi wa haki za binadamu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro…(endelea). Wito huo...

Habari

Dk. Amani Karume: Maendeleo ya wananchi si majengo tu!

  RAIS mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume ameeleza kufarijika kuona namna Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

Habari

Kakoko tena TPA, Takukuru…

  MADAI mapya ya ufisadi yaliyoibuliwa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwenye Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), hayawezi kumwacha salama,...

MichezoTangulizi

Rekodi ya kipee kwa mwamuzi Herry Sasii mchezo wa Simba na Yanga

  BODI ya Ligi kupitia kamati ya waamuzi, imemchagua Herry Sasii kuwa refa kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania...

Habari

Mgombea urais aahidi kutoa mkopo kwa wanandoa wapya

  Mgombea urais nchini Kenya ameahidi mikopo ya kati ya Dola za Marekani 4,400 (Sh milioni 10.1) na 8,800 (Sh milioni 20.20) kwa...

Habari Mchanganyiko

Balozi Kanza aanza kuita wawekezaji kutoka Mexico, Marekani

Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Elsie Kanza amekutana kwa mazungumzo  na Meya wa mji wa Dallas, Meya Eric Johsnon pamoja na...

Kimataifa

Adama Barrow atangazwa mshindi uchaguzi Gambia

  Rais wa Gambia, Adama Barrow ameshinda tena uchaguzi mkuu wa nchi hiyo katika kura zilizopigwa kwa mara ya kwanza kwa miongo kadhaa...

Habari

Wakazi Ukerewe, Mbinga waibuka washindi NMB Bonge la Mpango

  DROO ya nane ya Kampeni ya ‘NMB Bonge la Mpango – 2merudi Tena,’ imefanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha, ambako Theofrida Masudi...

Habari

Mkurugenzi wa zamani wa gereza Rwanda afungwa kwa wizi

  Mahakama ya Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela aliyekuwa mkurugenzi wa gereza kuu la Kigali, Innocent Kayumba kwa kosa la kuiba...

Habari

DC Gondwe awafunda wanawake wajasiriamali

  MKUU wa Wilaya ya Kinondoni (DC), jijini Dar es Salaam, Godwin Gondwe amewataka wanawake wajasiriamali, kusimamia malengo yao, kuboresha bidhaa wanazozalisha na...

Habari

Wanahabari Arusha wapata chanjo ya Uviko-19 , wapewa ujumbe

  WAANDISHI wa habari na watangazaji wamepata chanjo ya ugonjwa wa maambukizi ya korona (UVIKO-19), huku wakitakiwa kujali afya zao kwanza katika utendaji...

Habari

Kiwanda cha transfoma, nyaya kuzalisha ajira 1,000

  Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Elsewedy Electric East Africa Ltd kwa ukanda wa Afrika Mashariki, Mhandisi Ibrahim Qamar amesema katika awamu ya...

Habari

Rais Samia awapa kibarua watendaji wake “muwaoneshe tumebadilika”

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaagiza watendaji wake wawaoneshe wawekezaji kuwa nchi imebadilika, kwa kuwa imeboresha mazingira ya uwekezaji. Anaripoti Regina...

Michezo

Bilioni nne yajenga Uwanja wa Mpira Kinondoni

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ameishukuru Serikali chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan...

HabariTangulizi

‘Rais Samia azungukwa,’ urais 2025 watajwa

  KAULI ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwa kuna makundi ndani ya Serikali yanaendekeza ubadhirifu na kuishutumu Serikali yake, imeibua wadau...

Tangulizi

AG wa zamani aapishwa kuwa Balozi, Nchimbi…

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwapisha Profesa Adelardus Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Tangulizi

Kigamboni kupata kivuko kipya

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kutokana na uchakavu wa vivuko vya sasa vinavyotoa huduma kati ya Kigamboni na Kivukoni (Ferry), Serikali imepanga...

Tangulizi

Simba wapigwa, wasonga mbele

  Klabu ya Soka Simba imefuzu kwenda hatua ya makundi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya kuambulia kipigo cha bao...

Kimataifa

Padre apoteza ndugu 11 katika ajali ya basi mtoni, walikuwa wakielekea harusini

  KATI ya wanakwaya 24 ambao wameripotiwa kufariki dunia kutokana na ajali mbaya ya basi iliyotokea katika mto wa Enziu, eneo la Mwingi...

Kimataifa

Gambia wapiga kura kwa kutumia gololi

  DUNIANI kuna mambo ya kushangaza, ndivyo unaweza kutafisiri Uchaguzi Mkuu wa Gambia baada ya kushuhudiwa wananchi wa taifa hilo lililo magharibi mwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aonya wanaofungulia chemba za vyoo barabarani, ataka Dar wabadilike

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Watanzania na wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kuacha tabia kufungulia chemba za vyoo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Majaliwa atoa maagizo kwa sekta binafsi Tanzania

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka sekta binafsi iweke kipaumbele na kuzingatia usawa wa kijinsia katika utoaji wa ajira hasa wanawake...

HabariHabari za Siasa

Baraza Vyama vya Siasa: Tanzania ina katiba nzuri, bunge huru

  BARAZA la Vyama vya Siasa, limezungumzia miaka 60 ya uhuru wa Tanzania Bara, likisema nchi ina Katiba nzuri, pamoja na mihimili iliyo...

Habari

Upigaji wa kutisha ujenzi wa meli 5, mkandarasi ni dalali

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameanika ubadhirifu wa kutisha katika mikataba ya ujenzi wa meli tano za Kampuni za kuhudumia Meli Tanzania (MSCL)...

Habari Mchanganyiko

Neema yanukia Kilimanjaro, waitaliano waja kuchimba shaba

  Shirika la Taifa la Madini (STAMICO) limesaini mkataba wa makubaliano ya awali na Kampuni ya Suness Limited ya Italia kwa ajili ya...

Habari za Siasa

CUF yamtega Rais Samia kuhusu Mbowe, yaanza mikakati uchaguzi 2025

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ifute kesi zinazowakabili wanasiasa, ikiwemo ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Sitakubali gari bovu liangushiwe awamu ya sita

  RAIS Samia amesema kuna makundi yaliyopo ndani ya serikali ambayo yanaendekeza ubadhirifu na kugeuka kusema kwamba ufisadi na mambo ya hovyo yamerudi...

Tangulizi

Rais Samia awa mbogo, atumbua vigogo bandari, shirika la meli

  MOTO umewaka ndani ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) pamoja na Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), baada ya Rais Samia...

Habari za Siasa

Msajili ailima CUF barua, yatimua wengine

  MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi, amekiandikia barua Chama cha Wananchi (CUF), akikitaka kijieleze dhidi malalamiko ya wanachama...

Habari

Zaidi ya wawekezaji 140 wa Italia wawekeza Tanzania

  Wawekezaji zaidi ya 140 kutoka Italia wamewekeza katika miradi mbalimbali nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Takwimu hizo zimetolewa na Naibu Waziri Wizara...

Habari Mchanganyiko

WADAU: Ukatili wa kijinsia kazini, unaathiri hadi familia

  WADAU wa ukatili wa jinsia nchini Tanzania, wameshauri waajiri wote pamoja na Serikali kuchukua hatua madhubuti ya kukomesha vitendo vya ukatili vinavyorejesha...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaamriwa ilimpe mamilioni Mtanzania iliyomvua uraia

  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR), imeamuru Serikali ya Tanzania, imlipe fidia ya zaidi ya  Sh. 50 milioni,...

Afya

GGML yatoa milioni 84 mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imechangia zaidi ya Sh milioni 84 kusaidia mipango ya serikali katika mapambano dhidi ya VVU na...

Habari za SiasaTangulizi

Ndani ya saa 24 Makonda, kutinga mahakamani

  ALIYEKUWA mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda, anatarajiwa kutinga mahakamani, kesho Ijumaa, tarehe 3 Desemba 2021, ili kujibu...

Habari za Siasa

Rais Samia awatembelea Jaji Warioba, Msuya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatembelea mawaziri wakuu wastaafu, Cleopa Msuya na Jaji Joseph Warioba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa azindua sherehe za uhuru, atoa maagizo mazito

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezindua rasmi maadhimisho ya sherehe za uhuru wa miaka 60 Tanzania Bara na kuwataka Watanzania kuchukua tahadhari dhidi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia aonyesha njia sakata la sukari

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amesema ili nchi iondokane na upungufu wa sukari, inahitajika uongozi madhubuti katika kusimamia uzalishaji wake....

Michezo

Tuzo Simba: Morrison awashinda Kagere na Mkude, milioni 2…

  BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Simba ya Tanzania, amejinyakulia tuzo na Sh.2 milioni, baada ya kuchaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa...

Habari

Majaliwa: Hatua kali zichukuliwe wanaowanyanyapaa wanoishi na VVU

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza mamlaka husika kuchukua hatua kali za kisheria kwa watakaobainika kuwanyanyapaa na kuwabagua Watu Wanaoishi na Virusi vya...

MichezoTangulizi

Rais Samia aipongeza Tembo Warriors kufuzu kombe la dunia, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameitumia salamu za pongeza timu ya taifa ya soka la wenye ulemavu ‘Tembo Warriors’ kwa kufuzu...

Habari

Prof Mkumbo awatangazia neema wanafunzi DIT, awapa somo

  WAZIRI wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo amesema, kila mwaka kuanzia 2022, wizara hiyo itakuwa ikitoa zawadi kwa wanafunzi...

Habari Mchanganyiko

Waziri mkuu wa zamani wa Lesotho ashitakiwa kwa kumuua mkewe

WAZIRI Mkuu wa zamani wa Lesotho, Thomas Thabane amefikishwa mahakamani anakoshitakiwa kwa mauaji ya mke wake, Lipolelo Thabane, yaliyotokea mwaka 2017. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Waziri wa zamani Zanzibar ajitosa kumrithi Maalim Seif ACT-Wazalendo, ataja ahadi 10

  MJUMBE wa Kamati Kuu, ya Chama cha ACT-Wazalendo, Hamad Masoud Hamad, ametangaza nia ya kugombea uenyekiti wa chama hicho, iliyoachwa wazi na...

Michezo

Tanzania yafuzu kombe la Dunia mchezo wa soka kwa wenye ulemavu

  TIMU ya Tanzania ya soka kwa wenye ulemavu ‘Tembo Warriors’ imefuzu kucheza kombe la dunia Uturuki 2022. Anaripoti John Mapepele, MAELEZO…(endelea). Ni...

Habari za Siasa

CCM yateta na viongozi wafanyabiashara Kariakoo

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM ) kimesema, iwapo kila Mtanzania atawajibika na kufanya kazi kama yalivyo malengo, mipango na...

Habari

Wakulima watakiwa kuchangamkia Kampeni ya ‘Vuna Zaidi Na NBC Shambani’

  Serikali mkoani Mtwara imesema ipo tayari kuonesha ushirikiano zaidi na taasisi pamoja na wadau mbalimbali wenye nia thabiti na mipango inayolenga kuwasaidia...

Michezo

Yanga yaipiga Mbeya Kwanza, yaisubiri Simba

  TIMU ya Yanga imeendelea kujichimbia kileleni mwa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2021/22, kwa kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Mbeya...

Habari Mchanganyiko

Askofu Shoo: Umewakosea wenye ulemavu, omba toba

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kithuleri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo ametoa wito kwa wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini kuhakikisha...

Habari Mchanganyiko

JWTZ watangaza kiama kwa matapeli ajira jeshini

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetoa ufafanuzi kuhusu vitendo vya rushwa, ulaghai na utapeli vinavyofanywa na baadhi ya watu wasio...

error: Content is protected !!