Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Tuzo Simba: Morrison awashinda Kagere na Mkude, milioni 2…
Michezo

Tuzo Simba: Morrison awashinda Kagere na Mkude, milioni 2…

Spread the love

 

BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Simba ya Tanzania, amejinyakulia tuzo na Sh.2 milioni, baada ya kuchaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa mwezi Novemba (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Morrison ambaye ni raia wa Ghana amewashinda wachezaji wenzake, mshambuliaji Medie Kagere na kiungo Jonas Mkude ambao aliingia nao fainali.

Morrison amepata kura 2117 sawa na asilimia 46.77, Kagere kura 2117 sawa na asilimia 46.73 na Mkude akipata kura 294 sawa na asilimia 6.50.

Katika mwezi Novemba, Morrison amecheza jumla ya dakika ya 235 akifunga mabao mawili na kusaidia kupatikana kwa mengine mawili.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!