SERIKALI ya Tanzania imesema inafanya tathimini katika mikoa yote inayolizunguka Ziwa Victoria ili kuanza ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJune 8, 2022WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amesema Jeshi la Polisi mkoani Geita, linamshikiria mtu mmoja kwa tuhuma za...
By Mwandishi WetuJune 8, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kukata matumizi yake kila mwezi na kutoa ruzuku ya mafuta hadi pale bei...
By Mwandishi WetuJune 8, 2022WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, ametengeneza mazingira mazuri ya kisiasa na kuifanya...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022KITENGO cha kudhibiti fedha haramu nchini Tanzania kimeelemewa na miamala iliyotiliwa mashaka ambayo inatakiwa kufanyiwa uchunguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....
By Mwandishi WetuJune 7, 2022SERIKALI imeshauriwa kufanya tathimini ya kina kabla ya kuomba ahirisho la kulipa madeni ya Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Serikali...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022MBUNGE wa Mbogwe, Nicodemas Maganga (CCM) leo Jumanne amemtaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kutumia mamlaka aliyonayo kuzifutia leseni benki...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022WIZARA ya Fedha na Mipango, imeliomba Bunge lipitishe bajeti ya Sh. 14.94 trilioni, kwa ajili ya matumizi yake katika mwaka wa fedha...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres aliwahi kusema; “Ushirikiano wa kimataifa na diplomasia vimethibitisha kuwa na faida na huduma...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022SERIKALI imeshauriwa kuanzisha “mara moja” akaunti jumuifu kwaajili ya ukusanyaji wa mapato ya muungano ili kuondokana na kero za Muungano katika suala...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022SERIKALI ya Tanzania, imesema hadi kufikia Aprili 2022, imetumia kiasi cha Sh. 8.0 trilioni, kati ya Sh. 10.6 trilioni, ilizopanga kugharamia deni...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022WAZIRI mkuu wa Uingereza, Boris Johnson aponea chupu chupu kuondoka madarakani, kufuatia kura ya kutokuwa na imani naye kushindwa kufaulu. Anaandika Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022ASKOFU wa Kanisa la Kiingili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe Mkoa wa Kagera, Dk. Benson Bagonza ametoa uchambuzi wa namna...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, imeishauri Serikali kuiongezea fedha fungu maalumu Ofisi ya Msajili wa Hazina ili iweze kulipa madeni...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema katika kipindi cha Julai 2021 hadi Aprili 2022, mfumuko wa bei umeongezeka hadi...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022NI heshima kubwa. Ndivyo unaweza kuelezea kile ambacho Timu ya Taifa ya soka la Wanawake chini ya miaka 17 ‘Serengeti Girls’ ya...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022TAASISI ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) inatarajia kukusanya mirabaha yenye thamani ya Sh.1.3 bilioni na kuigawa kwa wabunifu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuJune 6, 2022CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeikabidhi miradi ya maji ya miji 28, kwa viongozi wa dini, ikitaka iwaombee watu watakaohusika katika utekelezaji wake...
By Mwandishi WetuJune 6, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza Timu ya Taifa hilo ya soka la Wanawake chini ya miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kwa...
By Mwandishi WetuJune 6, 2022WIKI moja baada ya mwanasiasa nguli nchini, Benard Membe kurejea rasmi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) tangu alipofukuzwa mwaka 2020, hatimaye ameeleza...
By Mwandishi WetuJune 6, 2022TIMU ya Taifa ya Wasichana chini ya umri wa miaka 17, (Serengeti Gilrs), imefanikiwa kutinga kwa mara ya kwanza kwenye fainali za...
By Mwandishi WetuJune 5, 2022NDOA za baadhi ya vigogo na watumishi wa umma waliohamishiwa Dodoma, lakini familia zao kubaki Dar es Salaam nchini Tanzania zimetikiswa na...
By Mwandishi WetuJune 5, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekemea tabia ya utiririshaji wa maji machafu na majitaka kutoka viwandani na kwenye migodi kwani inachangia...
By Mwandishi WetuJune 5, 2022KATIKA hali ya kushangaza na kusikitisha, mkazi wa kitongoji cha Lubela, mtaa wa Nyashimbi kata ya Mhongolo wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga,...
By Mwandishi WetuJune 5, 2022NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania imebuka na hoja sita dhidi ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya...
By Mwandishi WetuJune 5, 2022KANISA la Kiinjili la Kulutheli Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde imetangaza kumwondolea wakfu wa Uaskofu, Dk. Edward Mwaikali aliyekuwa askofu wa Dayosisi...
By Mwandishi WetuJune 5, 2022CHUO Kikuu Ardhi (ARU), kupitia Taasisi yake ya Utafiti ya Nyumba wamebuni teknolojia ya ujenzi wa gharama nafuu kwa kutumia matofali ambayo ni rafiki...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa timu ya Simba nchini Tanzania, Salim Abdallah maarufu ‘Try Again’ amesema, wamejipanga kufanya mabadiliko makubwa kwenye...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Daniel Chongolo amekemea tabia ya baadhi ya watendaji wa serikali kupanga watumishi wa...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022FIKIRIA unarudi nyumbani kwako, unakutana na kisanga cha vijana wawili wameraruriwa na mbwa wako, na wako taabani. Unauliza unaambiwa ni vibaka wameruka...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya nchini Tanzania imeyatupitilia mbali maombi yote mawili ya aliyekuwa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Konde, Edward Mwaikali...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022HOFU imetanda kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mtongani, kata ya Kunduchi, Kinondoni, Dar es Salaam nchini Tanzania baada ya wanafunzi wake...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya leo Ijumaa tarehe 3 Juni 2022, inatarajia kutoa uamuzi wa kupinga Askofu mteule, Geofrey Mwakihaba...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022WAZIRI wa Mali Asili na Utalii, Dk. Pindi Chana amesema katika kupanua wigo wa utalii na mapato, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) linatarajia kuimarisha ulinzi na usimamizi wa hifadhi kwa kuboresha matumizi ya sayansi na teknolojia. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ameziagiza mamlaka husika kuhakikisha mradi wa maji...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma (CCM), Mariam Ditopile amemtaka Waziri wa Nishati, January Makamba kuwa makini na Mardi wa Gesi...
By Mwandishi WetuJune 2, 2022MBUNGE wa jimbo la Uyui nchini Tanzania, Almasi Maige, amehoji sababu ya Tanzania kushindwa kupata nishati ya mafuta licha ya kuwa na...
By Mwandishi WetuJune 2, 2022KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amemtaka Mbunge wa Itilima, Njelu Silanga kuwawezesha wakulima wa jimbo hilo kuhakikisha kila...
By Mwandishi WetuJune 2, 2022MBUNGE wa jimbo la Mlimba mkoani Morogoro nchini Tanzania, Godwin Kunambi, ameitaka Serikali kuja na mpango wa kuunganisha umeme bure na kisha...
By Mwandishi WetuJune 2, 2022WIZARA ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania imepewa mwezi mmoja (siku 30) ihakikishe watendaji wake wa wanaohusika na wanyamapori wawe wamefika Meatu...
By Mwandishi WetuJune 2, 2022WANANCHI wa Wilayani Ngara Mkoa wa Kagera nchini Tanzania wametakiwa kuacha kuuza ardhi kiholela na kuepuka kulima kwenye vyanzo vya maji. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 2, 2022MBUNGE wa Kigamboni jijini Dar es Salaam kupitia chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Faustine Ndugulile amesema, kilio cha...
By Mwandishi WetuJune 2, 2022MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imeshauri pande zinazokidhana ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheni Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde...
By Mwandishi WetuJune 1, 2022ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya amebubujikwa machozi mahakamani wakati akimwomba Rais Samia Suluhu...
By Mwandishi WetuJune 1, 2022ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi...
By Mwandishi WetuJune 1, 2022KUTOKANA na ukubwa wa gharama za miundombinu ya usambazaji wa gesi asilia, Kampuni ya Mandeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Wakala wa...
By Mwandishi WetuJune 1, 2022SERIKALI ipo mbioni kuanza matumizi ya teknolojia ya kisasa katika shughuli za upakuaji mafuta kutoka kwenye meli ili kuepuka udanganyifu na upotevu...
By Mwandishi WetuJune 1, 2022SERIKALI imetenga Sh 1.44 trilioni katika mwaka wa fedha 2022/23 kwaajili ya kutekeleza kazi mbalimbali kwenye mradiMradi wa Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Maji...
By Mwandishi WetuJune 1, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Chadema, Freeman Mboiwe, amesema hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuzindua kitabu cha msanii mkongwe wa muziki wa...
By Mwandishi WetuJune 1, 2022