Friday , 19 April 2024
Home mwandishi
8671 Articles1236 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Serikali yatoa ruzuku ya Bil. 100/- kushusha bei mafuta

  SERIKALI imetopa ruzuku ya Sh 100 bilioni kwa kipindi cha mwezi mmoja kwaajili ya kuleta ahueni katika bei ya nishati ya mafuta....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia, Mbowe wakutana tena Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana kwa mara nyingine na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman...

Afya

Majaliwa akunjua makucha MSD, atoa maagizo

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amefanya ziara katika Bohari ya Dawa (MSD) na kuagiza watu wote waliohusishwa na tuhuma za ubadhirifu...

Habari Mchanganyiko

Viongozi DCPC wavuliwa madaraka, wachaguliwa wapya

MKUTANO Mkuu Maalum wa Chama cha Waandishi wa Habari Dar es Salaam (DCPC) nchini Tanzania, umewavua nyadhifa viongozi wake kwa kutotimiza ipasavyo wajibu...

Afya

Kiwanda cha mionzi tiba nchini kuanza kufanya kazi Juni

  NAIBU Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel, amesema kiwanda cha kutengeneza mionzi inayotibu ugonjwa saratani, kinatarajiwa kuanza kufanya kazi Juni, 2022. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima ashangaa ujenzi wa reli badala ya uchimbaji chuma

  MBUNGE wa Kawe, Askofu Dk. Josephat Gwajima (CCM) leo Jumatatu amesema licha ya kwamba ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) lilikuwa wazo...

Habari za SiasaTangulizi

Nchemba, Shigongo wavutana nchi kurudi uchumi wa chini

  MVUTANO umeibuka bungeni baina ya Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo na Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba kuhusu nchi kuporomoka kutoka...

Kimataifa

Gavana Benki Kuu ajitosa urais

  GAVANA wa Benki Kuu ya Nigeria (CBN), Godwin Emefiele amejitosa katika kinyang’anyiro cha kuteuliwa na chama cha All Progressive Congress kuwa mgombea...

Habari za Siasa

Mpina ataka uchunguzi Symbion kabla ya kulipwa

  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, ameishauri Serikali ifanye uchunguzi dhidi ya Kampuni ya kuzalisha umeme ya Symbion Power, kabla ya kuilipa zaidi...

Habari za Siasa

Mbunge aitaka Serikali iunde kikosi kazi cha uchumi

  MBUNGE wa Mafinga Mjini, Cosato Chumi, ameitaka Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kuunda kikosi kazi cha masuala ya uchuimi kama ambayo...

Habari za SiasaTangulizi

Bei ya mafuta: Rais Samia aongoza kikao usiku Ikulu, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaagiza viongozi akiwemo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo la...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar yakamata 31 tuhuma ‘panya road’

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es limesema limefanikiwa kuwakamata watu 31 kwa tuhuma za unyang’anyi, kujeruhi na kupora maarufu kama...

Elimu

DIT yatakiwa kujipanga kufunga mfumo wa gesi magari ya serikali, mwendokasi

  NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Nishati nchini Tanzania, Kheri Abdul Mahimbali leo ametembelea Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) na kupata...

Elimu

DAWASA yaipiga jeki Pugu Sekondari, yatoa ahadi zaidi

  MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetoa msaada wa kompyuta mpakato tatu zenye thamani ya zaidi ya...

Habari za Siasa

Wananchi wapanga kuandamana kumng’oa diwani

  WAKAZI wa Kata ya Nzuguni Jijini Dodoma wamepanga kuandamana hadi kwa Diwani wao, Mzee Aloyce (CCM) ili wamshinikize kujiuzulu kwa kushindwa kutimiza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya, wenzake waachiwa huru

MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamekata rufaa...

Habari Mchanganyiko

Aua mwanawe akidaiwa kung’oa karanga kwa njaa

  MTOTO aliyejulikana kwa jina la Tofa Simchimba (5) mkazi wa kijiji cha Chizumbi kata ya Ukwile wilayani Mbozi mkoani Songwe, anadaiwa kuuawa...

Habari

Serikali yataja hatua inazochukua kudhibiti mfumuko bei

WAZIRI wa Viwanda Biashara na Uwekezaji, Dk. Ashatu Kijaji amesema Serikai imefanya tathimini ya upandaji wa bei za bidhaa nchini na kuchukua hatua...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yatangaza nafasi za kazi makarani, wasimamizi sensa

SERIKALI imetangaza nafasi za kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa ya mwaka 2022 itakayofanyika Agosti 23 mwaka huu. Anaripoti Mwandishi...

AfyaHabari Mchanganyiko

Majaliwa afichua upigaji MSD fedha za UVIKO-19

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekemea tabia ya baadhi ya maafisa ununuzi wa umma kukubali zabuni za watoa huduma zenye bei...

HabariMichezoTangulizi

Kombe la Dunia FIFA kutua Tanzania

Kampuni ya vinjwaji Baridi ya Coca Cola kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Dunia (FIFA), linatarajia kulileta nchini kombe la Dunia...

Habari Mchanganyiko

Makosa makubwa ya uhalifu yaongezeka nchini

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, amesema jumla ya makosa makubwa 39,182 yameripotiwa katika vituo vya polisi katika kipindi cha...

Habari za Siasa

Sare, mafunzo askari kutafuna Bil. 34.7/-

  WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeweka kipaumbele kwa mafunzo na ununuzi wa sare za askari ambapo jumla ya Sh 34.7...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wataka ruzuku iwekwe, tozo ziondolewe kuhimili bei ya mafuta

  WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameishauri Serikali kuondoa tozo zisizo na athari katika miradi muhimu kwa wananchi pamoja...

Habari Mchanganyiko

Serikali yalipatia Jeshi la Polisi helkopta moja

  KATIKA utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya mwaka 2021/2022 Wizara ya Mambo, Serikali imelipatia jeshi la polisi helkopta moja kwaajili ya kutekeleza...

Habari Mchanganyiko

158,000 waomba ajira 17,000, Serikali yaongeza siku 4

  SERIKALI ya Tanzania imeongeza siku nne zaidi kwa waombaji wa ajira za ualimu na afya kutoka jana Jumatano tarehe 4 hadi 8...

Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: Bunge lasimamisha shughuli, lajadili upandaji bei ya mafuta

  MKUTANO wa saba kikao cha 16 cha Bunge la Tanzania leo Alhamisi kumesimamisha shughuli zake za kawaida na kuanza kujadili kupanda kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kupanda kwa mafuta: Majaliwa aitisha kikao usiku cha mawaziri na….

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutafuta njia mbadala zitakazopunguza gharama ya maisha kwa Watanzania kutokana na kupanda kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Wanaoguswa ripoti ya CAG wanachukuliwa hatua

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inawachukulia hatua watu wanaotajwa kufanya ubadhirifu katika ripoti za ukaguzi za Mdhibiti na...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo chashauri Serikali iondoe tozo za Sh 500 kwenye mafuta

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeishauri Serikali iondoe tozo ya Sh. 500 kwa kila lita ya mafuta ya dizeli, petroli na mafuta ya taa,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia akanusha taarifa kwamba alikuwa haelewani na Magufuli

RAIS Samia amesema alinukuliwa vibaya na vyombo vya Habari vilivyosema kwamba alisema hakuwa na maelewano mazuri na Rais John Magufuli kipindi yeye akiwa...

Habari za Siasa

Rais Samia asema kupanda mishahara kutategemea mapato yatakavyoonesha

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaangalia hesabu zake kama zinarhusu kupandishwa kwa kima cha chini na mshahara na kusisitiza kuwa watumishi wataendelea kupandishwa...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo kuiteka Mwanza siku tatu

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kinatarajia kufanya maadhimisho ya kitaifa ya miaka nane ya kuzaliwa kwake, kesho Alhamisi, tarehe 5 Mei 2022, jijini Mwanza....

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro ataka wanaogoma kulipa hela ya ulinzi shirikishi wachukuliwe hatua

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, ameagiza wananchi wanaokataa kulipia huduma ya ulinzi shirikishi (Sungusungu), wachukuliwe hatua za kisheria kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Misa-Tanzania yabainisha changamoto 5

  TAASISI ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (Misa-Tanzania) limebainisha changamoto tano zinazokwaza tasnia ya habari nchini humo. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa salamu za Eid

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewatakia kheri ya Eid El Fitri Waislamu na Watanzania wote huku akiwataka kusherekea kwa amani na...

HabariMichezo

Simba, Yanga zalimwa faini shilingi Mil. 4

  KAMATI ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu (Kamati ya Saa 72), imezipiga faini klabu za Simba na...

Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: MEI MOSI, Rais Samia kupandisha mishahara?

  LEO ni Mei Mosi, sikuu ya wafanyakazi duniani ambayo kitaifa nchini Tanzania inafanyikia Uwanja wa Jamhuri Dodoma na mgeni rasmi ni Rais...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mutunga wa Kenya azindua kitabu Tanzania

  JAJI Mkuu Mstaafu wa Kenya, Willy Mutunga amezindua kitabu chake alichokipa jina la ‘Beacons of Judiciary Transformation’ leo Ijumaa tarehe 29 Aprili...

Habari za Siasa

Polepole aanza safari ya Malawi

  RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amemweleza Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Humphrey Polepole umuhimu wa kuifanyia kazi na kuipa kipaumbele...

Habari za Siasa

Biashara madini nchini yaimarika bei ikipaa

  WAZIRI wa Madini, Doto Biteko, amesema biashara ya madini nchini imeendelea kuimarika huku bei ya madini muhimu kama dhahabu na almasi ikizidi...

Habari za SiasaTangulizi

Soko la madini Mererani lawagawa wabunge

  UHAMISHAJI soko la madini ya Tanzanite kutoka Arusha kwenda Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, limewagawa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

Habari za SiasaTangulizi

CCM yahakiki madeni ya kampeni 2020

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kinafanyia uhakiki madeni ya wafanyabiashara saba waliosema wanakidai, kutokana na kazi kiliyowapa wakati...

Habari za Siasa

Serikali yakamata madini ya Sh. 501 Mil. yakitoroshwa

  SERIKALI imesema imefanikiwa kukamata madini ya Sh 501.2 milioni katika matukio ya utoroshaji katika kipindi cha kati ya Julai 2021 hadi Machi...

Habari za Siasa

Uzinduzi Royal Tour: Rais Samia atoa shukrani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa shukrani kwa wote waliohusika katika maandalizi ya uzinduzi wa Filamu ya The Royal Tour nchini...

Habari za Siasa

Madini yapokea fedha kiduchu za miradi ya maendeleo

  WIZARA ya Madini imepokea Sh 1.5 bilioni pekee kwaajili ya miradi ya maendeleo hadi kufikia Machi 2022 sawa na asilimia 10 ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ataka sheria Vyama vya Siasa irekebishwe kumpa makali msajili

  MBUNGE Viti Maalumu (CCM), Neema Lugangira, ameshauri Sheria ya Vyama vya Siasa irekebishwe ili kumpa meno Msajili wa Vyama vya Siasa katika...

Habari za Siasa

Mbunge asema utawala wa sheria ndiyo kivutio uwekezaji, biashara

  MBUNGE wa Madaba, Joseph Mhagama, amesema kivutio namba moja cha wawekezaji na biashara nchini ni utawala wa sheria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Tabasamu aibua mazito Bungeni tenda za mafuta, Spika amzuia

MBUNGE wa Sengerema, Hamis Tabasamu ameibua “mambo mazito” bungeni kuhusu kuchezewa kwa tenda ya uagizaji wa mafuta ya Tarehe 18 Aprili 2022. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mpina ataka Bunge lichunguze majadiliano sakata makinikia

MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina ameliomba Bunge kuunda kamati ya kiuchunguzi ili kujua sababu ya Kamati ya Majadiliano ya Kesi ya Makinikia kukubali...

error: Content is protected !!