Friday , 19 April 2024
Home mwandishi
8671 Articles1248 Comments
Habari Mchanganyiko

Bilioni 4.2 kumaliza tatizo Daraja la Msadya, Diwani apongeza

  SERIKALI kupitia Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) imetoa kiasi Sh.4.2 bilioni ili kujenga daraja jipya la Msadya lililopo kata ya...

Habari za SiasaTangulizi

James Mbatia: Mimi bado mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi

  MWENYEKITI    wa NCCR- Mageuzi, James Francis Mbatia, amedai kuwa unaoitwa, “mkutano wa Halmashauri Kuu (NEC) ya chama chake” uliomsimamisha wadhifa wake,...

Siasa

ACT-Wazalendo yataka wanajeshi watenganishwe na siasa

  CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimeishauri Serikali kutowateua wanajeshi katika nafasi za uongozi wa umma, ili kuwatenga na siasa. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari

Idadi vyombo vya habari yaongezeka Tanzania

IDADI ya vyombo vya habari nchini Tanzania imeendelea kuongeza mwaka hadi mwaka ambapo kwa mwaka 2021/22 idadi hiyo imeongezeka kwa kasi. Anaripoti Mwandishi...

HabariTangulizi

Wizara ya Habari yapokea asilimia 53 fedha za maendeleo

  HADI kufikia tarehe 30 Aprili, 2022 Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (Fungu 68) imepokea jumla ya Sh. bilioni 129.7...

Habari

Bunge lataka sekta ya mawasiliano iimarishwe

  KAMATI ta Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeishauri Serikali kuimarisha sekta ya habari na mawasiliano, kwa kuwa ni chachu ya maendeleo ya...

Habari

Bunge laingilia kati malalamiko matumizi ya bando

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeishauri Mamlaka ya Mawasiliano ya Tanzania (TCRA), ifanye majadiliano na kampuni za simu ili kutafuta...

Habari Mchanganyiko

Bosi Tarura aagiza ujenzi daraja Kaseke, 1.5 milioni zirejeshwe

  MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amemuagiza meneja wa TARURA Mkoa wa Katavi, Mhandisi Innocent...

Habari za Siasa

Mbunge Halanga apongeza vijana JKT kurejeshwa kambini

  MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Asia Halanga amempongeza Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan na...

HabariMichezo

Mauya miwili tena Yanga

  KIUNGO mkabaji wa klabu ya Yanga Zawadi Mauya ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu ya Yanga utakaomfanya kusalia ndani ya...

HabariMichezo

Nabi: ubingwa bado, subirini kidogo

  Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga, Mohammed Nasredine Nabi amewataka mashabiki wa klabu hiyo kutulia kwa sasa kuhusu suala la ubingwa, kwani...

Habari Mchanganyiko

Operesheni Samia yawapatia vijana 45,047 mafunzo JKT

  SERIKALI nchini Tanzania imesema imefanikiwa kuwapatia vijana 45,047 mafunzo ya ukakamavu, stadi za kazi, kuwajengea uzalendo na umoja wa kitaifa katika operesheni...

Habari Mchanganyiko

Wizara yakusanya mapato kwa asilimia 1,288.9

  WIZARA ya ulinzi nchini Tanzania imekusanya maduhuli yake kwa asilimia 1,288.95 baada ya kukusanya kiasi cha Sh 15.4 milioni kati ya Sh...

Habari za Siasa

Waliolipia 27,000 kabla ya mabadiliko ya bei kuunganishiwa umeme

SERIKALI ya Tanzania imesema imetoa maelekezo kwa mameneja wote wa mikoa na wilaya kuwaunganishia umeme wale wote waliokuwa wameshalipia Sh 27,000 kabla ya...

Habari Mchanganyiko

Tamwa yaiomba serikali kutunga sera ya familia

  CHAMA Cha Waandishi wa Habari Wanawake nchini Tanzania (Tamwa), kimeishauri serikali kuanzisha sera maalum ya familia ili kukabiliana na changamoto zinazoibuka kwenye...

Habari Mchanganyiko

Vijiji vyote Tabora kufikiwa na umeme ifikapo Desemba

  WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba, amesema ifikapo Desemba mwaka huu vijiji vyote vya mkoa wa Tabora ambavyo havijafikiwa na umeme vitakuwa vimeunganishwa....

Habari Mchanganyiko

Ujenzi Daraja la Ifume, Tarura Tanganyika yapewa siku 30

  MTENDAJI Mkuu wa Mamlaka ya Barabara Vijijini na Mijini (Tarura), Mhandisi Victor Seff ametoa mwezi mmoja kwa Tarura Wilaya ya Tanganyika Mkoa...

Habari za Siasa

Bajeti ya Kilimo yamkuna Mbunge Ditopile, ampongeza Rais Samia

  MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Mariam Ditopile ameimpongeza Serikali inayoongozwa na Rais wa nchi hiyo, Samia...

HabariMichezo

Yanga waiweka Simba mtegoni

WAKATI ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ukingoni, huku bado kukiwa na vita ya ubingwa Kati ya mafahari wawili wa soka la Tanzania, kkabu...

Habari Mchanganyiko

‘Panya Road’ wafikishwa kortini, wasomewa mashitaka sita

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewafikisha katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, watuhumiwa 25 wa uhalifu wa kutumia...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yapaza sauti uhuru wa Sahara Magharibi

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeishauri Serikali ya Morocco iitishe kura ya maoni ili wananchi wa Sahara Magharibi, waamue kama wanakubali kuwa Taifa huru...

Habari za Siasa

Rais Samia: Tunawasuta kwa utekelezaji miradi ya JPM

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema mafanikio ya utekelezaji wa miradi iliyoanzwa katika serikali ya awamu ya tano, yanawasuta watu wanaosema uongo kwamba...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe atoa kauli kina Mdee kubaki bungeni

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe ameonesha kushangazwa na uamuzi wa Spika wa Bunge, Dk. Tulia...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yawapa nafuu ya wiki Mdee na wenzake

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imesema wabunge 19 wa Chadema (Covid 19) waliovuliwa uanachama wa chama hicho hivi karibuni wataendelea...

AfyaHabari za Siasa

1,580 wapoteza maisha wakati wa kujifungua ndani ya mwaka mmoja

  WANAWAKE 1,580 wamepoteza maisha nchini Tanzania wakati wa kujifungua katika kipindi cha mwaka mmoja wa 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waendelea kuchapa kazi bungeni

  LICHA ya Halima Mdee na wenzake 18 kufukuzwa uanachama ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo Jumatatu tarehe 16 Mei...

Michezo

Mayele alia kukamiwa na mabeki Ligi Kuu

  MSHAMBULIAJI wa klabu ya Yanga, Fiston Mayele amefunguka sababu zilizofanya kushindwa kupachika bao lolote katika michezo minne ya Ligi Kuu Tanzania Bara,...

Habari za Siasa

CCM yanusu hujuma Ma RC, DC kwa Rais Samia

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeshangazwa na ukimya kwa wakuu wa mikoa (RC) na wilaya (DC) katika kuelezea mafanikio...

Afya

Ugonjwa wa Lupasi wapigwa vita nchini

WAKATI Ugonjwa wa Lupasi unakadiria kuathiri watoto 15 kati ya watoto 52 waliopimwa serikali imeweka mikakati ya kukabiliana na ugonjwa huo ikiwa pamoja...

Habari Mchanganyiko

Watu weusi wanaongoza kwa upweke duniani: Utafiti

Watu weusi wana uwezekano mkubwa wa kujisikia upweke kuliko watu wengine kwa ujumla, kwa mujibu wa utafiti mpya. BBC imeripoti … (endelea). Takwimu...

Kimataifa

Umoja wa Falme za Kiarabu wapata rais mpya

  MTAWALA wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan amechaguliwa rasmi kuwa rais leo tarehe 14 Mei,...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yaita watetezi haki za binadamu mapambano katiba mpya

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimetoa wito kwa watetezi wa haki za binadamu Tanzania kuungana na vyama vya siasa vya upinzani katika harakati za...

Habari Mchanganyiko

Kasekenya awataka makandarasi kuwajibika kifikra

  NAIBU Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amewataka makandarasi, waajiri na wasimamizi wa mradi kuwa na ushirikiano mzuri ili kuwezesha miradi ya...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi wa habari afariki baada ya kujifungua

  CHAMA cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mbeya (MBPC) kimepata pigo baada ya kuondokewa na mwanachama wake wa muda mrefu, Hannerole Mrosso...

Habari za Siasa

Mtemvu ahofia ‘kilichomwondoa’ Mnyika Kibamba

  MBUNGE wa Kibamba, Issa Mtemvu ameonesha hofu yake ya kutoendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo endapo changamoto ya upatikanaji wa maji haitatatuliwa...

Habari Mchanganyiko

Wanawake wawa chachu uhifadhi wa misitu

  WANAWAKE wanaoishi katika jamii zenye uhifadhi na usimamizi shirikishi wa misitu wameonesha mabadiliko makubwa katika kusimamia na utumiaji wa rasilimali hizo. Anaripoti...

Kimataifa

Afrika Kusini yataka mashirika kununua chanjo za Covid 19 Afrika

  RAIS wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa,ameyataka mashirika ya kimataifa na mashirika ya wafadhili kununua chanjo za Covid 19 kutoka kwa wazalishaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge waliofukzwa Chadema watinga bungeni

  BAADHI ya Wabunge wa Viti Maalum waliofukuzwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wametinga bungeni siku moja baada ya Baraza...

Habari Mchanganyiko

Bloomberg Media yazindua mafunzo uandishi habari za fedha Tanzania

TAASISI ya Bloomberg Media Initiative Africa (BMIA) imetangaza kuanza kwa awamu ya pili ya programu ya mafunzo ya uandishi wa habari za masuala...

Habari za SiasaTangulizi

Barua kuwang’oa kina Mdee yatua bungeni, Chadema yasema…

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema kimesema, kimewasilisha barua kwa Spika wa Bunge kumweleza kuhusu hatima ya rufaa za waliokuwa...

Habari Mchanganyiko

Panya Road 23 wadakwa, wadai walifanya matukio kulipa kisasi

KAMANDA wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, ACP Jumanne Muliro, amesema wanawashikilia watuhumiwa 23 kwa tuhuma za unyang’anyi wa...

Habari Mchanganyiko

GF Truck yawatangazia neema wakandarasi wadogo

  KAMPUNI ya GF Trucks & Equipmentís imepanga kuanza kuwakopesha vitendea kazi wakandarasi ili kuhakikisha wakandarasi wadogo na wakati. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Rufaa za kina Mdee zatupwa, Mbowe asema…

  RUFAA za Halima Mdee na wenzake 18 za kupingwa kufukuzwa uanachama na kamati kuu ya Chadema zimetupiliwa mbali na wajumbe wa Baraza...

Habari za SiasaTangulizi

Rufaa za kina Mdee zilivyosikilizwa

  BARAZA Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania limemaliza kusikiliza rufaa za Halima Mdee na wenzake 18 . Anaripoti...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yatoa mapendekezo kuboresha elimu nchini

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeitaka serikali kukabiliana na changamoto ya upungufu wa walimu na kuboresha elimu katika sekta hiyo. Anaripoti Rhoda Kanuti Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Bobi Wine asema alishinda Urais kwa asilimia 53

KIONGOZI wa Harakati za nguvu za umma na Rais wa chama cha National Unit Platform (NUP), Robert Kyagulanyi Ssentamu amesema alishinda urais katika...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee: Tuko tayari kwa lolote

  HALIMA Mdee na wenzake 18 wamesema wamefika kusikiliza rufaa zao wakisema “tuko tayari kwa lolote.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

LIVE: Baraza Kuu Chadema, kina Mdee

  MKUTANO wa Baraza Kuu la chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema unafanyika leo Jumatano tarehe 11 Mei 2022, katika ukumbi...

Kimataifa

Kim Jong Un ampongeza rais Putin kwa siku ya Ushindi

  KIONGOZI wa Korea Kaskazini Kim Un ametuma salamu za pongezi kwa Rais VIadimir Putin baada ya kusherekea Siku ya Ushindi ya Urusi...

Habari za Siasa

Serikali yakopa WB, IMF kukabili mfumuko wa bei

  SERIKALI imesema imeanza mchakato wa kuchukua mkopo kutoka Benki ya Dunia (WB) na Shirika la Fedha Duniani (IMF) kwa ajili ya kuwekaahueni...

error: Content is protected !!