Categorizing posts based on type of post
MBOBEZI wa sheria nchini na Wakili wa Mahakama Kuu, Prof. Abdallah Safari amesema, iwapoDk. Adelardus Kilangi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), atagoma kutekeleza hukumu...
By Hamisi MgutaMay 24, 2019RAIS John Magufuli anatarajiwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa zinazotarajiwa kufanyika kesho tarehe 25 Mei 2019. Anaripoti...
By Regina MkondeMay 24, 2019WANAWAKE mkoani Morogoro wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa...
By Christina HauleMay 23, 2019SERIKALI imesema, bado inaangalia uwezekano kwa Watanzania waishio nje ya nchi, kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zijazo. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Kauli hiyo imetolewa leo...
By Regina MkondeMay 23, 2019MBUNGE wa Shinyanga Mjini, Stephen Massele leo tarehe 23 Mei 2019, ametibuana na Job Ndugai, Spika wa Bunge. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Massele ambaye...
By Mwandishi WetuMay 23, 2019TAARIFA za ujio wa Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki zimekolezwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti...
By Bupe MwakitelekoMay 23, 2019VYAMA vinane vya upinzani nchini, vimedhamiria mambo mawili makubwa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani. Anaripoti Hamisi...
By Masalu ErastoMay 22, 2019MBUNGE wa Jimbo la Bumbwini, Muhammed Amour Mohammed (CUF), amesema kuwa serikali imekuwa ikitoa majibu mepesi kwa maswali yanayoulizwa na serikali. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageMay 22, 2019KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amesema kuwa, chama hicho kitaendelea kuongoza dola kwa zaidi ya miaka 100 ijayo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 22, 2019MBUNGE wa Ulanga, Goodluck Mlinga ameeleza kushangazwa na hatua ya serikali kugawa mipira ya kiume ya kujamii (kondom) kwa wazinifu bure, huku ikishindwa kugawa...
By Danson KaijageMay 22, 2019MRITHI wa Joshua Nassari katika Jimbo la Arumeru Mashariki, Dk. John Pallangyo, ameapishwa leo tarehe 22 Mei 2019 kuwa mbunge wa jimbo hilo...
By Danson KaijageMay 22, 2019MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT- Wazalendo), Zitto Zuberi Kabwe, ameituhumu serikali kwa kile alichokiita, “kushindwa au kunyamazia,” vitendo vya ubakaji wanavyofanyiwa wapigakura wake....
By Danson KaijageMay 21, 2019SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limekinzana na madai kwamba, linatoa gawio kwa serikalini licha ya kujiendesha kwa hasara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika...
By Mwandishi WetuMay 21, 2019WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameteua wajumbe saba wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), akiwemo...
By Masalu ErastoMay 21, 2019STEPHEN Masele, Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM) amesema, hajawahi kukurupuka katika kusimamia jambo lolote. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Alitoa kauli hiyo muda mfupi...
By Mwandishi WetuMay 21, 2019MWANAHARAKATI Mdude Nyagali, amehusisha kutekwa kwake na sababu za kisiasa huku akisisitiza kwamba, hatorudi nyuma. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). “Ninachojua ni kuwa, nilitekwa kwa...
By Faki SosiMay 20, 2019RAIS John Magufuli amemkabidhi Sh. 10 Mil Mufti wa Tanzania, Aboubakar Bin Zubeir kwa ajili ya kusaidia kuendeleza Qur’an nchini. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Akimkabidhi...
By Hamisi MgutaMay 19, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeendelea kusikiliza kesi Na. 237/2018 ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama...
By Faki SosiMay 17, 2019BENARD Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa, “amemshutumu” mfanyabiashara na mmoja wa wanasiasa mashuhuri nchini, Rostam Aziz,...
By Regina MkondeMay 17, 2019MBUNGE wa Mgogoni, Dk. Suleiman Ally Yusuph amehoji kwa nini ripoti za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania (THBUB) haziwekwi...
By Mwandishi WetuMay 17, 2019MASHAKA Juma, shahidi wa pili kwenye kesi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameieleza mahakama kuwa, wakili anambana kwenye maswali....
By Faki SosiMay 17, 2019RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe na Uyui mkoani Tabora. Anaripoti Regina Mkonde …...
By Regina MkondeMay 17, 2019SHAHIDI wa tatu, Shabani Hamis (40) kwenye kesi Na. 327/2018 ya uchochezi inayomkabili Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameieleza mahakama kwamba,...
By Faki SosiMay 16, 2019SHAHIDI wapili kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa, analichukia...
By Faki SosiMay 16, 2019STEPHEN Masele, Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP), ambaye pia ni Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM) amesema, hana tabia ya kueleza...
By Regina MkondeMay 16, 2019MNYUKANO kati ya Job Ndugai, Spika wa Bunge na Profesa Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), bado unaendelea. Anaripoti...
By Danson KaijageMay 16, 2019BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limesimamisha uwakilishi wa Mbunge wa Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele hadi Kamati ya Haki, Maadili...
By Danson KaijageMay 16, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imeahairisha kusikiliza ushahidi wa shahdi wa tatu wa upande wa mashitaka katika kesi inayowakabili...
By Faki SosiMay 16, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeendelea kusikiliza kesi namba 112 ya uchochezi, inayowakabili viongozi wa Chama cha Demokrasia na...
By Faki SosiMay 15, 2019PROFESA Paramagamba Kabudi, aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, ametakiwa kujiuzulu kwa madai ya kushindwa kumshauri vizuri Rais John Magufuli. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...
By Danson KaijageMay 15, 2019SHABANI Hassani Shahidi kwenye kesi namba 112 ya mwaka 2018 inayowakabali viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameweka wazi kuwa hana...
By Faki SosiMay 15, 2019MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad amesema, maofisa wanatakiwa kufanya kazi kwa kujiamini pia kujibu hoja kwa...
By Danson KaijageMay 14, 2019LEO tarehe 14 Mei 2019, shahidi wa pili upande wa serikali kwenye kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi wa Chadema, ametoa ushahidi wake. Jopo...
By Faki SosiMay 14, 2019CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeshangazwa na hatua ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyobatilisha wakurugenzi kusimamia uchaguzi. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeMay 14, 2019SERIKALI imesema, inaendelea kutoa ruzuku ya maendeleo kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa ili kuziwezesha kutekeleza miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali zikiwemo afya...
By Danson KaijageMay 14, 2019SHAHIDI wa upande wa mashitaka katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amedai kuwa kiongozi huyo alibeba...
By Mwandishi WetuMay 14, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu inaendele na usikilizwaji wa kesi namba 112, ya mwaka 2018, inayowakabili viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na...
By Faki SosiMay 14, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kusutu imeendelea na usikilizaji wa kesi inayowakbali viongozi Waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambapo leo tarehe...
By Faki SosiMay 13, 2019MVUA inayoendelea kunyesha mfululizo jijini Dar es Salaam, imesababisha mawasiliano ya barabara kukatika kwenye baadhi ya maeneo ya jiji hilo. Anaripoti Regina Mkonde...
By Regina MkondeMay 13, 2019BAADA ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuwang’oa wakurugenzi wa halmashauri kusimamia chaguzi, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeibuka na madai saba. Anaripoti...
By Faki SosiMay 13, 2019WATU ambao hawajatambulika, wamepora vito vya thamani wakati wa shughuli ya maziko ya mfanyabiashara na aliyekuwa mkurugenzi wa kampuni zilizo chini ya IPP...
By Mwandishi MaalumMay 12, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu itaendelea na usikilizaji wa kesi za uchochezi zinazowakabili viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na...
By Faki SosiMay 11, 2019MADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Chamwino, Dodoma wamemuomba Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Athumani Masasi, kuwachukulia hatua za kinidhamu watumishi wanaoibia mapato...
By Danson KaijageMay 11, 2019MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imebatilisha kifungu cha sheria cha 7(3), kinayowaruhusu Wakurugenzi wa Manispaa na Halmashauri kuwa wasimamizi wa Uchaguzi...
By Faki SosiMay 10, 2019MVUA zinayoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam, zimesababisha uharibifu wa mali na makazi, maafa, madarasa ya shule kujaa maji na hata...
By Regina MkondeMay 10, 2019SERIKALI ya Ujerumani imeongeza muda wa mkataba wa ushirikiano wake na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika masuala mbalimbali ya...
By Regina MkondeMay 10, 2019CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza maendeleo ya afya ya mwanachama wake Mdude Nyagali, amejeruhiwa kichwani. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Kwa...
By Faki SosiMay 9, 2019KAULI ya Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwamba, hakuwahi kutegemea kuona Mchaga angeweza kutoa msaada kwa walemavu na kwamba,...
By Kelvin MwaipunguMay 9, 2019MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Fredrick Shoo, amekemea tabia ya baadhi ya viongozi, kupandikiza chuki za ubaguzi...
By Kelvin MwaipunguMay 9, 2019KAULI ya Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwamba, ni marufuku madaktari, wakunga na wauguzi nchini kufukuzwa...
By Danson KaijageMay 9, 2019