Saturday , 27 April 2024
Home mwandishi
8722 Articles1244 Comments
Habari Mchanganyiko

Vodacom yarahisisha upatikanaji wa bima wiki ya Nenda kwa Usalama Mwanza

  TAASISI za umma nchini zimeshauriwa kushirikiana na taasisi binafsi katika jitihada za kuhakikisha teknolojia inatumika ipasavyo ili kupunguza ajali za magari nchini....

Habari Mchanganyiko

NMB yazindua mikopo nafuu elimu ya juu, Waziri Mkenda asema…

BENKI ya NMB imetenga Sh bilioni 200 kwa ajili ya kuwakopesha wafanyakazi wanaotaka kupata elimu ya juu au wale wanaohitaji fedha za kuwasomesha...

Kimataifa

Kimbunga Freddy chaua 100 Malawi, Msumbiji

  KIMBUNGA Freddy, kilichoambatana na upepo mkali na mvua kubwa, kimerejea kusini mwa Afrika na kuua watu takriban 100 katika nchi za Malawi...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema Katibu Mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu atavaa viatu vyake vya uongozi...

Habari Mchanganyiko

BoT yaongeza siku 30 usimamizi wa Yetu Microfinance Bank Plc

  BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeongeza muda wa siku 30 wa usimamizi wa Yetu Microfinance Bank Plc baada ya mchakato wa kutathmini...

Habari za Siasa

Ataka vifungu vinavyowabana vijana kugombea uongozi viondolewe

  MWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Mkoa wa Dar es Salaam, Felix Kamugisha, ameitaka Serikali kurekebisha vifungu vinavyozuia vijana...

Habari Mchanganyiko

Serikali yakadiria bajeti ya Sh 44.3Tril. mwaka 2023/24

  SERIKALI imewasilisha kwa Wabunge Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/24,...

Habari za SiasaKimataifa

Marekani yataja sababu Kamala Harris kutua nchini

SERIKALI ya Marekani imesema ziara ya Makamu wa Rais wa Taifa hilo, Kamala Harris kwa nchi za Afrika ikiwamo Tanzania, ni kujadili vipaumbele...

Habari za Siasa

Dk. Mpango awafunda Ma-DC, atoa maelekezo saba

  MAKAMU wa Rais nchini Tanzania, Dk. Philip Mpango, amewafunda Wakuu wa Wilaya kwa kuwapa maelekezo saba yakuzingatia ili kuwasaidia kutimiza majukumu yao...

Habari Mchanganyiko

Samsung, Vodacom waileta Galaxy S23 kwa mara kwanza Tanzania

  KAMPUNI za Samsung na Vodacom Tanzania Plc zimeshirikiana tena kwa mara nyingine kuzindua simu ya mkononi ya Samsung Epic Galaxy S23. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Papa Francis atimiza miaka 10 ya uongozi

  KIONGOZI mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, leo Jumatatu anaadhimisha miaka 10 tangu alipochaguliwa kuliongoza kanisa hilo duniani. Papa Francis, mwenye...

Habari Mchanganyiko

Saba wadaiwa kupoteza maisha kwa kula kasa Mafia

  WATU saba wanadaiwa kupoteza maisha kisiwani Mafia, mkoani Pwani baada ya kula samaki aina ya kasa anayedaiwa alikuwa na sumu. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Dk. Mpango: Siri ndiyo uhai wa Serikali

  MAKAMU wa Rais nchini Tanzania, Dk. Philip Mpango, amewataka Wakuu wa Wilaya kote nchini kudhibiti uvujaji wa siri za serikali kwa kuepuka...

Habari Mchanganyiko

Bwala la Nyerere kujaa kwa misimu miwili

BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB) imesema iwapo mvua zitanyesha kwa kipindi cha miaka miwili ya msimu, Bwawa la Mwalimu Nyerere litakalozalisha...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aipongeza GGML kwa kuwainua wanawake, mhitimu FFT aula

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuwawezesha wanawake walioajiriwa ndani ya kampuni hiyo kujiendeleza kielimu pamoja...

Habari Mchanganyiko

NMB yashinda Tuzo ya Benki Bora Tanzania 2023, Ruth Zaipuna aibuka tena Mkurugenzi Bora

Benki ya NMB imeandika historia nyingine baada ya kutwaa Tuzo ya Benki Bora Tanzania kwa mwaka 2023 katika mkutano wa Africa Bank 4.0...

Habari Mchanganyiko

Walezi wa watoto kupikwa kwa mtaala mmoja

Serikali ipo mbioni kukamilisha Mwongozo wa Mafunzo wa Malezi ya Watoto wadogo na wachanga ili kuleta uwiano na uelewa unaofanana wa ufundishaji wa...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 1300 kidato cha kwanza watokomea kusikojulikana, DC acharuka, atoa siku 7

MKUU wa wilaya ya Mbozi mkoani Songwe Ester Mahawe ametoa siku  saba kwa maafisa elimu wilayani Mbozi kuhakikisha wanafunzi 1300 wa kidato cha...

Kimataifa

Xi afanya mabadiliko makubwa baraza mawaziri

Baraza Kuu la Chama cha Kikomunisti cha China limeidhinisha baraza jipya la mawaziri linaoundwa na marafiki wa karibu wa Rais Xi Jinping katika...

Habari Mchanganyiko

Askofu awataka vijana kufanya kazi, kuacha utegemezi

ASKOFU mkuu wa kanisa la The Potter’s House Tanzania (PHCT), Ruth Kusenah amewataka vijana  wote nchini kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiongezea...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

WAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Turiani mkoani Morogoro, uongozi wa klabu hiyo umesema...

Habari Mchanganyiko

TRC waendesha zoezi la kutwaa ardhi kwa ajili ya kupisha ujenzi wa SGR Tabora

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) linaendelea na utekelezaji wa utwaaji ardhi kwa matumizi ya ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) mkoani Tabora katika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, amempandisha cheo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar...

Habari Mchanganyiko

Wadau haki binadamu wataka mfumo wa jinai ufumuliwe

WADAU wa masuala ya utetezi wa haki za binadamu, wameshauri mfumo mzima wa haki jinai nchini ufumuliwe kwa maelezo kwamba haukidhi mahitaji ya...

Habari Mchanganyiko

Wanavijiji waikumbuka sekondari iliyokosa maabara kwa miaka 17

WANAVIJIJI wa Kata ya Bukumi, wilayani Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, wamejenga maabara tatu za masomo ya sayansi katika Shule yao ya Sekondari...

Habari Mchanganyiko

Michuzi aipongeza GGML kufungua fursa kwa wanawake, aahidi ushirikiano

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahara Michuzi ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuanzisha program zinazolenga kufungua fursa...

Habari za SiasaTangulizi

Wanachama 384 CUF watimkia Chadema, Mbowe awapokea, Kambaya ndani…

JUMLA ya wanachama 384 wanachama wa Chama cha Wananchi CUF akiwamo aliyekuwa Mkurugenzi wa habari na uenezi wa chama hicho, Abdul Kambaya, wametangaza...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi saba NMB wahitimu mafunzo ya Mwanamke Kiongozi (FFT)

JUMLA wafanyakazi wa kike saba wa Benki ya NMB wamehitimu mafunzo Mwanamke Kiongozi yanayoratibiwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE)  yenye lengo la kuwajengea uwezo...

Kimataifa

India, China hatarini kuingia katika mzozo wa kijeshi

RIPOTI ya Jumuiya ya Kijajusi ya Marekani imebaini kuna uwezekano wa kuwepo wa hatari ya kuibuka mzozo wa kijeshi kati ya India na...

Habari Mchanganyiko

UWT Kivukoni Dar waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kupima afya bure

UMOJA wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi UWT Kata ya Kivukoni jijini Dar es Salaam umeadhimisha Siku ya Wanawake duniani kwa kuendesha kampeni...

Habari Mchanganyiko

TLS yatakiwa kuwajengea uwezo wanacha wake

  WAKILI Mkuu wa Serikali amekitaka Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) kuendelea kuwajengea uwezo wanachama wake ili waweze kufanya kazi kwa weledi...

Habari Mchanganyiko

Majaji wanawake waongezeka, Jaji Mkuu awapa changamoto

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amewataka majaji na mahakimu wanawake nchini, kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya...

Habari za Siasa

Kesi kina Mdee:Dk. Lwaitama asema atatetea uanachama wao wakiachia ubunge

MJUMBE wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Prof. Azavel Lwaitama, amesema atakuwa wa kwanza kuwatetea wabunge viti maalum...

Burudika

Makali ya Skillager kwenye ‘Busy Body’ usipime!

MWANAMUZIKI anayekuja kwa kasi kwenye game ya Afro Pop, Felix Philemon Sola ‘Skillager’ ameachia kitu kipya, ‘Body Busy’. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Msanii...

Habari za Siasa

Dk. Lwaitama aeileza mahakama kina Mdee walivyomtesa Mbowe

  MJUMBE wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Azavel Lwaitama, amedai wanachama 19 waliofukuzwa na chama hicho...

Habari Mchanganyiko

Wakandarasi watumia mikokote ya ng’ombe kujenga barabara Songwe

IMEELEZWA kuwa kutelekezwa kwa baadhi ya miradi ya ujenzi wa barabara na madaraja katika mkoa wa Songwe imetokana na baadhi ya wakandarasi waliopewa...

Habari za Siasa

Mahakama yakubali ombi la Serikali kuwahoji vigogo Chadema

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imekubali ombi la upande wa Serikali kuwahoji wajumbe wa Baraza la Wadhamini la Chama...

Habari za Siasa

Dk. Lwaitama: Wakati wa Magufuli ungeweza kutagazwa mbunge hata kama hujachaguliwa

UTEUZI wa wabunge wa viti maalum 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiongozwa na Halima Mdee, umeibua mvutano wakati Mjumbe wa...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Equity yaadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake kidigitali

BENKI ya Equity imeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa kubainisha vipaumbele vya vinavyotoa suluhisho kidigitali katika utoaji huduma za benki kwa wanawake....

Habari Mchanganyiko

Kesi kina Mdee: Serikali yaomba kuwahoji mahakamani vigogo wa Chadema

  UPANDE wa Serikali, umeiomba Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, kupata kibali cha kuwauliza maswali ya dodoso wajumbe wa Bodi...

Burudika

Savage adondosha ‘your waist’ X King Perryy, Psycho YP

MSANII wa muziki wa Rap kutoka Nigeria, Savage a.k.a Savage tha Beast amerejea tena na wimbo wake mpya ‘Your Waist’ akiwa amegonga kolabo...

Habari Mchanganyiko

Barrick yawataka wanawake kuchangamkia fulsa katika sekta ya madini

MENEJA Mkuu wa Barrick Tanzania, Dk. Melkiory Ngido amewataka Wanawake kijiamini na kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo katika sekta ya uchimbaji wa madini. Anaripoti...

Burudika

Lojay aachia ‘moto’, kusafishia njia EP mpya ‘gangster romantic’

STAA wa Amapiano aliyetesa vilivyo na kibao chake ‘Monalisa’, Lojay sasa ameachia mtaani singo yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘MOTO’, ikiwa ni...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Akiba wazindua waridi akaunti kwa wanawake wajasiriamali

BENKI ya Akiba Commercial Bank (ACB) imezindua akaunti mpya iliyopewa jina la WARIDI ambayo ni maalumu kwa wafanyabiashara wanawake nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Vigogo Chadema kubanwa na kina Mdee mahakamani leo

  WAJUMBE wa Bodi ya Wadhamini ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Azavel Lwaitama na Ruth Mollel, wanaanza kuhojiwa na mawakili...

Elimu

Harambee ujenzi sekondari za Musoma Vijijini yashika kasi

  HARAMBEE ya ujenzi na ukarabati wa shule za sekondari zilizoko katika Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, imeshika kasi baada ya Kampuni...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi wa kike GGML watoa msaada wa vifaa tiba katika halmashauri ya Geita

KIKUNDI cha wafanyakazi wa kike wanaofanya kazi katika kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML ladies) wanaofanya kazi mjini Geita, wametoa msaada wa...

Habari Mchanganyiko

NMB yaweka historia mpya, yaorodhesha hatifungani soko la mitaji Ulaya

Tukiwa tunaadhimisha siku ya wanawake duniani, NMB imeandika historia mpya kwa kuwa Benki ya kwanza Kusini mwa Jangwa la Sahara kuorodhesha hatifungani ya...

Habari Mchanganyiko

Bayport yatoa milioni 15 kusaidia watoto 300 Muhimbili

  TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mikopo kwa watumishi wa umma, imejitolea Sh milioni 15 kusaidia gharama ya matibabu...

Habari Mchanganyiko

LSF yatatua migogoro 315 ya kifamilia mtandaoni

  SHIRIKA linaloshughulika na masuala ya msaada wa kisheria, Legal Services Facility (LSF), limetatua migogoro ya kifamilia 315, kupitia huduma yao ya mtandaoni...

error: Content is protected !!