BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali katika sekta ya afya na elimu kwa halmashauri tatu za Mlimba, Malinyi na Manispaa ya...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023MHARIRI wa Gazeti la Raia Mwema, Martin Malera, amepata pigo baada ya kufiwa na mkewe, Patricia Malera, ikiwa ni miezi michache tangu...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023MAMLAKA ya Mapato Tanzania(TRA), imekusanya Sh. 5.9 trilioni katika robo ya tatu (Januari-Machi) ya mwaka wa fedha 2022/23 ikiwa ni sawa na...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesema haijatangaza nafasi za kazi baada ya kuwepo kwa taarifa za baadhi ya wananchi kupigiwa simu...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023KENYA inajiandaa kurusha satelaiti yake ya kwanza kabisa ya uchunguzi wa dunia katika kile kinachoelezwa kuwa mafanikio ya kihistoria katika juhudi za...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, (Chadema), Aida Khenani, amewataka baadhi ya wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), “waache unafiki” ili wamsaidie Rais Samia...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023BAADHI ya wabunge wameihoji Serikali ina mpango gani wa kuboresha vituo vya afya chakavu, ili viweze kutoa huduma bora za afya kwa...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023WAKATI wanasayansi wakihaha kutafuta dawa ya kutibu Virusi Vya Ukimwi (VVU), nchini Kenya imebainika kuwa kuna ugonjwa mpya unaohusiana na magonjwa ya zinaa....
By Mwandishi WetuApril 4, 2023KATIKA mendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amegawa futari kwa wazee, wajane na watu...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023WAKATI Tanzania ikiadhimisha Siku ya Upandaji Miti Kitaifa tarehe 1 Aprili 2023, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeahidi kudumisha dhamira yake...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023NI stori ambayo inafanya vizuri sana kwa vijana wengi wenye ndoto za kumiliki magari, nyumba na kusimamia biashara zao, habari za Mwarabu mshindi...
By Mwandishi WetuApril 3, 2023Finland itakuwa mwanachama wa 31 wa Muungano wa Kijeshi wa NATO kuanzia kesho Jumanne tarehe 4 Aprili 2023. Yameripoti Mashirika ya Kimataifa...
By Mwandishi WetuApril 3, 2023KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameshauri mchakato wa maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, uwe wa wazi pamoja...
By Mwandishi WetuApril 3, 2023WAJUMBE wa Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) wamemchagua, Ramadhani Omary kuwa Katibu wa Baraza la Wafanyakazi...
By Mwandishi WetuApril 3, 2023RAIS wa Benki ya Dunia (WB), David Malpass amesema ana wasiwasi kuhusu baadhi ya mikopo ambayo China imekuwa ikitoa kwa nchi zinazoendelea...
By Mwandishi WetuApril 3, 2023RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amemuapisha Jenista Mhagama kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) kwenye...
By Mwandishi WetuApril 2, 2023KATIKA kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhan, Benki ya NMB mwishoni mwa wiki iliandaa hafla ya futari kwa wateja wake jijini Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuApril 2, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri, Kwa kuwahamisha mawaziri wawili. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....
By Mwandishi WetuApril 1, 2023KATIKA muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile (CCM) ameungana na Waumini zaidi ya 500...
By Mwandishi WetuApril 1, 2023ALIYEWAHI kuwa mkuu wa mikoa ya Dodoma, Mara, Mtwara na Arusha kwa nyakati tofauti, Isdory Shirima amefariki dunia leo tarehe 31 Machi 2023....
By Mwandishi WetuMarch 31, 2023NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kuendeleza na kutunza rasilimali za maji hapa nchini ni jambo la msingi...
By Mwandishi WetuMarch 31, 2023KATIKA kuimaridha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi baina ya Tanzania na Marekani, Makamu wa Rais wa Taifa hilo kubwa duniani, Kamala Harris, amesema...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2023JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limetoa cheti cha utambuzi kwa Benki ya NMB kuwa moja ya wadhamini wakuu wa mkutano wa 12 wa...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2023UKAGUZI Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu fedha makubaliano ya washatakiwa na Ofisi ya Taifa ya Mwendesha Mashitaka...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2023MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kicheere amesema ukaguzi wa mfumo wa ulipaji wa Mfuko wa Bima ya Afya...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2023Mabalozi kutoka nchi sita za Magharibi, zikiongozwa na Marekani, zimeonesha wasiwasi kuhusu maandamano yanayoendelea nchini Kenya na kutaka kuwepo kwa maridhiano kati...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2023KIONGOZI wa Kanisa katoliki duniani, Papa Francis jana Jumatano amelazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu baada ya kukabiliwa na matatizo ya...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2023BENKI ya NMB imekabidhi vifaa vya ujenzi kwa shule ya msingi Sinyaulime na Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa (FDC) vyenye thamani ya...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2023MIKUMI ni miongoni mwa hifadhi za Taifa, inashika nafasi ya 9 kwa ukubwa kati ya hifadhi 22 zinazosimamiwa na Shirika la Hifadhi za...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2023MSIMU wa tatu wa Kampeni ya kuhamasisha utamaduni wa Kuweka Akiba na Benki ya NMB ‘NMB Bonge la Mpango’, umezinduliwa rasmi na Mkuu...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2023MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kicheere ametoa hati mbaya kwa Wakala wa Umeme na Ufundi Tanzania (TEMESA)...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2023MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema amebaini upotevu wa kodi ya zuio ya Sh 749 uliotokana...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2023MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewataka wazazi kupeleka chakula shuleni, ili watoto wasiwe watoro, hali ambayo itaongeza ufaulu....
By Mwandishi WetuMarch 29, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari Tanzania kufanya kazi kitaaluma bila uoga, upendeleo na uonevu. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2023SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limezidi kufanya vizuri katika shughuli za uchorongaji miamba ya madini baada ya kusaini mkataba wa thamani ya...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2023BENKI ya NMB imetoa traksuti kwa mkoa wa Mtwara ambako kutafanyika shughuli ya kuwashwa Mwenge wa Uhuru Aprili 2, 2023, katika Uwanja wa...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2023KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea nyumba ambayo aliwahi kuishi yeye na babu yake miaka ya 1960, jambo ambalo...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2023MKULIMA maarufu wa mazao ya alizeti, mahindi, mpunga pamoja na mazao mengine ya chakula katika mkoa wa Mbeya, Raphael Ndelwa amesema shehena...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2023WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali kwa kuzifungia akaunti za watu wa Urusi kutokana na operesheni zake za kijeshi...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2023WAZIRI Mkuu wa nchini Israel, Benjamin Netanyahu amesema atachelewesha sehemu muhimu ya mipango yenye utata ya kurekebisha mfumo wa sheria ambao umefanya...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2023MAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania tarehe 29 Machi 2023 na kupokewa na Makamu wa Rais Dk. Philip...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2023UJIO wa Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, nchini Tanzania unaweza kuwa fursa ya kurudishwa kwa ufadhili wa Marekani kupitia Shirika la...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2023TANZANIA ni miongoni mwa nchi tatu barani Afrika zitakazotembelewa na Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris zingine zikiwa ni Ghana na Zambia. ...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2023KAMPUNI ya Kitanzania inayowezesha huduma ya kutuma na kupokea fedha kwa njia ya kidigitali sehemu mbalimbali duniani (NALA), imepata leseni ya Benki Kuu...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2023MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango, ameipongeza Benki ya NMB na kuitaja kuwa kinara katika kuunga mkono jitihada za Rais Samia...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2023MSAFARA wa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga umepita katika eneo la Kawangware jijini Nairobi nchini Kenya na kupata fursa ya...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2023WIZARA ya mambo ya ndani ya Kenya inapendekeza mabadiliko ya sheria za usalama ambayo yatafanya iwe vigumu kwa watu kufanya maandamano. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2023WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza makatibu wakuu wote, wakurugenzi wa halmashauri, wakuu wa taasisi za umma kuhakikisha taasisi zote za serikali kuanzia ngazi...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2023Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema wizara hiyo ipo hatua ya mwisho ya kukamilisha utayarishaji wa mkakati wa...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2023JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), linatarajiwa kufanya kongamano la siku nne kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali kuhusu tasnia ya habari, ikiwemo Muswada...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2023