Thursday , 2 May 2024
Home mwandishi
8769 Articles1258 Comments
Kimataifa

Wabunge wapitisha muswada wa ushoga, wapinga pendekezo la Museveni

BUNGE la Uganda jana Jumanne limepitisha rasimu mpya ya muswada wa kupambana na ushoga nchini humo, huku likibakisha baadhi ya vipengele ambavyo Rais...

Habari Mchanganyiko

TRA yataja viwango vipya kodi ya majengo inayotozwa kupitia luku

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetangaza viwango vipya vya kodi ya majengo vinavyokusanywa kwa kutumia njia ya ununuzi wa umeme kwa wamiliki. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaahidi kuhakikisha tasnia ya habari inasonga mbele

NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew amesema Serikali imeahidi kuhakikisha tasnia ya habari inasonga mbele kwa kutatua...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwinyi: Tanzania inatambua umuhimu wa vyombo vya habari

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua umuhimu...

Habari Mchanganyiko

UN yaipongeza Tanzania kuimarisha uhuru vyombo vya habari

UMOJA wa Mataifa umeipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari nchini licha ya kukosolewa vikali...

Makala & Uchambuzi

Ulinzi hifadhi za Taifa uwe wa kila mtu

UJANGILI wa wanyamapori bado ni tatizo kubwa katika hifadhi za Taifa. Kwa nchi yetu tuna jumla ya hifadhi 22 zinazosimamiwa na Shirika la...

Michezo

Meridianbet yatambulisha promosheni ya Bonus ya Ukaribisho

MERIDIANBET imetanbulisha promosheni mpya ya bonasi ya ukaribisho kutoka kasino ya mtandaoni ambayo inayompa mteja mpya anapata Sh 25,000 na mizunguko 50 ya bure...

Habari Mchanganyiko

NMB yazindua tawi la 229 Arusha, BoT yatoa neno

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT), imeipongeza Benki ya NMB kwa kuwa kinara miongoni mwa mabenki 44 nchini kwa ubunifu wa kuchagiza ukuaji wa...

Habari Mchanganyiko

Madiwani Songwe wachachamaa mradi wa milioni 600 kukwama

MADIWANI katika halmashauri ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe, wamemjia juu meneja wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira (RUWASA)...

Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri aipongeza GGML kwa kutoa fursa za ajira, zabuni kwa Watanzania

NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu, Patrobas Katambi ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)...

Habari Mchanganyiko

DC Mgeni ataka usimamizi  wa miradi ya maendeleo

MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewataka watendaji Serikali kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwemo ya maji, ili iweze...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia amerejesha matumaini ya Watanzania – NGOs

  MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali nchini (NGOs) yamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wa kimageuzi tangu aliposhika madaraka miaka miwili iliyopita, yakisema...

Habari za Siasa

Hatma ya kesi ya uraia pacha kujulikana 31 Mei mwaka huu

  KESI ya kikatiba iliyofunguliwa na raia wa Tanzania waishio nje ya nchi (Diaspora), kupinga Sheria inayokataza uraia wa nchi mbili, maarufu kama...

Habari Mchanganyiko

Ulega atangaza mabadiliko mifugo na uvuvi, nyama ya Tanzania dili Uarabuni

WAZIRI wa Mifugo na uvuvi, Abdallah Ulega ameomba kuidhinishiwa jumla ya Sh. 296 bilioni kwa ajili ya matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka...

Kimataifa

Waziri Uganda auawa na mlinzi wake

  MWANAJESHI wa Jeshi la Uganda amempiga risasi na kumuua waziri katika Serikali ya Uganda ambaye alikuwa akimlinda. Kanali mstaafu Charles Okello Engola,...

Habari Mchanganyiko

WEMA: Kutenganisha taka ndio njia rahisi ya utunzaji mazingira

  IMEELEZWA kuwa kutenganisha takataka wakati wa kuzitupa ndio njia rahisi itakayosaidia kuhifadhi mazingira na kuleta manufaa kwa jamii. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro...

Elimu

SUA kuboresha ufundishaji kupambania ajira za wahitimu

  CHUO kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) mkoani hapa kinajipanga kuboresha mbinu za ufundishaji kwa vitendo ili kuwafanya wahitimu kujiajiri na kuajiri...

Habari Mchanganyiko

GGML yaibuka kampuni kinara inayozingatia malengo ya SDGs

KAMPUNI ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML) imeibuka mshindi wa jumla katika tuzo za kampuni za kibiashara zilizoonesha kwa vitendo...

Elimu

Wanakijiji waamua kujenga sekondari, wamuangukia Rais Samia

  WANANCHI wa Kijiji cha Wanyere, Wilaya ya Musoma Vijijini mkoani Mara, wamemua kuanza ujenzi wa shule ya sekondari kwa ajili ya kuwaondolea...

Elimu

Shule ya Wasichana – Dk. Samia yamwagiwa Sh. 50 milioni za vitanda

  SERIKALI ya imetoa Sh. 50 milioni kwa Halmashauri ya Mji Tunduma kwa ajili ya ununuzi wa vitanda katika shule mpya ya sekondari...

Habari za Siasa

Rais Samia: Tumebeba ‘teaching allowance’

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema suala la posho ya kufundishia (teaching allowance) kwa walimu ni mzigo mkubwa kwenye kapu la serikali hivyo...

Habari za Siasa

Rais Samia aongeza mishahara kimya kimya “nyongeza zitaendelea kila mwaka”

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametangaza kurejesha mpango wa nyongeza ya mishahara kila bila kutaja viwango ili kudhibiti mfumuko wa bei. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

NMB ‘yawapiga msasa’ wanawake wa TUICO Morogoro

WANAWAKE wa Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri Tanzania (TUICO), wametakiwa kuvutiwa na mafanikio kitaifa na kimataifa...

HabariHabari Mchanganyiko

Sekta ya Mawasiliano imekuwa na maendeleo makubwa ya kiuchumi nchini-Mohamed

Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serikali Mapinduzi Zanzibar Khalid Salum Mohamed miaka ya hivi karibuni kumekuwa na maendeleo makubwa katika sekta ya...

Habari Mchanganyiko

St. Mary Goreti yaonesha njia, yazindua harambee kubwa kuelekea Jubilee

  SERIKALI mkoani Kilimanjaro imeupongeza uongozi wa shule ya sekondari ya St Maria Goreti iliyoko Moshi, kwa ubunifu na juhudi katika kuboresha na...

Burudika

Mr Eazi, DJ Edu kuachia ngoma mpya ya Wena

BAADA ya kutangaza habari kubwa za ujio wa project ya Afrodance Soundsystem, wasanii wakubwa wa muziki, Mr Eazi na DJ Edu wameachia ngoma...

HabariHabari Mchanganyiko

TCRA yawataka wasafirishaji wa vipeto kujisajili na wengine kuhuisha leseni

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki imetoa wito kwa wadau wa posta wenye leseni kuhakikisha kuwa wanafuata taratibu, kanuni na sheria...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa akagua maandalizi sherehe Mei Mosi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maandalizi kuelekea sherehe za siku ya wafanyakazi duniani zitakazofanyika kesho Mei 1, 2023 kitaifa Mkoani Morogoro...

Habari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho ya OSHA, yaibuka benki kinara yenye sera bora ya usalama, afya mahali pa kazi

KATIKA maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi duniani yanayoratibiwa kitaifa na Wakala wa Afya na Usalama Mahali pa kazi...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Mwanga wazindua tawi jipya Arusha

BENKI ya Mwanga Hakika (MHB) imezindua tawi jipya na la kisasa jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kutanua mtandao wake wa...

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Rais Samia amewaunganisha Watanzania

  RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amewaunganisha watanzania katika sekta zote nchini ili kuhakikisha wananufaika na rasilimali mbalimbali zilizopo pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Tamisemi yafunguka usiri ajali ya Naibu Waziri, Dk. Mpango amjulia hali

  HATIMAYE Wizara Ofisi ya Rais-TAMISEMI, imetoa taarifa rasmi kuhusu hali ya kiafya ya Naibu Waziri wake, Dk. Festo Dugange, aliyepata ajali jijini...

Habari Mchanganyiko

NMB yajitosa sherehe za Mei Mosi, yatoa milioni 50

WAKATI Watanzania wakiungana na wafanyakazi wengine duniani kusherekea sikukuu ya wafanyakazi maarufu ‘Mei Mosi,’ Benki ya NMB imejitosa kufadhili sherehe hizo. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mwalimu matatani tuhuma za ubakaji mwanafunzi

  MWALIMU Tunu Broun (37) wa shule ya msingi Senjele wilayani Mbozi mkoani Songwe amedaiwa kutokomea kusikojulikana akikwepa mkono wa sheria baada ya ...

Habari Mchanganyiko

DC Momba awataka madiwani kubuni mbinu za ukusanyaji mapato

  MKUU wa wilaya ya Momba mkoani Songwe, Fakii Lulandala amewataka watendaji na madiwani kupanga mbinu mpya za kuhakikisha wanabuni vyanzo vipya vitakavyoongeza...

Habari Mchanganyiko

Prof. Muhongo aitahadharisha serikali utoaji leseni za uchimbaji madini mapya

  MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, amezitaka Serikali kuwa makini katika utoaji leseni za uchimbaji madini mapya ya kimkakati, ili yanufaishe...

Kimataifa

Hofu ya ukosefu wa ajira yatanda China

  WAKATI Serikali ya Kikomonisti nchini China ikiweka mkakati wa kukuza ajira hofu ya vijana kukosa ajira mijini imeongezeka. Imeripotiwa na Bloomberg …...

Habari Mchanganyiko

DC Uyui awataka wananchi kutoa ushirikiano zoezi utwaaji ardhi

  MKUU wa Wilaya ya Uyui,  Zakaria Mwansasu amewataka wananchi wa kijiji cha Malongwe kutoa ushirikiano kwa timu kutoka Shirika la Reli Tanzania...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa azindua kampeni ya Mama Samia, atembelea banda la NMB

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuitumia kampeni ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kutoa taarifa kuhusu uwepo wa watu...

Habari Mchanganyiko

GGML yaibuka muonyeshaji bora katika maonyesho ya OSHA- 2023

KATIKA maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi  yanayoratibiwa na Wakala wa afya na usalama mahali pa kazi (OSHA), Kampuni...

Habari za Siasa

Mbowe ataka rasilimali watu ikomboe Afrika kiuchumi

  MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Vyama vya Kidemokrasia Afrika (DUA), Freeman Mbowe, amezitaka nchi za Afrika kutumia vyema rasilimali watu ili kukomboa...

Habari Mchanganyiko

Infinix, Vodacom wazindua Infinix Hot 30 na chemsha Bongo ya Tech kwa wanachuo 

KAMPUNI ya Vodacom kwa kushirikiana na Infinix leo wametangaza uzinduzi wa sim mpya ya Infinix toleo la HOT  30 pamoja na kampeni ya...

Habari Mchanganyiko

GGML yaja na teknolojia za kisasa maonesha ya afya na usalama mahali pa kazi

KATIKA kuadhimisha siku ya usalama na afya mahala pa kazi duniani – 2023 ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Morogoro, Kampuni ya Geita Gold Mining...

Habari za Siasa

Samia ateua Mwenyekiti mpya baraza la maadili

  RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji mstaafu Rose Teemba kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili kuanzia tarehe 24 Aprili 2023. Jaji mstaafu...

Habari Mchanganyiko

NMB yaahidi neema ya meza, viti shule ya Sekondari ya Kumbukumbu ya Sokoine

 BENKI ya NMB ipo mbioni kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa kumaliza changamoto ya upungufu wa meza na viti kwa walimu wa shule ya...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa awataka wananchi kuitumia kampeni ya Samia Aid kutokomeza ukatili

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wananchi watumie huduma ya msaada wa kisheria ya Mama Samia (Samia Legal Aid Campaign), kutokomeza vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

NMB yatenga bilioni 1 kuwawezesha wabunifu wanaochipukia

BENKI ya NMB imeendelea kuunga mkono juhudi ya Serikali kupitia Wizara ya Sayansi, Elimu na Teknolojia, kwa kutenga kiasi cha bilioni moja kwa...

Michezo

Meridianbet yatoboa siri ya kushinda kirahisi kupitia BlackJack Live

MOJA kati ya michezo pendwa na wengi ni Sloti ya BlackJack Live, mchezo huu unapatikana kasino ya mtandaoni ya Meridianbet ambapo huu unakuwa...

Habari Mchanganyiko

Halmshauri Tunduma yacharuka, yataka vikundi 50 kurejesha bilioni 1.2 za mikopo

  HALMASHAURI ya mji Tunduma, wilayani Momba mkoani Songwe imevitaka vikundi vyote vilivyokopa mikopo ya asilimia 10 kurejesha kwa wakati wakati wakiendelea kusubiri...

Habari Mchanganyiko

Uholanzi yaridhishwa na mazingira ya biashara, demkkrasia na utawa bora nchini

  BALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer ameeleza kuridhishwa na mazingira ya biashara na uwekezaji, demokrasia, haki za binadamu na utawala...

error: Content is protected !!