Wednesday , 8 May 2024
Home Habari Mchanganyiko NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara
Habari Mchanganyiko

NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara

Spread the love

BENKI ya NMB imetoa traksuti kwa mkoa wa Mtwara ambako kutafanyika shughuli ya kuwashwa Mwenge wa Uhuru Aprili 2, 2023, katika Uwanja wa Nangwada Sijaona. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

 

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Col. Ahmed Abasi (wapili kulia) akipokea moja ya traksuti zitakazovaliwa na halaiki katika sherehe za kuwashwa kwa mwenge wa Uhuru kutoka kwa Kaimu meneja wa Kanda ya kusini wa Benki ya NMB, Roman Degeleki (wapili kushoto) katika hafla iliyofanyika katika uwanja wa Nangwanda sijaona, uwanja ambao shuguli ya uwashaji wa mwenge wa uhuru utafanyika. Kushoto ni Meneja wa mahusiano ya benki ya NMB na serikali wa kanda ya Kusini, Augustino Bayona

NMB imetoa traksuti hizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara (RC), Ahmed Abasi kutoka kwa Kaimu meneja wa Kanda ya kusini wa Benki ya NMB, Roman Degeleki.

1 Comment

  • Wapambania haki za Binadamu wamebuni Mbinu za Mwanamke kupata SIFA ZINAZOSTAHIZI KWA KUMWEKEA VIKWAZON VYA KILA MTU ANATAKIWA KUMUONA MWANAE ALIYEMZAA (MZEE/kabila ANATAKA URAIS KULE ULIKOENDA KUONA). MHE ULIKOOA KULE KUNA MTU ANATAKIWA KUGAWA NCHI YA TANZANIA KILA MKOA UWE NCHI..

    KAMA UNA MATOTO WA KIKE UNAJUA FURSA ULIONAYO KAMA MZAZI

    KAMA UNA MTOTO WA KIUME UNAJUA FURSA ULIYONAYO USIMSAHAU BASH YUPO KULE

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Samia: Matumizi ya nishati safi sio anasa, ladha ipo

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amesema matumizi ya nishati safi kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC, SILABU waungana kufikisha elimu ya fedha majumbani

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano...

AfyaHabari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kisukari cha mimba ni nini?

Spread the loveKisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma

Spread the loveNAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo...

error: Content is protected !!