Friday , 9 June 2023
Home Habari Mchanganyiko NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara
Habari Mchanganyiko

NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara

Spread the love

BENKI ya NMB imetoa traksuti kwa mkoa wa Mtwara ambako kutafanyika shughuli ya kuwashwa Mwenge wa Uhuru Aprili 2, 2023, katika Uwanja wa Nangwada Sijaona. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

 

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Col. Ahmed Abasi (wapili kulia) akipokea moja ya traksuti zitakazovaliwa na halaiki katika sherehe za kuwashwa kwa mwenge wa Uhuru kutoka kwa Kaimu meneja wa Kanda ya kusini wa Benki ya NMB, Roman Degeleki (wapili kushoto) katika hafla iliyofanyika katika uwanja wa Nangwanda sijaona, uwanja ambao shuguli ya uwashaji wa mwenge wa uhuru utafanyika. Kushoto ni Meneja wa mahusiano ya benki ya NMB na serikali wa kanda ya Kusini, Augustino Bayona

NMB imetoa traksuti hizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara (RC), Ahmed Abasi kutoka kwa Kaimu meneja wa Kanda ya kusini wa Benki ya NMB, Roman Degeleki.

1 Comment

  • Wapambania haki za Binadamu wamebuni Mbinu za Mwanamke kupata SIFA ZINAZOSTAHIZI KWA KUMWEKEA VIKWAZON VYA KILA MTU ANATAKIWA KUMUONA MWANAE ALIYEMZAA (MZEE/kabila ANATAKA URAIS KULE ULIKOENDA KUONA). MHE ULIKOOA KULE KUNA MTU ANATAKIWA KUGAWA NCHI YA TANZANIA KILA MKOA UWE NCHI..

    KAMA UNA MATOTO WA KIKE UNAJUA FURSA ULIONAYO KAMA MZAZI

    KAMA UNA MTOTO WA KIUME UNAJUA FURSA ULIYONAYO USIMSAHAU BASH YUPO KULE

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Askari Polisi zaidi ya 100 wapigwa msasa wa udereva kukabiliana na ajali

Spread the love  KATIKA kuhakikisha wimbi la ajali za barabarani zinapungua kama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yakana kuhamisha kwa nguvu jamii ya Kimasai Loliondo

Spread the loveWAZIRI wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, Dk. Damas Ndumbaro,...

Habari Mchanganyiko

Tunduma watenga 60 milioni kujenga machinjio ya kisasa

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma Imetenga kiasi cha Tshs Miloni 60...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 17 kujenga bandari kavu Tunduma

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma iliyopo wilayani  Momba mkoani Songwe imepatiwa...

error: Content is protected !!