Friday , 9 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia apangua mawaziri
Habari za Siasa

Rais Samia apangua mawaziri

Spread the love

RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri, Kwa kuwahamisha mawaziri wawili. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Leo tarehe 1 Aprili 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Zuhura Yunus, Rais Samia amemhamisha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na utawala Bora, kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu).

Taarifa hiyo inasema kuwa , Mhagama anachukua nafasi ya George Simbachawene, ambaye Rais Samia amemteua kwenda katika wizara aliyotoka ya Wizara ya Nchi, Ofisi ya Nchi, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

“Uteuzi Huu umeanza tarehe 1 Aprili 2023 na mawaziri wateule wataapishwa tarehe 2 Aprili 2023, saa 3 asubuhi, Ikulu jijini Dar es Salaam,” imesema taarifa ya Yunus.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Lussu: Mkataba wa DP bandarini si wa miaka 100

Spread the loveMAKAMU Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema hakuna ukweli wowote...

Habari za SiasaTangulizi

Maulid Mtulia: Kutoka ubunge hadi U-DAS

Spread the love ALIYEKUWA mbunge wa Kinondoni, kupitia vyama vya The Civil...

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

error: Content is protected !!