Saturday , 27 April 2024

Kimataifa

Kimataifa

Kimataifa

Mauaji ya Jamal Khashoggi, CIA yaivua nguo Saudia Arabia

  RIPOTI mpya iliyotolewa na shirika la kijasusi la Marekani (CIA), imemtaja mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia Arabia, Mohammed Bin Salman,...

Kimataifa

Marekani yafanya ‘uchochezi,’ yawaonya wanaokuja Tanzania

  SERIKALI ya Marekani nchini Tanzania, imeonya wasafiri wanaotaka kutembelea taifa hilo kutofanya hivyo, kufuatia kuwapo kwa maambukizi makubwa ya virusi vya Corona....

Kimataifa

Balozi aliyeuawa Congo, mwili warejeshwa Roma

  MWILI wa Luca Attanasio, aliyekuwa Balozi wa Italia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), umerejeshwa Roma nchini humo kwa ajili ya...

KimataifaMichezo

Tiger Wood apata ajali mbaya, alazwa ICU

  MCHEZAJI namba moja wa gofu duniani, Tige Wood amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya gari Los Angeles, Marekani. Inaripoti Aljazeera …...

Kimataifa

Balozi wa Italia auawa DRC

  LUCA Attanasio, Balozi wa Italia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ameuawa katika shambulio lililolenga magari ya Umoja wa Mataifa (UN)....

Kimataifa

Maelfu Myanmar walivimbia jeshi

  MAELFU ya wananchi wa Myanmar wamejitokeza katika miji mbalimbali nchini humo, wakipinga utawala wa kijeshi. Inaripoti Aljazeera…(endelea). Taarifa kutoka Myanmar zinaeleza, kwamba biashara...

Kimataifa

Rais Jacob Zuma matatani tena

ALIYEKUWA Rais Afrika Kusini, Jacob Zuma (79), anakabiliwa na “kosa la kuidharau mahakama.” Jaji mmoja nchini Afrika Kusini amesema, anataka aliyekuwa rais huyo...

Habari MchanganyikoKimataifa

Donald Trump atokea tundu ya sindano

  ALIYEKUWA rais wa Marekani, Donald Trump, ameponea chupuchupu kitiwa hatiani, kutokana na madai ya kuchochea vurugu katika jengo la Bunge, tarehe 6...

Kimataifa

Nyaraka kumng’oa Museveni zaongezwa mahakamani

  NYARAKA za ushahidi zimeongeza mahakama katika harakati za kuhakikisha, matokeo ya uchaguzi mkuu yaliyompa ushindi Rais Yoweri Museveni wa Uganda, yanafutwa. Inaripoti mitandao...

Kimataifa

Rais Ramaphosa: Uwenyekiti wangu AU kama ubatizo wa moto

IKIWA imebaki wiki moja kwa Cyril Ramaphosa, Rais wa Afrika Kusini kuhitimisha mwaka mmoja wa Uenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), amesema kipindi...

Kimataifa

Kiongozi wa kiroho amshughulikia Rais Kenyatta

KIONGOZI wa kiroho wa Kanisa Katoliki la All Saints Cathedral, Nairobi nchini Kenya, Sammy Wainaina amemshangaa Rais wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta kwa...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mtanzania awa Mwafrika wa kwanza kutwaa tuzo ya Brady

  JOYCE Singano, mwanasayansi na mtafiti, amekuwa Mwafrika wa kwanza kutwaa tuzo maarufu inayotolewa kwa wataalamu wa maiamba duniani ‘Brady Meda.’ Inaripoti mitandao...

KimataifaTangulizi

Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi afungwa jela

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Daniel Ngoyi Mulunda, sasa yuko gerezani anakotumikia kifungo chake. Anaripoti...

Kimataifa

Waziri wa tatu afariki kwa corona Zimbambwe

  WAZIRI wa Usafirishaji wa Zimbabwe, Joel Biggie Matiza, amefariki dunia jana Ijumaa tarehe 22 Januari 2021, katika Hospitali ya St. Anne Harare...

KimataifaTangulizi

SAKATA LA CORONA: Mipaka kufungwa Ulaya

KUIBUKA upya kwa ugonjwa wa Corona ulimwenguni, kunaweza kusababisha mataifa kadhaa ya Ulaya, kufunga mipaka yake, ili kuzuia kusambaa kwa ugonjwa huo. Anaripoti...

KimataifaTangulizi

Biden aanza kuzika sera za Trump 

HATA kabla ya saa 24 kupita tangu kuapishwa kwake kuwa Rais wa 46 wa Marekani, Joe Biden tayari amebatilisha baadhi ya sera za...

KimataifaTangulizi

Trump alivyowaaga Wamarekani

DONALD Trump, ametoa hotuba yake ya mwisho akiwa Rais wa Marekani akisema, “Tumefanya kile ambacho tulikuja kukifanya na tumefanya mambo mengine mengi.” Inaripoti...

Kimataifa

Bobi Wine kumpinga Museven mahakamani

KIONGOZI wa Chama cha upinzani nchini Uganda cha National Unity Party (NUP), Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine amesema, atakwenda mahakamani kupinga matokeo yaliyompa...

Kimataifa

Bobi Wine apinga matokeo, ajiita rais mteule

ROBERT Kyagulanyi maarufu Bobi Wine, amepinga matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Uganda mpaka sasa akidai hila zimefanyika. Inaripoti mitandao ya kimataifa...

Kimataifa

Uchaguzi Mkuu Uganda: Museveni aongoza

RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, anaongoza katika matokeo ya awali ya kura zilizohesabiwa. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea). Mpaka kufika saa...

Kimataifa

Uchaguzi Mkuu Uganda: Sanduku la kura laibwa

VITUKO vya Uchaguzi Mkuu nchini Uganda vinaanza kudhihiri, tayari sanduku moja la kura linaripotiwa kuibwa na kutokomea kusikojulikana. Inaripoti mitandao ya kimataifa …...

KimataifaTangulizi

Mchungaji afungwa miaka 140 jela, amlaumu shetani

BONIFACE Amani Gichina, Mchungaji wa Kanisa la Living Faith Church maarufu Winners’ Chapel International, nchini Kenya amefungwa jela miaka 140 kwa kuwapa mimba...

KimataifaTangulizi

Facebook wamnyoosha Museveni, ajibu mapigo

MTANDAO wa kijamii wa Facebook umefungia akaundi zinazoshabikia Chama Tawala cha Uganda, NRM kinachoongozwa na rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni. Inaripoti mitandao...

KimataifaTangulizi

Ndege yenye abiria 62, yapotea

NDEGE ya Kampuni ya Sriwijaya Air, aina ya Boeing 737 imepoteza mawasiliano na haijulikani ilipo. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Taarifa zinaeleza, ndege hiyo...

Kimataifa

Twitter yamfungia kabisa Rais Donald Trump

AKANUTI ya Twitter ya Rais wa Marekani, Donald Trump imefungiwa kabisa, kutokana na hatari ya kuitumia kuchochea vurugu nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Kimataifa

Trump yamemshinda, asalimu amri

DONALD Trump, Rais wa Marekani ‘amezingirwa’ na sasa amesema, “nitakabidhi madaraka kwa amani.’ Inaripoti mitandaoya kimataifa…(endelea). Kwa mara ya kwanza tangu kufanyika Uchaguzi...

Kimataifa

Joe Biden azidi kumuadhibu Trump

RAPHEI Warnock, ndio seneta wa kwanza mweusi katika jimbo la Georgia, nchini Marekani. Anatokea chama cha Democrat cha rais mteule, Joe Biden. Anaripoti...

Kimataifa

Uchaguzi mkuu wa Marekani: Joe Biden, aidhinishwa rasmi kuwa Rais

Bunge limeBUNGE la Marekani, limemuidhinisha rasmi, Joe Biden, kuwa rais mpya wa taifa hilo kubwa kiuchumi ulimwenguni na Kamala Hariss, kuwa makamu wake...

Kimataifa

Twitter na Facebook, zamfungia Trump

MITANDAO ya Twitter na Facebook, imezifunga kwa muda akaunti za rais wa Marekani, Donald Trump, kufuatia kutuma ujumbe kwa wafuasi wake waliovamia Bunge....

Kimataifa

Bunge la Marekani lavamiwa, risasi zarindima

WAFUASI wa Donald Trump, Rais wa Marekani wamevamia bunge la nchi hiyo, jijini Washington wakitaka rais huyo kubaki madarakani. Inaripoti mitandao ya kimataifa...

Kimataifa

Barua ya Makanisa USA kwa Biden kuhusu Palestina Vs Israel

MAKANISA na Mashirika ya Kikristo nchini Marekani, yamemuandika barua ya pamoja rais mteule wa taifa hilo, Joe Biden kuhusu athari za uvamizi wa...

Kimataifa

Rais Trump alipanga njama za wizi wa kura 

RAIS anayeondoka mamlakani nchini Marekani, baada ya kushindwa uchaguzi mwezi uliyopita, Donald Trump, amedukuliwa kuwa alipanga njama za wizi wa kura. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

COVID-19: Baada ya miezi 9, Kenya yafungua shule

BAADA ya miezi tisa ya kufungwa kwa shule nchini Kenya, leo Jumatatu tarehe 4 Januari 2021, shule hizo zimefunguliwa na kuanza masomo. Inaripoti...

Kimataifa

Wavulana 344 waliotekwa Nigeria waokolewa

BAADHI ya vijana wa kiume 344 waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram nchini Nigeria wameanza kuokolewa na vikosi vya usalama nchini humo. Inaripoti...

Kimataifa

Corona yamuua Rais wa zamani Burundi

RAIS wa zamani wa Burundi, Pierre Buyoya (71) amefariki dunia akiwa jijini Paris nchini Ufaransa kwa ugonjwa wa COVID-19. Inaripoti mitandao ya Kimataifa...

Kimataifa

Waziri Mkuu Uswatini afariki dunia

WAZIRI Mkuu wa Uswatini, Ambrose Dlamini, amefariki dunia jana Jumapili tarehe 13 Desemba 2020, hospitalini nchini Afrika Kusini alikokuwa akipatiwa matibabu. Inaripoti Mitandao...

Kimataifa

Wabunge DRC wamuondoa madarakani Spika  

BUNGE katika Jamhuri ya Demokrasia ya Watu wa Kongo (DRC), limemuondoa madarakani, aliyekuwa Spika wake, Jeanine Mabunda, kufuatia kupigiwa kura ya kutokuwa na...

Kimataifa

UN yaiondoa bangi kwenye orodha ya dawa za kulevya

TUME ya Umoja wa Mataifa (UN) ya Dawa za Kulevya, imepiga kura ya kuidhinisha kuiondoa bangi katika orodha ya dawa za kulevya. Inaripoti...

Kimataifa

Donald Trump alidanganya kuhusu wizi wa kura Marekani

MWANASHERIA Mkuu wa Marekani, William Barr amesema, wizara ya sheria imechunguza madai ya udanganyifu katika uchaguzi wa 3 Novemba mwaka huu na kushindwa...

Kimataifa

Gari la Bobi Wine lashambuliwa kwa risasi

GARI la Robert Kyagulanyi ‘Bob Wine,’ mgombea urais nchini Uganda kupitia chama cha upinzani cha FDC, limeshambuliwa kwa risasi. Vinaripoti vyombo vya habari vya...

Kimataifa

Mtanzania gaidi aliyejiua, alikuwa mgojwa wa akili

RASHID Charles Mberesero, Mtanzania aliyehukumiwa kifungo cha maisha kutokana na kuhusika katika shambulio la kigaidi la Garisa, Kenya mwaka 2015, amejinyonga na kufariki...

Kimataifa

Ushindi wa Biden: Korea, China ‘zakuna  vichwa’

WAKATI dunia ikidhani imepumua baada ya Donald Trump, Rais wa Marekani (2016-2020) kuangushwa, China na Korea Kaskazini zinaweza ‘kukasirishwa’ na uamuzi wa raia...

Kimataifa

Waandamanaji wamiminiwa risasi za moto Nigeria

NCHINI Nigeria, zaidi ya miili 20 imepatikana baada ya kumiminiwa risasi na jeshi la nchi hiyo kuwamiminia risasi waandamanaji wanaopinga ukatili wa polisi...

Kimataifa

Mauaji ya Ndadaye: Rais Burundi afungwa maisha

PIERRE Buyoya, Rais Mstaafu wa Burundi, amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada kubaini kuhusika katika mauaji ya aliyekuwa rais wa taifa hilo, Melchior...

Kimataifa

Rais Trump, mkewe waambukizwa corona 

RAIS wa Marekani, Donald Trump na mkewe Melania Trump, sasa wapo karantini baada ya kukumbwa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti BBC … (endelea). Kabla...

Kimataifa

Mpango wa amani Afghanstan wapita pagumu

ZALMAY Khalilzad, mjumbe wa Marekani katika kutafuta amani nchini Afghanstan, bado anatetea uamuzi wa kuwachia huru maelfu ya wafungwa wa Talban, ingawa bado...

Kimataifa

Milioni 20 wapona corona duniani

WAGONJWA milioni 20.1 waliokuwa wameambukizwa virusi vya corona (COVID-19) duniani wamepona. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Mtandao wa  worldometer umeripoti leo Alhamisi...

Kimataifa

Neymar, wenzake wakumbwa na corona

NEYMAR de Santos, mshambuliaji wa timu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya nchini Ufaransa na wachezaji watatu wa timu hiyo, amekutwa na virusi vya...

Kimataifa

Jeshi la Israel lajikoroga

DUNIA imelaani hatua ya mwanajeshi wa Jeshi la Israel, kumkandamiza kwa kifuti cha mguu kwenye shingo ya muandamanaji wa Palestina. Inaripoti Shirika la Utangazaji...

KimataifaMichezo

Pogba aambukizwa corona, atoswa Ufaransa

PAUL Pogba, kiungo wa Manchester United, ameachwa katika kikosi cha Timu ya Taifa ya Ufaransa, baada ya kubainika kuambukizwa virusi vya corona (COVID-19)....

error: Content is protected !!