Friday , 29 March 2024

Kimataifa

Kimataifa

Kimataifa

Mlipuko Beirut: Vifo vyafika 137

NCHI ya Bangladesh imetangaza kupeleka msaada wa chakua na dawa haraka baada ya Mji wa Beirut, Lebanon kukumbwa na janga la mlipuko. Inaripoti...

Kimataifa

727 wakutwa na corona Kenya, vifo vyafikia 364

SERIKALI ya Kenya, imetangaza wagonjwa wapya 727 wa virusi vya corona (COVID-19) baada ya kupima sampuli 6,371 ndani ya saa 24 zilizopita. Anaripoti...

Kimataifa

Milioni 10 wapona corona duniani 

WAGONJWA milioni 10.7 wamepona ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa mujibu wa mtandao wa worldometer, unaonyesha hadi...

Kimataifa

India vs China: India yaongeza ndege za kivita

WAKATI hali ya sintofahamu kati ya China na India ikishika hatamu, India imenunua ndege tano mpya za kivita aina ya Rafale zilizo na uwezo wa...

Kimataifa

Bunge la Uturuki lapitisha sheria tata

BUNGE la Uturuki limepitisha sheria tata, ambayo inaipa serikali ya nchi hiyo mamlaka ya kuingilia maudhui kwenye mitandao ya kijamii na hata kulazimisha...

Kimataifa

Corona: Saa 24 watu 572 wafariki A. Kusini

SAA 24 zilizopita, watu 572 wameripotiwa kufariki dunia nchini Afrika Kusini kwa ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti...

Kimataifa

Masista 12 wafariki ndani ya siku 30

MASISTA 12 katika Mji wa Michigan, Marekani wamepoteza maisha ndani ya siku 30 (Mei 2020), kwa ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na...

Kimataifa

Kanye West aanza kampeni za urais Marekani

KANYE West, mwamauziki wa mtindo wa kufoka foka, ameanza safari ya kutaka kuwa rais wa Marekani kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. Inaripoti mitandao ya...

Kimataifa

Mbinu za China zaishtua FBI

CHRISTOPHER Wray, Mkurugenzi wa Shirika la Upelelezi la Mareani (FBI) amesema, vitendo vya Serikali ya China ni tishio kwa taifa hilo. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea)....

Kimataifa

Kenya kufungua shule Januari 2021

SERIKALI ya Kenya imesema, shule za msingi na sekondori nchini humo zitafunguliwa Januari 2020. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Hayo yamesemwa na...

Kimataifa

Mauaji ya watu 166 Ethiopia

JESHI la Polisi nchini Ethiopia, limethibitisha mauaji ya watu 166, raia wa taifa hilo kwenye maandamano ya kulaani mauaji ya mwanamuziki Haacaaluu Hundeessa. Inaripoti...

Kimataifa

UN: video ya ngono yasimamisha kazi wawili

MAOFISA wawili wa Shirika la Umoja wa Mataifa (UN), waliokuwa wanaotajwa kufanya ngono kwenye gari la shirika hilo nchini Israel, wamepelekwa likizo ya...

Kimataifa

JPM ateta na Rais Nyusi kwa simu

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya mazungumzo kwa simu na Rais wa Msumbuji, Filipe Nyusi kuhusu masuala mbalimbali yahusuyo uhusiano na ushirikiano...

Kimataifa

Wagonjwa 307 wa corona waripotiwa Kenya

WAGONJWA wapya 307 wa virusi vya corona (COVID-19), wameripotiwa nchini Kenya baada ya sampuli 3,591 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita. Inaripoti Mitandao...

Kimataifa

Sudani kwalipuka tena

MAELFU ya raia wa Sudani, wamerudi mtaani kufanya maandamano upya wakisema, walichokitaka kwenye maandamano ya awali, hakijafanikiwa. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea). Licha...

Kimataifa

Rais mpya Malawi ateua maswahiba zake

RAIS mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera ameanza uteuzi wa watu watakaomsaidia kuendesha serikali yake wakiwemo maswahiba zake. Inaripoti itandao ya kimataifa … (endelea). Rais...

Kimataifa

Trump alikoroga, atuma video ya ubaguzi Twitter

“NGUVU ya wazungu” ndio maneno ya mfuasi mmoja wa Donald Trump, Rais wa Marekani yaliyomo kwenye video ambayo (Trump) ametuma kwenye ukurasa wake...

Kimataifa

Mutharika alia kupokwa ushindi

CHAMA tawala cha Democratic Progressive Party (DPP), kinachoongozwa na aliyekuwa rais wa nchi hiyo Peter Mutharika, kimelalamika kupokwa ushindi wake na chama cha upinzani cha Malawi...

KimataifaTangulizi

Upinzani washinda Urais Malawi

LAZARUS Chakwera, Kiongozi wa upinzani nchini Malawi, ameibuka mshindi wa Urais katika uchaguzi wa marudio nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu kwa msaada wa...

Kimataifa

Corona yaendelea kuitesa Kenya, vifo vyafikia 137

SERIKALI ya Kenya imeripoti wagonjwa wapya 149 wa virusi vya corona (COVID-19) baada ya kupima sampuli 3,090 ndani ya saa 24 zilizopita. Anaripoti...

Kimataifa

Mwili wa Nkurunziza kuzikwa leo 

SAFARI ya mwisho hapa duniani ya aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza inahitimishwa leo Ijumaa tarehe 26 Juni 2020. Anaripoti Mitandao ya Kimataifa...

Kimataifa

Upinzani kuchukua nchi Malawi

KUNA kila dalili kwamba, mgombea wa upinzani nchini Malawi, anaweza kutangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika juzi tarehe 23 Juni 2020. Unaripoti...

Kimataifa

Wagonjwa 254 wakutwa na Corona Kenya

UGONJWA  wa virusi vya corona (COVID-19) umeendelea kushika kasi nchini Kenya baada ya wagonjwa wapya 254 kuripotiwa. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea)....

Kimataifa

Mutharika atavuka? Malawi wapiga kura leo

SWALI kubwa linalogubika Malawi na sehemu ya Afrika, ni kwamba Rais Peter Mutharika atashinda kwenye uchaguzi unaofanyika leo Jumanne tarehe 23 Juni 2020...

Kimataifa

Trump aita corona ‘kung flu’

KAULI ya Donald Trump, Rais wa Marekani kuita virusi vya corona (COVID-19), ‘kung flu’ imetetewa na msemaji wa Ikulu nchini humo. Inaripoti mitandao ya...

Kimataifa

Milioni 9 waambukizwa corona duniani

MAAMBUKIZO ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) duniani, yamefikia milioni 9.19 huku waliopona wakiwa milioni 4.94. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa mujibu...

Kimataifa

Kampeni 2020: Facebook yang’oa matangazo ya Trump

MTANDAO wa kijamii wa Facebook, umeng’oa matangazo ya kampeni ya Donald Trump, Rais wa Marekani kwamba yanachochea ubaguzi. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Taarifa ya...

Kimataifa

‘Shubiri’ inayomsubiri ‘Rais’ Ndayishimiye

JENERALI Evariste Ndayishimiye, rais mteule wa Burundi, anaapishwa leo kuongoza taifa hilo kwa miaka saba, anachukua nafasi ya Pierre Nkurunziza ambaye alifariki dunia...

Kimataifa

Uganda yapiga marufuku kampeni za majukwaani

TUME ya Uchaguzi ya Uganda imepiga marufuku mikusanyiko ya kampeni za jukwaani na kuagiza, kampeni za uchaguzi mkuu zifanyike kupitia vyombo vya habari. Inaripoti...

Kimataifa

Corona yatikisa Kenya, watumishi wanne Ikulu waambukizwa

UGONJWA unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) umeendelea kutikisa nchini Kenya, baada ya watumishi wanne wa Ikulu kubainika kuwa na ugonjwa huo. Inaripoti...

Kimataifa

Mweusi akutwa kanyongwa California

ROBERT Fuller (24), mmarekani mweusi amekutwa ananing’inia kwenye mti baada ya kunyongwa katika mji wa Palmdale, Califonia nchini Marekani. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Familia...

Kimataifa

Unyama wa polisi Kenya

POLISI watatu nchini Kenya, wamekamatwa kwa tuhuma za kumfunga kamba Mercy Cherono (21) kwenye pikipiki, kisha kumburuza kwa tuhuma za kuhusika katika uporaji....

Kimataifa

Mu-Iran aliyewapa taarifa CIA, Israel kunyongwa

MAHMOUD Mousavi-Majd, Raia wa Iran aliyesaidia Intelejensia ya Marekani (CIA) kumuua kamanda wa ngazi ya juu wa Iran, Qassem Soleimani amehukumiwa kunyongwa hadi...

Kimataifa

Mauaji ya watu 59 Nigeria

WATU 59 wameuawa katika shambulio lililofanywa na waasi kwenye Kijiji cha Borno, kilichopo Kaskazini mwa Nigeria jana jioni tarehe 9 Juni 2020. Chombo cha habari...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Nkurunziza afariki dunia

RAIS wa Burundi, Pierre Nkurunziza amefariki dunia kwa ugonjwa wa moyo, Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Taarifa zilizothibitishwa na Msemaji wa Serikali, Balozi Willy...

Kimataifa

Maelfu waaga mwili wa Floyd

MAELFU ya Wamarekani, wamejitokeza katika Kanisa la Houston kuuaga mwili wa George Floyd, mmarekani mweusi aliyeuawa na polisi wa Minnesota na kusababisha kuibuka...

Kimataifa

Korea Kaskazini, Kusini zakata mawasiliano

HALI ya kutoaminiana kati ya mataifa mawili yenye historia moja na watu wanaofanana – Korea Kaskazini na Kusini – inazidi kuongeza wasiwasi, sasa...

Kimataifa

167 wakutwa na Corona Kenya, wagonjwa wafikia 2,767

UGONJWA unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) nchini Kenya, umeendelea kushika kasi, baada  ya wagonjwa wapya 167 kupimwa na kukutwa na corona. Anaripoti...

Kimataifa

Kenya kufungua vyuo, shule Septemba 1

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta ametangaza kufunguliwa kwa shule na vyuo nchini humo Septemba 1 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Rais Kenyatta...

Kimataifa

Wagonjwa wa corona wafikia 2,474 Kenya, Rais Uhuru asubiriwa

SERIKALI ya Kenya imesema, wagonjwa wa corona (COVID-19) nchini huyo wamefikia 2,474. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza na waandishi wa habari jana...

Kimataifa

Serikali yahaha kuzuia maandamano Australia

KUANZIA kesho Jumamosi tarehe 6 Juni 2020, miji mbalimbali ya Australia inatarajia kushuhudia maelfu ya raia wake kushiriki maandamano kupinga ubaguzi wa rangi....

Kimataifa

Wagonjwa 124 wa corona waongezeka Kenya

SERIKALI ya Kenya imetangaza wagonjwa wapya 124 wa virusi vya corona (Covid-19). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Akizungumza na waandishi wa habari leo...

Kimataifa

Waliopona corona duniani milioni 3.1, vifo 388,353

WAGONJWA  wa virusi vya corona (COVID-19) waliopona duniani wafikia 3,183,578 huku vifo vikiwa 388,353. Unaripoti mtandao wa Worlometer … (endelea). Hadi kufikia leo...

Kimataifa

Ripoti: Floyd alikuwa na corona, Uingereza na Ujerumani zalaani

UCHUNGUZI wa awali wa afya ya George Floyd umeonesha kwamba, alikuwa na maambukizi ya virusi vinavyosababisha homa kali ya mapafu corona (COVID-19). Inaripoti mitandao...

Kimataifa

Trump amejifunza kwa Bush?

KAMA mji au jimbo litashindwa kuchukua hatua muhimu za kurejesha hali ya amani, basi nitatumia jeshi la Marekani kufanya kazi hiyo. Inaripoti Mitandao...

Kimataifa

Mayweather kugharamia msiba wa Floyd

FLOYD Mayweather, bondia anayeongoza kwa kulipwa fedha nyingi dunia, amesema atalipa gharama zote zitazohitajika katika msiba wa George Floyd. Inaripoti mtanzano wa BBC…(endelea). Floyd,...

Kimataifa

Mauaji Chicago, Trump atishia kutumia jeshi, Obama alaani

MAMBO yanazidi kwenda mrama Marekani, mauaji yanaanza kushuhudiwa kwenye maandamano ya kulaani kuuawa kwa Mmarekani mweuzi, George Floyd akiwa mikononi mwa polisi. Inaripoti mitandao...

Kimataifa

Mke wa Rais Nkurunzinza augua corona, alazwa Kenya

DENISE, mke wa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza amebainikuwa kuwa na ugonjwa unaosababishaa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …...

Kimataifa

Kifo cha Floyd: Miji saba taharuki, Trump – Meya washambuliana

MIJI saba nchini Marekani inatawaliwa na vurugu na maandamano, ni kutokana na polisi wa Minnesota kufanya mauaji kwa George Floyd, Mmarekani mweuzi. Inaripoti...

Kimataifa

Baba amuua bintiye, kisa kujiozesha

ROMANA Ashrafi (14), raia wa Iran, ameuawa kwa kushambuliwa kwa mundu na baba yake mzazi Reza Ashraf, kwasababu ‘alijiozesha.’ Nchini humo mauaji hayo...

error: Content is protected !!