Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Milioni 20 wapona corona duniani
Kimataifa

Milioni 20 wapona corona duniani

Spread the love

WAGONJWA milioni 20.1 waliokuwa wameambukizwa virusi vya corona (COVID-19) duniani wamepona. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Mtandao wa  worldometer umeripoti leo Alhamisi tarehe 10 Septemba 2020 kuwa, maambikizo duniani yamefikia milioni 28.04 huku waliopoteza maisha kutokana na ugonjwa huo ni 908,434.

Marekani imeendelea kuwa taifa linaloongoza dunia kwa kuwa na maambukizo milioni 6.5 ambapo waliopona ni milioni 3.8 na waliopoteza maisha ni 195,245.

China ambako corona ilianzia, ina maambukizo 85,153 kati yao, waliopoteza maisha ni 4,634 na waliopona ni 80,358.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

error: Content is protected !!