Saturday , 27 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Naibu Spika ajitosa Urais Z’bar, wagombea wafikia 31

MGENI Hasaan Juma, Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...

Tangulizi

Bosi Takukuru azungumzia walipofikia sakata la Chadema

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini Tanzania (Takukuru), imekamilisha uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha, inazokikabili Chama cha Demokrasia...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi wajinoa Dodoma

CHAMA cha NCCR- Mageuzi, kimejifungia jijini Dodoma, tayari kunoa makada wake muhimu watakaoshriki uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani wa Oktoba mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

CUF: Chief Yemba ajitosa Urais Tanzania, sita wajitosa Z’bar

CHIEF Lutalosa Yemba, amejitosa katika mbio za urais wa Tanzania, kupitia Chama cha Wananchi (CUF) huku wanachama watano wa chama hicho, wakijitokeza upande...

ElimuTangulizi

Serikali ya Tanzania yatoa maelekezo ulipaji ada shule binafsi

SERIKALI ya Tanzania imesema, ada za shule nchini humo zilipwe kulingana na makubaliano yaliyofikiwa mwanzoni mwa mwaka wa masomo 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaeleza mashaka ya Lissu kurejea

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), harejei nchini kwa kuwa, bado ana mashaka na maisha yake. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Tanzania yaipa THRDC siku saba kujieleza

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umepewa siku saba  na Serikali kujieleza kwa nini usichukuliwe hatua za kisheria, kutokana na...

Habari za SiasaTangulizi

Membe amkosoa Jaji Warioba

MWANADIPLOMASIA mashuhuri nchini Tanzania, Bernard Kamillius Membe, amekosoa utaratibu unaotumika na Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kumtafuta mgombea wake wa urais. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Wanawake washika kasi Urais Z’bar, wagombea wafika 26

MBIO za kuwania Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 zinazidi kushika kasi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya...

Habari za SiasaTangulizi

IGP Sirro amwinda Lissu

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, anawindwa na Jeshi la Polisi nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Simon...

MichezoTangulizi

Yanga yamjia juu Morisson, wampiga faini

UONGOZI wa klabu ya Yanga umempiga faini ya Sh. 1.5 Milioni nyota wake raia wa Ghana, Benard Morrison kwa kufanya mahojiano na mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto, wenzake wasafirishwa usiku kwa karandinga

JESHI la Polisi Mkoa wa Lindi limemsafirisha usiku kwa usiku Zitto Kabwe, kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na wenzake kutoka Kilwa Masoko kwenda...

Habari za SiasaTangulizi

Membe: Mwaka huu nitagombea urais

BERNARD Membe, aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, atagombea urais. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba: JPM kugombea pekee, kuna sharti

JAJI Mstaafu Joseph Warioba, amsema ni utamaduni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuruhusu rais aliyepo madarakani kutetea kiti chake iwapo hajakiangusha chama. Anaripoti...

Tangulizi

Polisi wamkamata Zitto, Bwege

ESHI la Polisi Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi, limemkamata Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama siasa cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Faki Sosi, Kilwa…(endelea) Zitto...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli ataja kilichomng’oa Gambo

RAIS John Magufuli amesema, amemfukuza kazi Mrisho Gambo, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na wenzake wawili, kutokana na kutotekeleza maagizo yake. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Membe aitega CCM kugombea urais

WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Bernard Membe amesema, anatamani kujipima ubavu na Rais John Pombe Magufuli katika kinyang’anyiro cha...

Tangulizi

Uchaguzi 2020: Vita ya ACT-Wazalendo, CUF yaanza upya

VITA baina ya Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha ACT-Wazalendo imeanza upya. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea). Vita hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Profesa Mbarawa kada wa 10 kujitosa urais Z’bar

PROFESA Makame Mbarawa, Waziri wa Maji amekuwa mwanachama wa kumi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyejitosa kuchukua fomu kuwania Urais wa Zanzibar kupitia...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge limevunjwa: Wabunge, mawaziri bado ‘wanachapa kazi’

WABUNGE wa  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wataendelea kutumikia na kutambulika katika nafasi zao za ubunge hadi tangazo rasmi la kuvunjwa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

‘Meya’ Ubungo atimkia ACT-Wazalendo

RAMADHANI Kwangaya, aliyekuwa Kaimu Meya wa Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam amejiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

11 wajitosa Urais Chadema

WANACHAMA 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitokeza kutia nia ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia chama hicho katika Uchaguzi Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli achukua fomu ya Urais CCM

RAIS John Magufuli amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Shule zote Tanzania kufunguliwa Juni 29

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameagiza shule zote nchini humo zifunguliwe tarehe 29 Juni 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea), Rais...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge Tanzania lafanya mabadiliko makubwa ya kanuni

BUNGE la Tanzania, limepitisha mabadiliko makubwa ya kanuni zake ambazo zitaanza kutumika katika Bunge la 12 ikiwemo kubadili jina la Kambi Rasmi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Familia ya Karume Z’bar yataka kurudi Ikulu

FAMILI ya Sheikh Abeid Aman Karume, Rais wa Kwanza wa Zanzibar, inataka kurejea Ikulu ya Zanzibar. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Urais Chadema: Nyalandu kutekeleza mambo 26 akiwa Rais 

LAZARO Nyalandu, ametangaza kutia nia ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) huku akibainisha vipaumbele 26...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto Kabwe, ‘azitoboa ’ Bajeti 5 za Rais Magufuli 

KIONGOZI wa chama cha siasa cha ACT- Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amekosoa Bajeti kuu ya serikali na kusema, kila bajeti inapaswa kutafsiri maono,...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea: Siondoki Chadema, nitagombea tena Ubungo

SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema atagombea tena jimbo hilo kupitia chama hicho, katika Uchaguzi Mkuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi Tanzania yazungumzia tukio la Mbowe

JESHI la Polisi Tanzania, limetoa taarifa za uchunguzi wa awali wa tukio linalodaiwa kushambuliwa kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...

Habari za SiasaTangulizi

Kodi zilizofutwa, ongezwa Bajeti 2020/21 

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango amewasilisha Bungeni Bajeti ya Serikali ya Tanzania ya mwaka 2020/21 ya Sh. 34.87 Trilioni. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Tanzania: Kila mtu alimiliki mil 2.5 mwaka 2019

SERIKALI imesema, mwaka jana (2019) pato la taifa kwa mtu mmoja mmoja lilikuwa Sh. 2,577,967 kutoka Sh. 2,452,406 mwaka 2018, sawa na ongezeko...

Habari za SiasaTangulizi

Wadau: Bajeti 2020/21 iguse maisha ya watu

SERIKALI ya Tanzania imeshauriwa kuja na bajeti itakayoziba mapengo yaliyoachwa na athari za mlipuko wa virusi vya corona (COVID-19), hususan katika uchumi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif ahofia uchaguzi mkuu kuacha majeraha

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimebainisha vikwazo kumi vitakavyosababisha uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020 kutokuwa huru, haki na unaoweza kuacha majeraha kwa Watanzania. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Takukuru kuwahoji wabunge 69 wa Chadema

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, inatarajia kuwahoji wabunge 69 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuhusu tuhuma...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Chadema aomba kujiunga CCM

MBUNGE wa Momba (Chadema), David Silinde ametangaza kujiondoa ndani ya chama hicho na kuomba kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe ashambuliwa Dodoma, avunjwa mguu

MWENYEKITI wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ameshambuliwa na watu wasiojulikana, usiku wa manane wa kuamkia leo Jumanne,...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Sitaunda Serikali itakayolipa kisasi

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amewasilisha taarifa ya kusudio lake la kutaka kugombea Urais wa Tanzania, kupitia...

ElimuTangulizi

Serikali ya Tanzania: Hatuajiri walimu wa sanaa

SERIKALI ya Tanzania imesema, itawaajiri walimu wa masomo ya sanaa  pale idadi ya walimu wa sayansi, hisabati, kilimo, biashara, elimu maalum na mafundi sanifu...

Habari za SiasaTangulizi

Membe: Sina sababu ya kuomba radhi

WAZIRI wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa wa zamani wa Tanzania, Bernard Membe amesema, hana sababu ya kumuomba radhi Rais John...

Tangulizi

Safu Mount Meru kufumuliwa

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Godwin Mollel, ameagiza kuondolewa kwa safu ya uongozi wa Hospitali ya...

Habari za SiasaTangulizi

CUF:  Tupo tayari kushirikiana lakini… 

CHAMA cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania,  kimetoa msimamo kuwa kipo tayari kushirikiana na vyama vingine vya upinzani vyenye dhamira ya kukiondoa madarakani Chama...

Habari za SiasaTangulizi

Mchungaji Msigwa amtangulia Lissu ‘urais’ Chadema 

MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini tayari amefungua pazia la kugombea urais ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli kufungua shule, amshangaa Spika kuvaa barakoa

DK. John Magufuli, Rais wa Tanzania, amesema atafungua shule za msingi na sekondari hivi karibuni, kama ataridhishwa na kasi ya upunguaji wa maambukizi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ‘amwita’ Mbowe, Zitto mezani

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, ‘wamealikwa’ kwenye meza ya mazungumzo...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lisu: Nitagombea urais

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maaendeleo (Chadema)-Bara, amesema atagombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yapuliza kipyenga cha Urais

CHAMA cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema) kimefungua milango kwa watia nia wa urais wa chama hicho kuanzia leo Jumatano tarehe 3, Juni hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Ubunge, udiwani CCM kaa la moto, Takukuru, Polisi wapewa rungu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, kimetoa utaratibu mpya utakaotumika kuwapata wagombea udiwani, ubunge na uwakilishi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Kelvin...

Habari za SiasaTangulizi

Ofisa TRA, wenzake 17 wa CCM mbaroni tuhuma za rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mtwara, imewakamata wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) 18 akiwamo Ofisa wa Mamlaka...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema, ACT- Wazalendo kushirikiana uchaguzi mkuu 2020?

VYAMA viwili vya upinzani nchini Tanzania – Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na chama cha ACT-Wazalendo – viko mbioni kushirikiana ili kukabiliana...

error: Content is protected !!