Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Tangulizi Polisi wamkamata Zitto, Bwege
Tangulizi

Polisi wamkamata Zitto, Bwege

Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo akiwa ndani ya gari ya Polisi wilaya ya Kilwa baada ya kukamatwa akiwa katika mkutano wa ndani
Spread the love

ESHI la Polisi Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi, limemkamata Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama siasa cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Faki Sosi, Kilwa…(endelea)

Zitto amekamatwa leo Jumanne asubuhi tarehe 23 Juni 2020 akiwa anajiandaa kuongoza kikao cha ndani cha wanachama wa chama hicho.

Kikao hicho, kilikuwa kinafanyikia ukumbi wa Stamford Bridge ulipo Kilwa Masoko.

Mbali na Zitto, wengine waliokamatwa ni Mbunge wa Kilwa Kusini, Seleman Mbungara maarufu ‘Bwege’ na Sheweji Mketo ambaye niKatibu wa Kamati ya Oganaizesheni ya chama hicho.

Zitto yuko katika ziara katika mikoa ya Kusini aliyoianza jana Jumatatu.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI ONLINE na MwanaHALISI TV kwa habari zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

error: Content is protected !!