Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Milioni 9 waambukizwa corona duniani
Kimataifa

Milioni 9 waambukizwa corona duniani

Spread the love

MAAMBUKIZO ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) duniani, yamefikia milioni 9.19 huku waliopona wakiwa milioni 4.94. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mujibu wa mtandao wa ‘worldometer’ leo Jumanne tarehe 23 Juni 2020 unaonyesha vifo vinavyotokana na ugonjwa huo vimefikia 474,479.

Marekani ni Taifa linaloongoza kwa maambukizo mengi ya watu milioni 2.38, waliopona wakiwa milioni moja huku vifo vikiwa  122,611.

Brazil ina wagonjwa milioni 1.1, vifo 51,407 huku waliopona ugonjwa huo wakiwa 594,104.

China ambako ugonjwa huo ulianzia mwishoni mwa mwaka 2019, kuna wagonjwa 83,418, waliofariki dunia wakiwa 4,634 na waliopona ni 78,425.

Nchini Kenya, maambukizo yamefikia 4,797, waliopona 1,680, waliofariki dunia wakiwa 125 huku idadi ya sampuli zilizokwisha kupimwa ni 142,366

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

error: Content is protected !!