Saturday , 27 April 2024
Home upendo
1869 Articles241 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wafutiwa mashtaka

  MKURUGENZI wa Mashtaka (DPP) leo Ijumaa tarehe 4 Machi 2022, amewasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti...

Habari za Siasa

Vyama vya siasa vyaitwa taasisi ya Mwalimu Nyerere

  WATU kutoka vyama vya siasa vya upinzani, wameshauriwa wajiunge na Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere, ili waongeze nguvu katika ulinzi...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda atinga makahamani, apewa siku 21

  ALIYEKUWA mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam impe muda...

Habari Mchanganyiko

Waomba vikwazo dhidi ya watu wenye ulemavu viondolewe

  TAASISI ya Vijana Wenye Ulemavu (YoWDO), imeIomba Serikali na jamii kwa ujumla, iondoe vikwazo vinavyosababisha kundi hilo lisishiriki kwenye shughuli za maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Pinda ataka mjadala mchango wa Mwalimu Nyerere maendeleo ya Tanzania

  MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mizengo Pinda, ameshauri liundwe jukwaa la...

Habari Mchanganyiko

THRDC yapigwa jeki shughuli za utetezi wa haki za binadamu

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Bunadamu Tanzania (THRDC), umepewa msaada wa fedha kiasi cha Sh. 90 milioni na Shirika la International...

Habari

Kigogo Chadema aliyefutiwa kesi atakiwa kuripoti Polisi Machi 9

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemuachia kwa dhamana Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema, Hashim Issa Juma, aliyekamatwa...

Habari

Marekani, Uingereza zazungumzia mkutano wa Lissu na Samia

  NCHI za Marekani na Uingereza, kupitia balozi zake nchini Tanzania, zimepongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan, kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti...

Habari za Siasa

TCD wafunguka mazungunzo ya Rais Samia, Lissu

  KITUO cha Demokrasia nchini Tanzania (TCD), kimesema mkutano uliofanyika kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu...

Habari za Siasa

Lissu aibiwa pasipoti Ujerumani, amwomba nyingine Rais Samia

  MAKAMU Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzania nchini Tanzania-Chadema, Tundu Lissu, amedai hati yake ya kusafiria (pasipoti), imeibiwa mwezi uliopita akiwa nchini...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba: Nafasi yangu iko wazi 

  MWENYEKITI  wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa. Ibrahim Lipumba, amesema nafasi yake iko wazi kwa yeyote atakayetaka kugombea kwenye uchaguzi wa chama...

HabariTangulizi

Prof. Lipumba awaangukia aliowakwaza mgogoro wake na Maalim Seif

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa  Ibrahim Lipumba amewaomba radhi watu aliowakwaza katika mgogoro wake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama...

Habari za SiasaTangulizi

Bobali atua ACT-Wazalendo, Nkumbi arejea CUF

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Wananchi (JUVICUF), Hamidu Bobali, amejiunga na ACT-Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba awaita vigogo ACT-Wazalendo, awaahidi vyeo

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amewaita wanachama wa chama hicho waliokimbilia ACT-Wazalendo, warejee ili waweze kuchukua nafasi za...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo ACT-Wazalendo kurejea CUF

  BAADHI ya vigogo na wanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo, wanaodaiwa kutoridhika na mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa chama hicho, wako mbioni...

Habari

Rais Samia aifagilia TLS “tutakwenda sambamba”

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itakwenda sambamba na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kwa kuwa inajitambua na inaelekea...

Habari za SiasaTangulizi

Fedha za Mbowe kufadhili ugaidi zaibua mkanganyiko

  FEDHA kiasi cha Sh. 699,000, zinazodaiwa kutolewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe mwaka 2020 kwa ajili ya kufadhili vitendo vya kigaidi,...

Habari za SiasaTangulizi

ACT -Wazalendo yaanika mbinu za kuidhibiti Serikali nje ya Bunge

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama chake kimeteua watu wa kufuatilia utendaji wa wizara na taasisi za Serikali. Anaripoti...

Habari za Siasa

Askofu Mwamakula awapa neno ACT-Wazalendo uchaguzi mrithi wa Maalim Seif 

  KIONGOZI wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Askofu Emmaus Mwamakula, amewataka wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama cha ACT-Wazalendo, wamchague mtu...

Tangulizi

Kibatala atumia Biblia mahakamani kuwatetea kina Mbowe

  KIONGOZI wa Jopo la Mawakili wa Utetezi, Wakili Peter Kibatala, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za SiasaTangulizi

Askari JWTZ adai Mbowe alimpa Sh 699,000 amtafutie makomandoo

  LUTENI Denis Urio, shahidi wa 12 wa Jamhuri, amedai Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, katika nyakati tofauti alimpatia Sh. 699,000, kwa ajili...

Habari za SiasaTangulizi

Askari JWTZ aeleza alivyomripoti Mbowe kwa DCI na ACP Kingai

  SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri, katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, ASKARI wa Jeshi la...

Habari za SiasaTangulizi

Kigogo JWTZ aeleza alivyofahamiana na Mbowe, alichohitaji

  OFISA wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Denis Urio, amedai Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, alimueleza anatafuta kampuni za...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Ofisa JWTZ apanda kizimbani

  LUTENI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Dennis Urio (42), amepanda kizimbani kutoa ushahidi wake, katika kesi ya ugaidi...

HabariTangulizi

Wamachinga wampa mapendekezo 5 Rais Samia, awajibu

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameahidi kuyafanyia kazi mapendekezo matano, yaliyotolewa na wafanyabiashara wadogo nchini ‘wamachinga’, ili kuiboresha sekta hiyo. Anaripoti Regina Mkonde,...

Tangulizi

Polisi wataja chanzo mauaji ya mrembo aliyefia gesti Tabata

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wawili, kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya Barke Pesa Rashid (30),...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi akwamisha kesi ya Mbowe

  KESI ya uhujumi uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, imeahirishwa hadi Jumatano, tarehe 26 Januari 2022, kutokana na shahidi...

Habari za SiasaTangulizi

Uchunguzi tukio la Lissu kupigwa risasi waibuka kesi ya Mbowe

  MPELELEZI wa Makosa ya Jinai, Goodluck Minja, amedai hafahamu kama ripoti ya uchunguzi wa tukio la aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema),...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Jamhuri aeleza walivyowazuia wenzake Mbowe kufanya ugaidi

  MPELELEZI wa Makosa ya Jinai katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha, Askari Polisi namba H4347 Goodluck, amedai Aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi atoa sababu kutopeleka sauti za kina Mbowe kortini

  MCHUNGUZI wa vifaa vya kidigitali wa Jeshi la Polisi Tanzania, Innocent Ndowo (37), amedai hajawasilisha mahakamani sauti za mawasiliano baina ya Mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe amzungumzia shahidi aliyesoma ‘sms’ zake mahakamani

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema hana ugomvi na shahidi wa Jamhuri, Innocent Mdowo (37), kwani ni...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Serikali adai hakuona kina Mbowe wakipanga uhalifu

  SHAHIDI wa Jamhuri, Innocent Ndowo (37) ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania kuwa, uchunguzi alioufanya wa mawasiliano...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa utetezi wamhoji shahidi kuhusu simu za akina-Mbowe

  UPANDE wa utetezi, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wamemhoji Mchunguzi wa Kitengo cha Uchunguzi...

Habari za Siasa

Meseji za Mbowe akisaka makomandoo wa JWTZ zasomwa mahakamani

  JUMBE fupi za maneno (meseji), zinazodaiwa kuwa za Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na baadhi ya washtakiwa wenzake, katika kesi ya ugaidi...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya Mbowe: Shahidi aliyeugua ghafla kizimbani, anatoa ushahidi

  SHAHIDI wa kumi wa Januari, Innocent Ndowo (37) katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe: Shahidi augua, ashindwa kutoa ushahidi

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiki wa Chadema na...

Habari

Kesi ya Mbowe: Airtel yabanwa kuhusu ulinzi taarifa za wateja

ULINZI juu ya taarifa za wateja umeteka mahojiano kati ya Meneja wa Kitengo cha Sheria cha Kampuni ya Mawasiliano ya Airtel Tanzania PLC,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Airtel yauza Sh.500 laini ya simu ya mshtakiwa

  UPANDE wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamemhoji shahidi wa Jamhuri, Gladys Fimbari...

HabariKitaifa

Airtel yaeleza miamala ya Mbowe mahakamani

MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imepokea taarifa za miamala na usajili wa simu, kutoka...

Habari za Siasa

Kina Mbowe wakataa taarifa za tigo

  MAWAKILI wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamekataa shahidi wa Jamhuri, Meneja wa...

Habari

Mawaziri kuzifuta machozi familia za wanahabari waliofariki ajalini

  MAWAZIRI wa Serikali ya Tanzania, wameahidi kutoa mchango wa fedha, kwa ajili ya kuzisaidia familia za wanahabari waliopoteza maisha ajalini, wakiwa katika...

Habari Mchanganyiko

THRDC: Katiba suluhu ya changamoto  mgawanyo wa madaraka

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umesema kama nchi ingekuwa na katiba nzuri, changamoto  ya mgawanyo wa madaraka isingekuwepo....

Habari

Rais Samia atajwa kesi ya kina Mbowe

  MRAKIBU wa Polisi, Jumanne Malangahe, ameulizwa na upande wa utetezi katika kesi ugaidi nayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu,...

Habari

Kesi ya Mbowe: Shahidi azungumzia tukio la Lissu kupigwa risasi

  MRAKIBU wa Polisi, Jumanne Malangahe, shahidi wa Jamhuri, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman...

HabariTangulizi

Shahidi: Mbowe hakukamatwa sababu ya katiba

  MRAKIBU wa Polisi, Jumanne Malangahe, amedai Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, hakukamatwa na Jeshi la Polisi Tanzania kwa sababu ya harakati za...

Tangulizi

Kesi ya Mbowe: Mahakama yagoma kupokea vielelezo vya Jamhuri

  MAHAKAMA KUU, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imekataa kupokea mali zinazodaiwa kuwa za mshtakiwa wa...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai alipasua Taifa

  MJADALA kuhusu kauli ya Spika wa Bunge, Job Ndugai,  iliyodai  iko siku nchi itapigwa mnada kutokana na kuelemewa na madeni, umezidi kushika kasi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

RPC Dar: Suala la Askofu Mwingira linashughulikiwa makao makuu

  SAKATA la kuhojiwa Askofu wa Kanisa la Efatha, Josephat Mwingira, juu ya madai yake ya kwamba alinusurika kuuawa na watu wa Serikali,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watanzania walivyoonja machungu ya 2021

  MWAKA wa 2021, unaofika tamati leo Ijumaa ya tarehe 31 Desemba, umeacha machungu katika maisha ya Watanzania. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Uhamiaji: Tumejipanga kuelekea 2022

  JESHI la Uhamiaji nchini Tanzania, limesema limejipanga kutoa huduma bora kwa wananchi, pamoja na kudhibiti matukio ya uhamiaji kinyume cha sheria, katika...

error: Content is protected !!