MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameishauri Serikali ipunguze kasi ya ongezeko la idadi ya watu, ili kukabiliana na athari...
By Regina MkondeNovember 1, 2022NCHI ya Tanzania, ina majengo 14,348,372 (milioni 14.3), ambapo Bara kuna majengo 13,907,951 na Zanzibar 440,421. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...
By Regina MkondeOctober 31, 2022KAMISAA wa Sensa ya Watu na Makazi ya 2022, Anna Makinda, amesema matokeo ya zoezi hilo yataendelea kutolewa baada ya Rais Samia...
By Regina MkondeOctober 31, 2022MCHAKATO wa marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari nchini, umetajwa kuirudisha heshima ya Tanzania kimataifa, katika masuala ya ulinzi wa uhuru wa...
By Regina MkondeOctober 31, 2022WINIFRIDA Wambura, na watoto wawili, wamenusurika kufariki dunia baada ya mkwe wake, Naim Byabato, kuchoma moto nyumba kwa sababu ya wivu wa...
By Regina MkondeOctober 30, 2022MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema mchakato wa marekebisho ya sheria za habari unakwenda vizuri na kwamba hivi karibuni Waziri wa...
By Regina MkondeOctober 28, 2022NI ukweli usiopingika kwamba vyombo vya habari ni mhimili wa nne wa nchi, ambao una mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya taifa...
By Regina MkondeOctober 25, 2022CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kufanya uchunguzi dhidi ya Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), kuhusu tuhuma za...
By Regina MkondeOctober 25, 2022BAADHI ya wahariri nchini Tanzania, wamepewa mbinu za kufanya uchechemuzi kuhusu marekebisho ya Sheria zinazohusu masuala ya habari. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeOctober 22, 2022CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemwomba Rais Samia Suluhu Hassan, aruhusu mikutano ya hadhara kabla ya marekebisho ya Sheria ya Vyama...
By Regina MkondeOctober 22, 2022WAANDISHI wa habari nchini, wametakiwa kukwepa kuandika habari zinazoweza sababisha machafuko, ili kulinda usalama wa nchi na haki za wengine. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeOctober 22, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema kesho Ijumaa, tarehe 21 Oktoba 2022, atapokea ripoti ya kikosi kazi alichokiunda kuratibu maoni ya wadau wa...
By Regina MkondeOctober 20, 2022WADAU wa tasnia ya habari Tanzania, wameshauri mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia vyombo vya habari, ukamilike ili kukidhi dhamira ya Rais...
By Regina MkondeOctober 20, 2022VYOMBO vya habari nchini Tanzania, vimetajwa kuwa mlezi wa demokrasia na utawala Bora, endapo vitatekeleza majukumu yake kikamilifu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeOctober 20, 2022KESI namba 36/2022 ya kupinga kuvuliwa uanachama wa Chama Cha Chadema, iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee, inaendelea...
By Regina MkondeOctober 13, 2022MAWAKILI wa Chama cha Chadema, wameanza kuwahoji maswali ya dodoso wabunge viti maalum nane kati ya 19, dhidi ya malalamiko waliyoweka katika...
By Regina MkondeOctober 7, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatakia heri watahiniwa wanaofanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, huku akiwaahidi kwamba Serikali itahakikisha inaandaa mazingira...
By Regina MkondeOctober 5, 2022MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umezindua mtandao wake wa usajili, ufuatiliaji na usimamizi wa wanachama wake zaidi ya...
By Regina MkondeSeptember 29, 2022RAIS mpya wa Kenya, William Ruto, ametangaza baraza lake la mawaziri, lenye mawaziri 21. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Kiongozi huyo...
By Regina MkondeSeptember 27, 2022CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefuta chaguzi tano za umoja wa vijana (UVCCM), pamoja na kusimamisha chaguzi tatu za Jumuiya ya Wanawake ya...
By Regina MkondeSeptember 27, 2022WADAU wa tasnia ya habari, wameshauri uitishwe mjadala wa kitaifa, kujadili namna ya kutatua changamoto ya kifedha katika vyombo vya habari. Anaripoti...
By Regina MkondeSeptember 27, 2022BIBI wa miaka 85 Tumu Haji Mbonde, anahofia kuporwa ardhi yake ya hekari tano iliyoko kijiji cha Mgomba Kaskazini, wilayani Ikwiriri mkoa wa...
By Regina MkondeSeptember 26, 2022JESHI la Polisi nchini, limewakamata watu 167 kwa tuhuma mbalimbali, ikiwemo kuvunja nyumba za raia, kujeruhi na kuiba mali. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeSeptember 24, 2022SERIKALI ya Tanzania, imeendelea kusisitiza kuwa, ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), litakalosafirisha nishati hiyo kutoka Hoima nchini Uganda,...
By Regina MkondeSeptember 23, 2022SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amewataka wabunge tisa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), kusimamia maslahi ya Tanzania pamoja na...
By Regina MkondeSeptember 22, 2022SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, ameshauri mauaji yanayosababishwa na watu wanaojichukulia sheria mkononi kutokana na sababu sambalimbali ikiwemo imani...
By Regina MkondeSeptember 14, 2022WATU 116 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuvunja nyumba na uporaji wa mali...
By Regina MkondeSeptember 13, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametangaza siku tano za maombolezo ya kitaifa, kuanzia tarehe 10 hadi 14 Septemba, 2022, kufuatia kifo...
By Regina MkondeSeptember 10, 2022JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu 10 wanaotuhumiwa kuvamia makazi ya watu maeneo ya Kinyerezi, kujeruhi na...
By Regina MkondeSeptember 9, 2022TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), imefunga programu yake ya kuibua vijana wenye vipaji kutoka vyuo vikuu, inayofahamika kwa jina...
By Regina MkondeSeptember 9, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa kiongozi wa kimila nchini Uingereza, Malkia Elizabeth II....
By Regina MkondeSeptember 9, 2022WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknokojia ya Habari, Nape Nnauye, amekumbushwa kutekeleza ahadi yake kuhusu marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari,...
By Regina MkondeSeptember 8, 2022MBUNGE wa Buyungu, wilayani Kakonko, Mkoa wa Kigoma, Aloyce Kamamba, ameiomba Serikali itoe fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara inayounganisha mkoa...
By Regina MkondeJuly 27, 2022WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amewataka wananchi wachukue tahadhari za kujikinga dhidi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), kwani bado upo...
By Regina MkondeJuly 26, 2022JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amewataka mahakimu wasijihusishe na masuala ya siasa, kwani yamepigwa marufuku na Ibara ya 113 A...
By Regina MkondeJuly 16, 2022WABUNGE Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee, wamekibwaga Chama cha Chadema mahakamani baada ya Mahakama Kuu, Masjala Kuu ya Dar es...
By Regina MkondeJuly 8, 2022MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa uamuzi dhidi ya maombi yaliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19,...
By Regina MkondeJuly 6, 2022KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametembelea ofisi za magazeti ya Raia Mwema na MwanaHALISI, ikiwa ni muendelezo...
By Regina MkondeJuly 5, 2022MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amesema fedha kiasi cha Sh. 4.5 bilioni, zilizotokana na tozo za miamala ya...
By Regina MkondeJuly 5, 2022WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema Serikali ina mpango wa kuanza kujenga vyumba vya faragha vya kujifungulia, katika vituo vya afya vya...
By Regina MkondeJuly 5, 2022MAKUSANYO ya mapato ya Tanzania, kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2021/22, yameongezeka kwa kwa asilimia 22.77, kutoka Sh. 18.15 trilioni (2020/21)...
By Regina MkondeJuly 2, 2022MAWAKILI wa pande mbili (waleta maombi na wajibu maombi) katika kesi ya Halima Mdee na wenzake 18 wameibua mvutano Mahakamani ikiwa kama...
By Regina MkondeJune 30, 2022MAOMBI ya kuomba kibali cha kufungua kesi ya madai kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema, yaliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, wakiongozwa na...
By Regina MkondeJune 30, 2022JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu 22, kwa tuhuma za kufanya uhalifu kwa njia ya mtandao. Regina Mkonde,...
By Regina MkondeJune 28, 2022BAADHI ya wabunge wameibana Serikali kuhusu mgawo wa ajira mpya za watumishi wa umma wa kada ya afya, katika maeneo yenye upungufu....
By Regina MkondeJune 28, 2022BALOZI mpya wa Urusi nchini Tanzania, Andrei Avetisyan, amesema nchi yake imejipanga kuja na mikakati ya kuimarisha uhusiano na ushawishi wake katika...
By Regina MkondeJune 28, 2022IKIWA vuguvugu la marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari likizidi kuongezeka nchini Tanzania, wanahabari wamepaza sauti zao kuhusu uboreshwaji wa uhuru...
By Regina MkondeJune 20, 2022KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimeipongeza Serikali kwa kuja na bajeti inayogusa maisha ya wananchi moja kwa moja, huku...
By Regina MkondeJune 17, 2022SERIKALI ya Tanzania, imetangaza mkakati wa kubana matumizi kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, ili yaakisi ugumu wa maisha wanayopitia wananchi kufuatia...
By Regina MkondeJune 14, 2022WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), umefungua zoezi la usikilizaji kampuni zenye migogoro na changamoto mbalimbali, kwa ajili ya kutafuta...
By Regina MkondeJune 13, 2022