Saturday , 27 April 2024
Home upendo
1869 Articles240 Comments
Habari Mchanganyiko

Wasomi: Heshima ya Tanzania kimataifa imerudi

HESHIMA ya Tanzania katika medani za kimataifa, imereja kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kuimarisha mahusiano na mataifa...

Habari Mchanganyiko

TEF: Rais Samia ameondoa hofu

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanikiwa kuondoa maisha ya hofu kwa watanzania kwa kuwapa uhuru wa kuzungumza...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali kupokea ndege ya 14 ya ATCL, safari kuongezeka

  SERIKALI ya Tanzania, kesho tarehe 3 Oktoba 2023, inatarajia kupokea ndege mpya ya masafa ya kati aina ya Boeng 737-9, ya Kampuni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mobhare Matinyi Msemaji mpya wa Serikali

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mobhare Matinyi, kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na...

Habari Mchanganyiko

Wimbi akina mama kubambikia kesi wanaume lashika kasi

WIMBI la wanawake wanaotelekeza watoto wao  kwa kina baba na kuwabambikia kesi, linadaiwa kuongezeka siku za hivi karibuni, huku chanzo kikitajwa kuwa ni...

Habari Mchanganyiko

Hima yajitosa mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia

  SHIRIKA la Hima Organization Tanzania, limeanza kutoa mafunzo kwa makundi mbalimbali, juu ya namna ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Ponda awataka wanawake waislamu washiriki masuala ya kitaifa

KATIBU wa Shura ya Maimsmu, Sheikh Ponda Issa Ponda, amewataka wanawake wa kiislamu washiriki katika masuala ya kitaifa ikiwemo ujenzi wa Maendeleo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wadau wataja tamu, chungu utekelezaji maendeleo endelevu

  WAKATI Serikali ya Tanzania ikiongeza juhudi katika utekelezaji wa Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDG’s), ombwe la umasikini kati ya wananchi wa mijini...

Habari za Siasa

Rais Samia ataja mikakati kutatua changamoto masoko kwa wakulima

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali, kwa ajili ya kumsaidia mkulima kupata masoko ya mazao yake...

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi laanzisha mifumo 13 kudhibiti upotevu wa majalada

JESHI la Polisi kupitia kitengo chake cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), limeanzisha mifumo 13 ikiwemo mfumo wa kudhibiti upotevu wa taarifa...

Elimu

Musoma Vijiji kumuenzi bingwa wa Kiswahili, Prof. Massamba

WANANCHI wa Musoma Vijijini, mkoani Mara, wameahidi kujenga shule ya sekondari itakayopewa jina la Prof. David Masamba, ili kuuenzi mchango wake katika kukuza...

Habari za Siasa

Bunge laridhia itifaki kufungua soko la biashara SADC

BUNGE la Tanzania, limeridhia Itifaki ya Biashara ya Huduma ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ya 2012, yenye lengo la kufungua...

Habari za Siasa

Bunge laridhia marekebisho ushirikiano anga Afrika

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limepitisha azimio la kuridhia mapendekezo ya Katiba ya Tume ya Usafiri wa Anga ya Afrika ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mabula, Masanja ‘out’, Makamba apelekwa mambo ya nje

  MABADILIKO madogo ya Baraza la Mawaziri, yaliyofanywa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, yamegusa kwa namna tofauti baadhi ya mawaziri, ambapo wapo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia apangua baraza la mawaziri, Biteko awa Naibu Waziri Mkuu, Silaa aula

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri, kwa kuanzisha nafasi mpya ya Naibu Waziri Mkuu, kuunda wizara...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yavunja ukimya mchakato katiba mpya, kutoa elimu kwa miaka 3

SERIKALI imevunja ukimya kuhusu utekelezaji mchakato wa marekebisho ya katiba, ikisema kwa sasa imeweka kipaumbele katika kutoa elimu kwa wananchi kuhusu suala hilo,...

Elimu

Serikali yaombwa kupunguza kodi shule binafsi

SERIKALI imeombwa kuzipunguzia mzigo wa kodi shule binafsi ili zimudu gharama za uendeshaji kwa lengo la kutoa huduma bora za elimu. Anaripoti Regina...

Elimu

Wadau waombwa kutatua changamoto shule za umma

SERIKALI na wadau wametakiwa kujitoa katika kutatua changamoto zinazokabili shule za umma. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti...

Habari za Siasa

CUF yazindua sera mpya kuondoa umasikini

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimezindua sera mpya ya kipato cha msingi kwa wananchi wote (Universal Basic Income), inayolenga kupunguza makali ya ugumu...

Habari Mchanganyiko

Hospitali Kuu Musoma vijijini yazinduliwa

UTOAJI huduma za Afya katika Hospitali Kuu ya Musoma Vijijini, mkoani Mara, umezinduliwa rasmi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mara…(endelea). Taraifa ya uzinduzi huo uliofanywa...

Habari Mchanganyiko

Prof. Muhongo akagua ujenzi miradi ya maji

MBUNGE wa Musoma Vijijini, mkoani Mara, Prof. Sospeter Muhongo, amefanya ziara ya kukagua miradi ya maji inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali jimboni humo.Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

THRDC yalia ukata wasaidizi wa kisheria, yataka wafike gerezani

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), imesema kuna uhaba wa watu wanaotoa msaada wa kisheria, kitendo kinachopelekea wananchi kukosa haki...

Biashara

Mv. Mirembe yazindua huduma mpya usafirishaji majini

  KAMPUNI ya Usafirishaji majini, PMM Shipping Limited imezindua huduma ya kusafirisha makontena kutoka Bandari ya Dar es Salaam, kwenda maeneo mengine ikiwemo...

Habari za Siasa

Msajili aendelea kuhakiki vyama vya siasa

  OFISI ya Msajili wa Vyama vya siasa nchini, inaendelea na zoezi la uhakiki wa masharti ya usajili wa vyama hivyo, ambapo hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama vya siasa vyaomba Chadema ifutwe, msajili atoa kauli

BAADHI ya vyama vya siasa vya upinzani nchini vimeitaka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ivifutie usajili vyama vinavyokiuka sheria katika...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aitaka Serikali kutoa elimu kwa wanasiasa kuhusu mkataba DP WORLD

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameitaka Serikali itoe elimu kwa vyama vya siasa, kuhusu mkataba wa uwekezaji bandari nchini, ili kuondoa...

Habari za Siasa

Baraza la vyama vya siasa laitisha mkutano wa dharura kujadili hali ya siasa nchini

BARAZA la Vyama vya Siasa nchini, limeitisha mkutano wa dharura kwa ajili ya kujadili hali ya siasa nchini. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuanza kuzipa meno taasisi za umma

SERIKALI inakusudia kuanza kuzipa uhuru baadhi ya taasisi za umma, ili kuongeza ufanisi wa utendaji wake. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo...

Habari Mchanganyiko

Serikali yasikia kilio changamoto hedhi salama, yatoa ahadi

SERIKALI imesema inafanyia kazi maombi ya wadau kuhusu uboreshaji mazingira ya hedhi salama kwa watoto wa kike. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Serikali yazipa maagizo NGO’s

MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), mkoani Dar es Salaam, yametakiwa kufuatia sheria za nchi katika utekelezaji wa majukumu Yao, ili kulinda maadili ya...

Habari Mchanganyiko

NGOs zabisha hodi kwa Rais Samia

MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yameomba kuonana na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ili kumkabidhi changamoto zao zilizoshindwa kutatuliwa na Mamlaka ya Mapato...

Habari Mchanganyiko

SUKITA yataka kamati za kutokomeza ukatili zianzishwe nchi nzima

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kamati za Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA), ngazi ya kata, zinaundwa nchi...

Habari Mchanganyiko

SUKITA yataka kamati za kutokomeza ukatili zianzishwe nchi nzima

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kamati za Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA), ngazi ya kata, zinaundwa nchi...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi kuwawezesha wasaidizi kisheria

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ameahidi kutoa majengo na usafiri wa bajaji, kwa wasaidizi wa kisheria ili waweze kufikisha huduma hiyo kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwanafunzi mbaroni akidaiwa kumuua mwalimu aliyemtaka akaswali

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kinamshikilia mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Qiblaten Kawe, Mohamed Jabir, kwa tuhuma za kumuua...

Habari za Siasa

Serikali yaweka mapingamizi kesi ya kupinga uwekezaji bandarini

SERIKALI imeweka mapingamizi katika kesi iliyofunguliwa kupinga uwekezaji wa bandari nchini, ikiitaka Mahakama Kuu, Kanda ya Mbeya, iitupilie mbali kwa madai iko kinyume...

Habari za Siasa

Prof Juma: Ukata umekwamisha utekelezaji mapendekezo Tume ya Jaji Bomani

JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amesema tume mbalimbali zimeundwa kwa ajili ya kukusanya maoni kuhusu maboresho ya haki jinai, lakini mapendekezo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataka kibano viongozi wanaotumia madaraka vibaya

RAIS Samia Suluhu Hassan, ameshauri sheria itakayowabana viongozi wanaotumia madaraka yao mabaya vibaya itungwe, ili kuimarisha mfumo wa haki jinai nchini. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Polisi yaanza uchunguzi tukio la kifo Mbezi Luis

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeanza uchunguzi wa tukio la kifo cha Felix Mgeni, anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais atoa neno sakata la bandari

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amezungumzia mjadala unaondelea kuhusu sakata la ukodishwaji bandari, akisema wakati watanzania wanalumbana juu ya suala hilo, nchi jirani...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyeongoza majadiliano kati ya Serikali na DP World afunguka

  MWENYEKITI wa Kamati ya Majadiliano kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai, juu ya uwekezaji bandarini, Hamza Johar amesema mvutano mkali uliibuka...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yajaribu kushusha presha sakata la bandari

  SERIKALI ya Tanzania, imesema uwekezaji wa bandari, unaotarajiwa kufanywa na kampuni ya DP World, kwamba hauna matatizo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili wa Selasini ajitoa kesi aliyofunguliwa na Mbatia

  HASSAN Ruhwanya, Wakili wa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha NCCR-Mageuzi, Joseph Selasini, amejitoa kumuwakilisha katika kesi aliyofunguliwa na James Mbatia, akimtaka amlipe...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yasimamisha kesi ya Mbatia kupinga kung’olewa NCCR-Mageuzi

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imesimamisha Kwa muda usikilizaji wa kesi iliyofunguliwa na James Mbatia, kupinga kuvuliwa uanachama wa...

Habari za SiasaTangulizi

Msajili aikalia kooni TLP nafasi ya Mrema

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imekitaka Chama cha Tanzania Labpour Party (TLP), kuitisha uchaguzi wa kujaza nafasi ya mwenyekiti wake taifa,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbatia kupinga kung’olewa NCCR-Mageuzi yakwama mahakamani

USIKILIZWA wa kesi Na. 18/2023 iliyofunguliwa katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam na James Mbatia, kupinga kufukuzwa ndani ya chama...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zatoa vilio vya kodi, TRA yaziita mezani

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutatua changamoto za kodi zinazokabili Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), zisizoingiza faida. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Biashara

NGO’s zatoa vilio vya kodi, TRA yaziita mezani

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutatua changamoto za kodi zinazokabili Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), zisizoingiza faida. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari MchanganyikoTangulizi

MwanaHALISI kurejea mtaani kesho, Rais Samia atajwa

GAZETI bingwa la habari za uchunguzi nchini Tanzania, MwanaHALISI, linatarajiwa kuanza kurejea mtaani kesho Alhamisi, tarehe 29 Juni 2023, baada ya kuwa kifungoni...

Habari za SiasaTangulizi

Kikao cha Bunge chaahirishwa ghafla

KIKAO cha Bunge kilichokuwa kinaendelea leo Jumanne, tarehe 27 Juni 2023, kimeahirishwa ghafla baada ya kutokea dharura. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Kikao hicho...

error: Content is protected !!