Saturday , 20 April 2024
Home upendo
1868 Articles238 Comments
Habari Mchanganyiko

Mgomo Kariakoo: Wafanyabiashara wa kigeni waiangukia Serikali

  WAKATI mgomo wa kufungua Biashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, ukishika Kasi, baadhi ya wafanyabiashara kutoka nchi jirani wameomba...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Ponda atia mguu sakata la mali za BAKWATA

  KATIBU wa Shura ya Maimamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema wanajipanga kuishauri Serikali namna bora ya kupata suluhu dhidi ya mali za...

Elimu

Rais Samia awapa ujumbe watahiniwa kidato cha sita

RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka kheri watahiniwa wa mtihani wa kumaliza kidato cha sita, huku akiwaahidi kwamba Serikali yake inaandaa mazingira Bora ya...

Michezo

Sakata kuzima taa Taifa: Vigogo wasimamishwa, mechi za usiku zapigwa ‘stop’

  VIONGOZI wanaosimamia Uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa sakata la kuzima kwa taa...

Habari Mchanganyiko

Wahamasisha uzalishaji ‘Pedi’ za kufua kupunguza gharama, uharibifu mazingira

JAMII imetakiwa kujikita katika uzalishaji wa taulo za kike za kufua ‘Pedi’, ili kuimarisha hedhi salama kwa watoto wa kike, pamoja na kuhifadhi...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa habari wawaangukia wabunge

  WADAU wa Haki ya Kupata Taarifa nchini (CoRI), wamewaomba wabunge kuwasikiliza waandishi wa habari ili wapate mapendekezo yao yaliyoachwa katika Muswada wa...

Habari za Siasa

Kesi ya kina Mdee kupinga kufukuzwa Chadema yapigwa kalenda

KESI iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee, imeahirishwa hadi tarehe 18 na 19 Mei,2023 kutokana na Jaji anayeisikiliza, Cyprian...

Afya

Serikali yatenga Sh. 15 bilioni kukamilisha maboma 300 ya zahanati

  SERIKALI imetenga kiasi cha fedha Sh. 15 bilioni, katika mwaka wa fedha wa 2022/23, kwa ajili ya ukamilishaji ujenzi wa maboma ya...

Afya

Serikali: Tumedhibiti virusi vya Murburg

  SERIKALI ya Tanzania, imesema imefanikiwa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa virusi vya Murburg, huku ikiahidi kuutokomeza kwa kufuata miongozo ya Shirika la...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ataka mambo sita yazingatiwe uandaaji Dira ya Taifa 2050

  MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango, ametaka mambo sita yazingatiwe katika uandaaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zilizotuhumiwa na Dk. Mwakyembe kuhamasisha ushoga kikaangoni

BARAZA la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NACoNGO), limeanza kuzihoji asasi za kiraia (NGO’s) 29, dhidi ya tuhuma za kuhamasisha vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

Heche ataja sababu za kugombea tena uenyekiti mawakili vijana

MWENYEKITI wa Chama cha Mawakili Vijana, anayemaliza muda wake, Wakili Edward Heche, amejitosa kugombea Tena nafasi hiyo ili amalize aliyoyanzisha. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

Sungusia: Nataka kuikwamua TLS

MGOMBEA Urais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Wakili Harold Sungusia, amesema  malengo yake ni kukikwamua chama hicho ili kiweze kutoa mchango...

Habari Mchanganyiko

Wagombea Uchaguzi TLS watangazwa, kampeni kuanza Machi 27

  KAMATI ya Uchaguzi ya Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), imetangaza majina ya walioteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu...

Habari Mchanganyiko

Hawa hapa waliojitosa kurithi mikoba ya Prof. Hosea TLS

  MAWAKILI wasomi watatu, Harold Sungusia, Reginald Shirima na Sweetbeert Nkuba, wamechukua fomu kuomba uteuzi wa kugombea nafasi ya urais wa Chama cha...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zapigwa msasa ukwepaji makosa ya utakatishaji fedha, ugaidi

  MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) 40, yamepewa mafunzo kuhusu ukwepaji makosa ya utakatishaji fedha na ufadhili wa vitendo vya ugaidi. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Fatma Karume ataka mahakama ya kuchunguza vifo vyenye utata

  ALIYEKUWA Rais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Fatma Karume ameishauri uundwaji wa Mahakama maalum itakayochunguza vifo vinavyotokea katika mazingira yenye...

Habari Mchanganyiko

TLS yaendesha kongamano kukusanya maoni kuboresha haki jinai

  CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), limeendesha kongamano la wazi la kukusanya maoni ya wadau juu ya namna ya kuboresha taasisi ya...

Habari Mchanganyiko

Wadau wataka TEHAMA isiwaache nyuma wenye ulemavu

WADAU wa masuala ya haki za binadamu Tanzania, wameiomba Serikali iweke mikakati itakayohakikisha matumizi ya Teknokojia ya Habari na Mawasiliano, haiwaachi nyuma watu...

Habari Mchanganyiko

Nape: Wadau habari bado wanaweza kutoa maoni marekebisho sheria

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema waandishi wa habari na wadau wengine wa tasnia hiyo, bado wana...

Habari za Siasa

Kina Mdee kuwahoji vigogo wa Chadema mahakamani

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imekubali ombi la wabunge viti maalum 19, kuwahoji baadhi ya wajumbe wa Bodi ya...

Habari Mchanganyiko

NGO’s 2,915 hatarini kufutiwa usajili, THRDC yatoa tamko

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), kuendelea kuzingatia matakwa ya kisheria ili kukwepa...

Elimu

Rais Samia ateua Katibu Mtendaji NECTA

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Said Ally Mohamed kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA). Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

Mashirika yanayotetea wanawake yatakiwa kujipanga ushiriki mchakato katiba mpya

  MTANDAO wa Wanawake, Katiba na Uongozi umezitaka asasi za kiraia zinazotetea haki za wanawake na watoto kuungana pamoja katika kuwasilisha ajenda za...

Habari Mchanganyiko

THRDC yawasilisha mapendekezo 500 tume ya Rais Samia, yalilia katiba mpya

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umewasilisha mapendekezo yake 500 katika Tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, ili...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaja na ahadi ya “Taifa la Wote kwa Maslahi ya Wote”

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimezindua ahadi yake kwa Watanzania, ya kujenga Taifa la wote kwa maslahi ya wote kufikia 2035 endapo kitapewa ridhaa ya...

Habari Mchanganyiko

TEF yataja tamu, chungu muswada sheria ya habari

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema limeunda kamati ndogo ya watu sita, kwa ajili ya kuchambua Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yawaangukia Watanzania

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimewaomba Watanzania wakiunge mkono ili kiweze kutimiza malengo yake ya kuwakomboa kiuchumi, kijamii na kisiasa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Hii hapa ahadi ya ACT-Wazalendo kwa Watanzania

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema ndoto yake kuu si kushika dola bali kuwakomboa wananchi kiuchumi na kijamii. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba anusurika kifo akitoka kuhutubia mkutano wa hadhara

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wenzake watano, wamenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Kilwa mkoani...

Habari Mchanganyiko

Kampeni msaada wa kisheria ya Rais Samia yazinduliwa, kugusa maeneo matano

  KAMPENI ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Rais Samia Suluhu Hassan, itafanyika katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo kwenye mikoa ya...

Habari Mchanganyiko

Shaibu awapa mbinu wanahabari uboreshaji muswada sheria ya habari

KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amewataka waandishi wa habari na wadau wa tasnia hiyo, kupitia kwa makini Muswada wa Marekebisho...

Habari Mchanganyiko

Samia amteua Diallo mwenyekiti bodi TFRA

RAIS Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Mwanza, Antony Diallo, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hatimaye muswada marekebisho sheria ya habari watinga bungeni, TEF yampongeza Rais Samia

MUSWADA wa Marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya 2016, umesomwa kwa mara ya kwanza bungeni jijini Dodoma, kupitia Muswada wa Sheria...

Habari za Siasa

TEF yamwangukia Rais Samia muswada wa habari kukwama kuwasilishwa bungeni

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aingilie kati ili Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari...

Habari za Siasa

Mbatia, wenzake wakwaa kigingi, Mahakama yawatambua wajumbe wapya wa bodi

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, imetoa uamuzi wa kuwatambua wajumbe wapya wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha NCCR-Mageuzi,...

Habari Mchanganyiko

TEF yawatuliza wadau wa habari marekebisho vifungu kandamizi

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limewataka wadau wa habari nchini kuwa na subira kwa kuwa muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Huduma...

Habari Mchanganyiko

Polisi yatia neno tahadhari ya ugaidi iliyotolewa na Marekani

  JESHI la Polisi nchini Tanzania limesema hali ya ulinzi na usalama wa nchi ni shwari kwani limeendelea kudhibiti matukio makubwa yanayoweza kuleta...

Habari za SiasaTangulizi

Mgogoro wa NCCR-Mageuzi: Wajumbe Bodi ya Wadhamini wavutana mahakamani

  UPANDE wa wajibu maombi katika kesi Na. 570/2023, iliyofunguliwa na wajumbe wa zamani wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha NCCR- Mageuzi,...

Habari Mchanganyiko

Wakwe kuingizwa katika bima ya afya kwa wote

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema katika Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote, Serikali inapendekeza  wakwe kuingizwa katika bima hiyo.Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

TEF yaendelea kumng’ang’ania Nape epeleke muswada wa habari bungeni

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema linatarajia Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, atatimiza ahadi yake ya kupeleka...

Habari Mchanganyiko

Serikali kufanya utafiti wa hali ya umasikini

SERIKALI ya Tanzania ipo katika maandalizi ya mwisho ya kufanya utafiti wa hali ya umasikini nchini kwa mwaka 2023/2024. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

NBS yatabiri mfumuko wa bei kupungua

  OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS), imetabiri kupungua kwa mfumuko wa bei za vyakula na vinywaji baridi, kutoka asilimia 9.7, kufikia Machi...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Ponda ataka misingi imara itakayosaidia vyombo vya habari kupumua

  KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameishauri Serikali iweke misingi imara itakayosaidia kujenga uhuru wa kudumu...

Habari Mchanganyiko

DART yataja sababu ongezeko nauli za mabasi mwendokasi

  WAKALA wa Mabasi Yaenday Haraka (DART), umesema nauli za mabasi ya mwendokasi zimeongezeka kutokana na kupanda kwa gharama za uendeshaji hususan mafuta....

Habari MchanganyikoTangulizi

Nauli mabasi ya mwendokasi kupanda Januari 16

  WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), umetangaza nauli mpya kwa watumiaji wa mabasi yaendayo haraka, zitakazoanza kutumika kuanzia tarehe 16 Januari 2023....

Habari za Siasa

Serikali yafunguka madai ya wanyamapori kutoroshwa kwa ndege

  SERIKALI ya Tanzania, imesema hakuna ndege zinazoingia katika hifadhi za taifa kwa ajili ya kutorosha wanyamapori, bali ndege zinazoingia hifadhini humo hutumiwa...

Habari za Siasa

Tanzania kupata watalii mil. 5 ifikapo 2025

  SERIKALI imesema ina malengo ya kuongeza idadi ya watalii hadi kufikia 5,000,000 ifikapo 2025, ambao wataingiza fedha Dola za Marekani 6 bilioni....

Habari za SiasaTangulizi

CCM yajitabiria ushindi wa kishindo 2025

  CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimejitabiria kupata ushindi wa kishindo katika Uchaguzi Mkuu wa 2025. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za Siasa

Diwani wa CCM avunja rekodi

  DIWANI wa Kata ya Mzimu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Manfred Lyoto amepongezwa kwa kazi kubwa anayoifanya kwa ajili ya kuwaletea maendeleo...

error: Content is protected !!