Tuesday , 7 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mwanafunzi mbaroni akidaiwa kumuua mwalimu aliyemtaka akaswali
Habari MchanganyikoTangulizi

Mwanafunzi mbaroni akidaiwa kumuua mwalimu aliyemtaka akaswali

Spread the love

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kinamshikilia mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Qiblaten Kawe, Mohamed Jabir, kwa tuhuma za kumuua Mwalimu wake, Hassan Mohamed. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Akizungumza na waandishi wa Habari Leo Ijumaa, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro, amesema tukio Hilo limetokea alfajiri ya tarehe 20 Julai 2023.

Ni naada ya Jabiri kudaiwa kumchoma kwa kisu Mwalimu wake maeneo ya shingoni kitendo kilichopelekea kupoteza maisha.

“Mtuhumiwa alitekeleza kauaji hayo saa 11.10 alfajiri baada ya kumshambuliwa Mwalimu (Patron), aliyekuwa akiwahimiza wanafunzi  wakati wa kuhudhuria ibada ya alfajiri. Majeruhi alifariki wakati anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala na mwili wake umehifadhiwa hospitalini hapo,” amesema Kamanda Muliro.

Kamanda Muliro amesema mtuhumiwa atafaikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo kwa hatua zaidi za kisheria.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kisukari cha mimba ni nini?

Spread the loveKisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma

Spread the loveNAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo...

Habari Mchanganyiko

Samia aagiza huduma za dharura maeneo yaliyoathiriwa na kimbunga Hidaya

Spread the love   RAIS wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Samia...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yatoa uamuzi zuio dhidi ya Club House

Spread the loveMAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu jijini Dar es Salaam,...

error: Content is protected !!