CHAMA cha Wataalamu na Wanataaluma wa Ustawi wa Jamii Tanzania (TASWO), kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kutangaza kuigawanya wizara...
By Mwandishi WetuDecember 17, 2021OFISI ya Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Baraza la Vyama vya Siasa limebebeshwa zigo la mambo 80 yaliyojadiliwa katika mkutano wa...
By Mwandishi WetuDecember 17, 2021SAA chache baada ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kukisimamisha kwa muda kipindi cha ‘Shule ya Uongozi’ kinachoendeshwa na Mbunge wa kuteuliwa...
By Mwandishi WetuDecember 17, 2021RUFAA ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya na wenzake wawili imepangwa kusikilizwa tarehe 14 Februari 2022,...
By Mwandishi WetuDecember 17, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amesema anatarajia kuigawa Wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto na kuunda wizara ya maendeleo...
By Mwandishi WetuDecember 16, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amesema licha ya kwamba nusu ya watu duniani ni wanawake, bado sehemu kubwa ya dunia haijatoa nafasi stahiki...
By Mwandishi WetuDecember 16, 2021KANSELA mpya wa Ujerumani, Olaf Scholz amelihutubia kwa mara ya kwanza bunge leo Jumatano, tarehe 15 Desemba 2021 na kuelezea miongozo ya...
By Mwandishi WetuDecember 15, 2021Mahakama ya Afrika Kusini imeamua rais wa zamani wa Taifa hilo, Jacob Zuma anapaswa kurejea gerezani, kwa sababu msamaha wa kimatibabu aliopewa...
By Mwandishi WetuDecember 15, 2021MKURUGENZI wa Mashitaka ya Jinai nchini Tanzania (DDP), Sylvester Mwakitalu, amesema ofisi yake inaendelea “kuchambua na kupitia,” mamia ya majalada ya watuhumiwa...
By Mwandishi WetuDecember 15, 2021WAZIRI wa Nishati nchini Tanzania, January Makamba amesema, Serikali itaendelea kutumia vifaa mbalimbali vya umeme vinavyozalishwa nchini hivyo, wazalishaji wanapaswa kuzingatia ubora...
By Mwandishi WetuDecember 15, 2021IKIWA imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 nchini Tanzania, zaidi ya vyama 10 vipya vimeomba usajili katika Ofisi ya Msajili...
By Mwandishi WetuDecember 15, 2021KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kufuata taratibu zote za kisheria na kumuachia Mwenyekiti wa...
By Mwandishi WetuDecember 15, 2021LICHA ya baadhi ya vyama vikuu vya upinzani nchini kutangaza kususia kikao cha wadau wa tasnia ya siasa kupitia Baraza la Vyama...
By Mwandishi WetuDecember 14, 2021RAIS Samia amewaonya wabunge kuacha kufanya ubabe katika maeneo ya migodi ili wapewe pesa na kuzitumbua badala yake wasimamie pesa hizo za...
By Mwandishi WetuDecember 13, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan ameeleza kukerwa na diwani wa Kigamboni ambaye awali alipinga operesheni ya kuwahamisha wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ na sasa ameanzisha...
By Mwandishi WetuDecember 13, 2021HATIMA ya Mwimbaji nguli wa mtindo wa Rumba wa kutoka Jamhuri ya Kidemorkasia ya Kongo (DRC), Koffi Olomidé inatarajiwa kufahamika leo tarehe...
By Mwandishi WetuDecember 13, 2021RAIS wa heshima wa Simba ya jijini Dar es Salaam, Mohamed Dewji ameiomba bodi ya wakurugenzi wa timu hiyo, kukutana ili kuandaa...
By Mwandishi WetuDecember 13, 2021MBUNGE wa Kuteuliwa (CCM) nchini Tanzania, Humphrey Polepole amedai, kuvamiwa nyumbani kwake jijini Dodoma na watu wasiojulikana kisha kuiba televisheni. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuDecember 12, 2021MWENYEKITI Mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi, Abdallah Bulembo amemmshukia mbunge wa kuteuliwa, Humphrey Polepole akimtaka kumwacha, mwenyekiti wa chama...
By Mwandishi WetuDecember 12, 2021MTANANGE wa watani wa jadi kati ya Simba na Yanga uliopigwa leo tarehe 11 Disemba 2021, katika dimba la Mkapa jijini Dar...
By Mwandishi WetuDecember 11, 2021RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema si kweli kwamba ameuza ardhi ya Visiwa vya Zanzibar badala yake...
By Mwandishi WetuDecember 11, 2021Simba waigomea TFF KATIKA hali ya kushangaza uongozi wa klabu ya Simba ulimzuia kocha wake mkuu Pablo Franco Martin kutoongea na waandishi wa...
By Mwandishi WetuDecember 10, 2021MKURUGENZI wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Erick Hamissi, anatajwa kuwa mmoja wa watuhumiwa muhimu kwenye mradi wa kitapeli wa...
By Mwandishi WetuDecember 10, 2021BENKI ya NMB katika kipindi cha wiki tisa, imetumia Sh.117 milioni katika kampeni ya weka akiba na ushinde inayoitwa ‘NMB Bonge la...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2021MWANDISHI wa habari mkongwe nchini Tanzania, Jenerali Ulimwengu, anewataka Watanzania wajiulize kama wana uhuru wa kweli. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2021KIONGOZI wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Askofu Emmaus Mwamakula, amewataka wanachama na wafuasi wa Chama cha Chadema, kuendelea kupasa sauti zao...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2021WAKATI Tanzania Bara ikiadhimisha miaka 60 ya Uhuru, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameishauri Serikali kutekeleza mambo manne muhimu ili kurudisha...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2021MAKAMU Mwemyekiti wa Chama cha Chadema Bara, Tundu Lissu, amedai malengo ya wapigania uhuru Tanzania Bara, imesalitiwa katika kipindi cha miaka 60....
By Mwandishi WetuDecember 9, 2021VIONGOZI wa Chama cha Chadema wilayani Kakonko, Kigoma takribani 18 na wanachama wao 35, wanadaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo,...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2021BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) nchini Tanzania, limemuomba Inspekta Jenerali wa Polisi nchini humo (IGP), Simon Sirro...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2021JUMLA ya Marais wa nchi nne pamoja na marais wastaafu watatu wamehudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2021SERIKALI ya Tanzania, ameshauri kuwaondolea vishawishi majaji, ikiwemo kutowapa teuzi za nafasi za uongozi serikalini, ili watende majukumu yao kwa ufanisi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2021SERIKALI ya Tanzania, imesema imeshindwa kusaini Mkataba wa Umoja wa Afrika (AU) unaohusu masuala ya uchaguzi, demokrasia na utawala bora (ACDEC), kwa...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2021HAPPY Birth Tanganyika. Ndiyo Tanganyika ama kwa sasa Tanzania Bara, leo Alhamisi, tarehe 9 Desemba 2021, inaadhimisha miaka 60 ya Uhuru. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Watanzania wengi hawayajui makucha ya wakoloni kwa kuwa walizaliwa baada ya uhuru wa Tanzania Bara...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2021SHIRIKA la Light for the Word, limeitaka jamii ya Kitanzania kushirikiana kwa pamoja kusaidia kutatua changamoto zinazowakabili wanafunzi ikiwemo za macho na...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2021MRITHI wa Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, amepatikana leo mjini Berlin, kufuatia Bunge la nchi hiyo, kumuidhinisha Olaf Scholz kuwa Kansela mpya. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2021LEO Jumatano tarehe 8 Desemba 2021, saa 3:00 usiku, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, atalihutubia taifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari....
By Mwandishi WetuDecember 8, 2021MILIPUKO salama ya fataki inalipuliwa leo Jumatano tarehe 8 Desemba 2021, kuanzia saa 5 usiku, katika maeneo ya Uwanja wa Taifa, Daraja...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2021ZIKIWA zimebaki siku nne, kuelekea kupigwa kwa pambani la watani wa jadi kati ya Simba ambao watakuwa wenyeji wa mchezo huo dhidi...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2021MWANDISHI wa habari mkongwe nchini Tanzania, Jenerali Ulimwengu, amesema, mtu anayedhani marekebisho ya katiba yaliyofanyika 1977, yanakidhi matakwa ya uendeshaji wa nchi...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2021MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, ameomba neno haki, liongezwe katika wimbo wa taifa hilo, kwani...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2021VIONGOZI wa dini kutoka madhehebu mbalimbali nchini Tanzania, wamehimiza Watanzania kuwa walinzi wa haki za binadamu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro…(endelea). Wito huo...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2021RAIS mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume ameeleza kufarijika kuona namna Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2021MADAI mapya ya ufisadi yaliyoibuliwa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwenye Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), hayawezi kumwacha salama,...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2021BODI ya Ligi kupitia kamati ya waamuzi, imemchagua Herry Sasii kuwa refa kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2021Mgombea urais nchini Kenya ameahidi mikopo ya kati ya Dola za Marekani 4,400 (Sh milioni 10.1) na 8,800 (Sh milioni 20.20) kwa...
By Mwandishi WetuDecember 6, 2021Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Elsie Kanza amekutana kwa mazungumzo na Meya wa mji wa Dallas, Meya Eric Johsnon pamoja na...
By Mwandishi WetuDecember 6, 2021Rais wa Gambia, Adama Barrow ameshinda tena uchaguzi mkuu wa nchi hiyo katika kura zilizopigwa kwa mara ya kwanza kwa miongo kadhaa...
By Mwandishi WetuDecember 6, 2021DROO ya nane ya Kampeni ya ‘NMB Bonge la Mpango – 2merudi Tena,’ imefanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha, ambako Theofrida Masudi...
By Mwandishi WetuDecember 6, 2021