Thursday , 25 April 2024
Home mwandishi
8713 Articles1250 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Msajili ateua kikosi kazi cha watu 23, yupo Zitto

  MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi ameteua kikosi kazi cha watu 23 kinachojumuisha makundi mbalimbali ya wanasiasa, wanazuoni,...

Kimataifa

Mwanafunzi afa kwa kukabwa na mkate, soda

  SHEREHE za kumpata mshindi wa kula mkate na kunywa soda jana tarehe 22 Disemba, 2021 ziliisha kwa simanzi, baada ya mwanafunzi mmoja...

Kimataifa

Wasiochanja chanjo ya Corona kukosa huduma za Serikali, baa

  WAKENYA ambao hawatokuwa na cheti cha kupokea chanjo dhidi ya virusi vya Corona hawatoruhusiwa kupokea huduma za serikali ya Kenya ifikapo mwishoni...

Kimataifa

Madai ya kubadili jinsia, mke wa rais atinga mahakamani

  MKE wa Rais wa Ufaransa, Brigitte Macron amesema anatarajia kuchukua hatua za kisheria kuhusu madai ya mitandao ya kijamii kwamba yeye alizaliwa...

Kimataifa

DRC mguu sawa ndani ya EAC, wakuu wa nchi waijadili

  WAKUU wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) leo tarehe 22 Disemba, 2021 wamekutana na kujadili ajenda ya kuiruhusu Jamhuri ya...

Habari Mchanganyiko

Kijana mbaroni kwa kumbaka mama yake mzazi

  MATUKIO ya ukosefu wa maadili mkoani Dodoma yamezidi kuutikisa mkoa huo baada ya Jeshi la Polisi mkoani humo kumnasa kijana mmoja mwenye...

Tangulizi

Uchaguzi wa Rais Libya, waghairishwa dakika za lala salama

  KAMATI ya Bunge nchini Libya, imetangaza leo Jumatano tarehe 22 Desemba 2021, kwamba haitawezekana kuandaa uchaguzi wa rais uliosubiriwa kwa muda mrefu...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yawaonya wanaotaka kukiendesha, kukiburuza

  KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo nchini Tanzania, Ado Shaibu, amesema chama chake kinataka kujitofautisha na vyama vingine, hivyo hakitakubali kuendeshwa...

Habari za SiasaTangulizi

Balozi Kiondo atajwa sakata la ununuzi wa meli

  SAKATA la zabuni za ujenzi wa meli mpya tano, iliyotolewa na Serikali ya Tanzania kwa kampuni mbili kutoka nchini Uturuki, limeanza kuchukua...

Tangulizi

ACT-Wazalendo: Tunasubiri mjadala tume huru ya uchaguzi

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amesema, wanasubiri mjadala wa kitaifa kuhusu aina ya Tume Huru ya...

Habari za Siasa

Balozi Kagasheki afunguka sakata la Polepole, aihoji TCRA

  WAZIRI wa zamani wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania, Balozi Khamis Kagasheki amezungumzia kile kinachoendelea kwa Mbunge wa Kuteuliwa, Humphrey Polepole na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Bagonza atoa ujumbe wa Krismasi, akumbusha machungu 2021

  ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kulutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza amesema, mwaka 2021 unaomalizika ,...

Habari Mchanganyiko

TASAF yajenga nyumba ya Mganga wa kijiji cha Kagongo, Kigoma

  MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia mpango wake wa kusaidia kaya maskini umejenga nyumba ya Mganga wa kijiji cha Kagongo kilichopo...

Michezo

Siku 75: Morris, Mudathir warejea tena Azam, Sure Boy…

  SIKU 75 za wachezaji waandamizi wa vijana wa rambaramba Azam FC ya jijini Dar es Salaam, kukaa kifungoni zimemalizika na kurejea mazoezini...

Habari MchanganyikoTangulizi

2021: Ni mwaka wa kipekee

  SAFARI ya siku 365 za mwaka 2021, zitahitimishwa siku kumi zijazo huku wananchi wakiwa na kumbukumbu ya tukio kubwa na la kwanza...

Kimataifa

Mmiliki wa Shamba Mahagi adakwa na polisi kwa kuchochea vurugu mgodini

  JESHI la Polisi Mkoani Geita linamshikilia mmiliki wa shamba, Gelvas Bambo pamoja na wenzake watatu kwa kosa la kufanya vurugu na kuchoma...

Kimataifa

Pesa za mgombea urais zawatokea puani madada poa, wakabana koo

  MCHANGO wake Naibu Rais wa Kenya, William Ruto wa Sh milioni 20.3 kwa kukindi akiba na mikopo kilichoundwa na wanawake wanaojihusisha na...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe kula Krismasi, mwaka mpya gerezani

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, watasherekea sikuu ya Krismasi na mwaka mpya...

Kimataifa

 Rais Congo-Brazzaville awekwa karantini

  RAIS wa Congo-Brazzaville, Denis Sassou-Nguesso (78), amewekwa karantini baada ya watu kadhaa wa karibu naye kuthibitishwa kuwa wana maambukizi ya virusi vya...

Habari za Siasa

Askofu Gwajima ‘roho ya paka,’ aijibu CCM kiana

  UNAWEZA kusema Mbunge wa Kawe (CCM), Askofu Josephat Gwajima, ana roho ngumu au ya paka, kwani licha ya chama chake, kumweka kiporo,...

MichezoTangulizi

Yanga yaipigisha kwata Tanzania Prisons, yajichimbia kileleni

  VIJANA wa Jangwani jijini Dar es Salaam, Yanga wameendelea kuwapa furaha mashabiki wake, baada ya kuwadunda 2-1 maafande wa magereza, Tanzania Prisons....

AfyaTangulizi

Milioni 1.2 wapata chanjo Tanzania, maambukizi yashika kasi

  SERIKALI ya Tanzania imesema, maambukizi ya virusi vya korona (UVIKO-19), yanaendelea kwa kasi nchini humo na kuwataka wananchi kuchukua tahadhari. Anaripoti Mwandishi...

Michezo

Bunge Tanzania lazoa makombe 7, Majaliwa awapongeza

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameipongeza timu ya Bunge la nchi hiyo, baada ya kuibuka na makombe saba katika michezo mbalimbali...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole ‘hafukuziki’ CCM, kina Mdee watajwa

  KUNA uwezekano mdogo kwa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumvua uanachama wa chama hicho, mbunge wa kuteuliwa na Rais,...

Habari za SiasaTangulizi

Warioba aponda uchaguzi mkuu Tanzania, Pinda awapa ujumbe CCM

  WAZIRI Mkuu mstaafu wa Tanzania, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameuponda uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 akisema, yalitokea matatizo makubwa ambayo hawajawahi kushuhudiwa...

Habari Mchanganyiko

Anusurika kifo kwa kushambuliwa na wanawake waliokuwa wanaondoa mikosi

  KAMANDA wa Jeshi la Polisi mkoani Simiyu, ACP Blasius Chatanda, amesema mwanaume mmoja ambaye hakumtaja jina, amenusurika kifo baada ya kushambuliwa kwa...

Habari za Siasa

Wadau waanza kutoa maoni maboresho sheria ya uhujumu uchumi Zanzibar

  WADAU kutoka katika Asasi za Kiraia, wameanza kutoa maoni yao juu ya marekebisho ya Sheria ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar....

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatilia shaka mazimio wadau wa siasa, yasema haijutii kutoshiriki

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakijutii kutoshiriki mkutano wa wadau wa siasa, kikidai baadhi ya maazimio yaliyotolewa na washiriki wake,...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji Geita waiangukia Serikali ifungue mgodi wao

  MMILIKI wa shamba lenye machimbo ya madini ya dhahabu, Iddrisa Hussein pamoja na wachimbaji wadogo wa eneo la Mahagi Kijiji cha Izunya...

Habari za Siasa

Chadema walia na wazee

  BARAZA la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limeiomba Serikali kuimarisha utolewaji wa huduma za afya kwa wazee, kwa kuwa...

AfyaTangulizi

Mganga mkuu atoa tamko visa vya mafua, kikohozi, atahadharisha Corona kuongezeka

  WIZARA ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia Wazee na Watoto imesema kuongezeka kwa idadi ya watu wenye dalili za kukohoa, mafua, maumivu...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kisa Shule ya Uongozi, Polepole atoa ujumbe

  HUMPHREY Polepole, Mbunge wa Kuteuliwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ametoa ujumbe kuzungumzia adhabu ya kusimamishwa kwa kipindi chake cha Shule ya...

Habari za Siasa

Polepole, Askofu Gwajima, Silaa kikaangoni CCM

  KAMATI Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) imewaitaka wabunge wake watatu kuwahoji kutokana na sababu tuhuma zinazowakabili. Anaripoti...

Habari za Siasa

Taswo yampongeza Rais Samia kuigawanya wizara ya afya

  CHAMA cha Wataalamu na Wanataaluma wa Ustawi wa Jamii Tanzania (TASWO), kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kutangaza kuigawanya wizara...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi, wadau wa siasa waibua mambo 80, wato tamko tume huru, mikutano ya hadhara

OFISI ya Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Baraza la Vyama vya Siasa limebebeshwa zigo la mambo 80 yaliyojadiliwa katika mkutano wa...

Habari za SiasaTangulizi

Baada ya TCRA kumshushia rungu, Polepole asema ni mtihani midogo

  SAA chache baada ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kukisimamisha kwa muda kipindi cha ‘Shule ya Uongozi’ kinachoendeshwa na Mbunge wa kuteuliwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rufaa ya Sabaya, wenzake Februari 2022

  RUFAA ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya na wenzake wawili imepangwa kusikilizwa tarehe 14 Februari 2022,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aanika sababu kuigawa wizara ya afya

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema anatarajia kuigawa Wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto na kuunda wizara ya maendeleo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Nguvu kazi ya wanawake haijatumika ipasavyo

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema licha ya kwamba nusu ya watu duniani ni wanawake, bado sehemu kubwa ya dunia haijatoa nafasi stahiki...

Kimataifa

Kansela mpya Ujerumani ahutubia Bunge, atoa mwekeleo

  KANSELA mpya wa Ujerumani, Olaf Scholz amelihutubia kwa mara ya kwanza bunge leo Jumatano, tarehe 15 Desemba 2021 na kuelezea miongozo ya...

Kimataifa

Mahakama Afrika Kusini yataka Zuma arudishwe gerezani

  Mahakama ya Afrika Kusini imeamua rais wa zamani wa Taifa hilo, Jacob Zuma anapaswa kurejea gerezani, kwa sababu msamaha wa kimatibabu aliopewa...

Habari za SiasaTangulizi

DPP aanza kufuta kesi za ugaidi Tanzania

  MKURUGENZI wa Mashitaka ya Jinai nchini Tanzania (DDP), Sylvester Mwakitalu, amesema ofisi yake inaendelea “kuchambua na kupitia,” mamia ya majalada ya watuhumiwa...

Habari Mchanganyiko

Makamba aeleza mikakati kusambaza umeme nchi nzima

  WAZIRI wa Nishati nchini Tanzania, January Makamba amesema, Serikali itaendelea kutumia vifaa mbalimbali vya umeme vinavyozalishwa nchini hivyo, wazalishaji wanapaswa kuzingatia ubora...

Habari za Siasa

Vyama vipya vya siasa 10 vyaomba usajili

  IKIWA imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 nchini Tanzania, zaidi ya vyama 10 vipya vimeomba usajili katika Ofisi ya Msajili...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto amtwisha zigo la Mbowe Rais Samia

  KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kufuata taratibu zote za kisheria na kumuachia Mwenyekiti wa...

Habari za SiasaTangulizi

ACT Wazalendo yawageuka Chadema, NCCR Mageuzi

  LICHA ya baadhi ya vyama vikuu vya upinzani nchini kutangaza kususia kikao cha wadau wa tasnia ya siasa kupitia Baraza la Vyama...

Habari za Siasa

Rais Samia: Wabunge acheni ubabe migodini

  RAIS Samia amewaonya wabunge kuacha kufanya ubabe katika maeneo ya migodi ili wapewe pesa na kuzitumbua badala yake wasimamie pesa hizo za...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amlipua diwani Kigamboni, alipinga operesheni machinga

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameeleza kukerwa na diwani wa Kigamboni ambaye awali alipinga operesheni ya kuwahamisha wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ na sasa ameanzisha...

Michezo

Koffi Olomidé kuingia jela leo?

  HATIMA ya Mwimbaji nguli wa mtindo wa Rumba wa kutoka Jamhuri ya Kidemorkasia ya Kongo (DRC), Koffi Olomidé inatarajiwa kufahamika leo tarehe...

Michezo

Dewji akoleza moto ujenzi uwanja wa Simba, atoa Bil 2

  RAIS wa heshima wa Simba ya jijini Dar es Salaam, Mohamed Dewji ameiomba bodi ya wakurugenzi wa timu hiyo, kukutana ili kuandaa...

error: Content is protected !!