Thursday , 2 May 2024
Home mwandishi
8754 Articles1261 Comments
ElimuHabari Mchanganyiko

Mtwara Girls waondokana na changamoto ya maji

  WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana mkoani Mtwara (Mtwara Girls High School), wameishukuru Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme wang’oa vigogo TANESCO

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahamisha waliokuwa vigogo wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), katika kipindi ambacho kuna changamoto ya ratiba ya...

Biashara

Emirates SkyCargo inaendeleza uzoefu wake wa kibunifu kwa wateja kwa kutumia Cargo.

  EMIRATES SkyCargo sasa iko hai kwenye suluhisho la soko la CargoAi, CargoMART, ikisonga mbele zaidi katika uzoefu wa dijiti kwa wateja na...

BiasharaMichezo

Wikiendi hii ushindi upo Meridianbet na si kwingine

USHINDI huu ni wako mteja wa Meridianbet kama mechi za UEFA na Europa hazikukupatia pesa basi usihfu wikendi hii inaenda kutenda maajabu yani...

Biashara

Cheza Keno bonanza ya Meridianbet ushinde bodaboda

HII hapa promosheni nyingine kutoka Meridianbetinayokupa zawadi kabamebe kama vile Bodaboda mpya napesa taslim bila kusahau simjanja za kijanja zitamwagikakama mvua. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mgogoro wa ardhi Kiteto: Wakulima wadaiwa kutwanga risasi ng’ombe wa wafugaji Kiteto

MGOGORO kati ya wafugaji na wakulima katika Kijiji cha Lembapuli, Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara umechukua sura mpya baada ya wakulima kudaiwa kuvamia...

Biashara

Makamu Rais AngloGold Ashanti-GGML atembelea maonesho ya madini Geita

MAKAMU Rais wa kampuni ya AngloGold Ashanti Tanzania-GGML anayeshughulikia miradi endelevu kwa upande wa Ghana na Tanzania, Simon Shayo leo Ijumaa ametembelea maonesho...

Kimataifa

Uvamizi wa kijeshi Milango ya bahari ya Taiwan G7 yapinga China

MKUTANO wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa nchi za G7 zimepinga kitendo cha uvamizi wa Jeshi la China katika ukanda wa Bahari...

Habari za SiasaTangulizi

Mchengerwa amtumbua mkurugenzi Busega

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega...

Habari Mchanganyiko

Wadau wakutana kujadili mpango kazi wa uwekezaji miundombinu ya hali ya hewa

  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Hali ya Hewa ya Denmark (DMI) kama Mshauri...

Biashara

Pata ushindi mnono na mechi za Europa kupitia Meridianbet

KAMA unataka ubingwa wakati wa kubashiri mechi zako chimbo ni moja tuu ambalo lipo ndani ya Meridianbet yani ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya...

BiasharaMichezo

Safari ya Gavi kutoka Academy ya Real Betis mpaka Barca

  ANITWA Pablo Martín Páez Gavira ‘Gavi’, sasa ni mchezaji wa kutegemewa katika kikosi cha Barcelona na amecheza mechi zaidi ya 100 mpaka...

BiasharaHabari Mchanganyiko

RC Geita aipongeza GGML kudhamini maonesho ya madini, 400 kushiriki

MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuendelea kuwa mdhamini mkuu wa maonesho ya...

Biashara

Chama cha Wasioona waishukuru Meridianbet

  MAISHA ya binadamu yamejaa mambo mengi sana, kuna mengi ya kidunia unaweza kupitia ukajiona hauna thamani tena kwa jamii, lakini uwepo wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Waziri Mkuu aiagiza PURA kuharakisha zoezi la kunadi vitalu

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuharakisha mchakato wa kunadi vitalu vya mafuta na gesi...

BiasharaMichezo

SBL yazindua Serengeti Oktoba Festival

  KAMPUNI ya Bia ya Serengeti Breweries Ltd (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Lite imezindua Tamasha kubwa la Serengeti Oktoba Festival litakalofanyika...

Biashara

Majaliwa afungua kongamano la nishati, atembelea banda la NMB

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Tanzania haitegemei kuzalisha umeme kwa kutumia maji pekee bali inaendelea kuweka mkazo katika uzalishaji wa umeme kwa kutumia...

Biashara

GGML yatoa milioni 150 kudhamini Maonesho ya 6 ya Madini Geita

KATIKA kuendelea kudumisha dhamira ya ubunifu wa kiteknolojia, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)  imetoa kiasi cha Sh milioni 150 kudhamini Maonyesho...

Habari za Siasa

CCM yatetea jimbo Mbarali

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuvigaragaza vyama vya upinzani baada ya kutetea jimbo la Mbarali katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana Jumanne. Anaripoti Mwandishi...

BiasharaMichezo

Hatimaye yametimia, Novatus aingia katika rekodi ya Uefa

  BAADA ya Mbwana Samatta na Sunday Manara kuandika rekodi ya kucheza Uefa Champions League ambapo Samatta alifanikiwa kuifunga Liverpool ya Jurgen Klopp,...

Habari Mchanganyiko

CP Suzan Kaganda atoa taarifa ya mkutano wa IAWP

  KAMISHNA wa Polisi wa kamisheni ya Utawala na manejimenti ya rasilimali watu, CP Suzan Kaganda amewasilisha taarifa ya Mkutano wa Jumuiya ya...

Kimataifa

Rais Kagame kuwania muhula wa nne

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema atawania muhula wa nne katika uchaguzi wa rais mwaka ujao. Anaripoti Matilda Peter kwa msaada wa Mitandao...

Kimataifa

Ukraine kufungua kituo cha nafaka Kenya

Rais wa Kenya, William Ruto amesema serikali ya Ukraine inapanga kuweka kituo cha nafaka mjini Mombasa kama sehemu ya hatua kubwa ya kukabiliana...

Biashara

Watumiaji mtandao wa X sasa kulipia huduma

MMILIKI wa mtandao wa kijamii  X, Elon Mask ambao zamani ulikuwa unaitwa Twitter anatarajiwa kuweka tozo za malipo katika utumiaji wa mtandao huo....

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi laanza uchunguzi wa clip inayosambaa mtandaoni

  JESHI la Polisi limesema limeona video fupi (clip) ikimwonesha Mtoto aliyefanyiwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji. Anaripoti Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi,...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aanika miradi ya maendeleo Musoma

  OFISI ya Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospster Muhongo, imeishukuru Serikali na wadau wa maendeleo kwa kufanikisha ujenzi wa miradi ya maendeleo...

Habari za Siasa

Ubunge Mbarali: ACT-Wazalendo yamtega Rais Samia

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema kinashiriki uchaguzi wa marudio wa ubunge katika Jimbo la Mbarali, ili kuipima Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu...

Biashara

Mechi za kukupa pesa usiku wa Ulaya hizi hapa

BAADA ya kungojea kwa muda mrefu hatimaye Ligi ya Mabingwa imerejea ambapo leo na kesho ni kivumbi tuu timu 32 zinawania ushindi kwenye...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Prof Mwafenga ulijiamini katika utendaji wako na degree zako 10 – Maige

KIFO cha Prof Hadley Mpoki Mwafenga- Afisa Usimamizi wa Fedha Mkuu Daraja la kwanza wa kitengo cha ubia kati ya Sekta umma na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia agoma ombi la wananchi kumwondoa mwekezaji

RAIS Samia Suluhu Hassan, amekataa ombi la wananchi lililotaka afute hati ya umiliki ardhi inayodaiwa kuporwa kinyume cha sheria na mwekezaji Kampuni ya...

Habari za Siasa

Serikali kujenga bandari ya uvuvi Bagamoyo

SERIKALI ina mpango wa kujenga bandari ya uvuvi wilayani Bagamoyo, ili kuimarisha shughuli za uchumi wa buluu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Serikali imeweka mikakati kukabiliana na ukatili wa kijinsia- Msigwa

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Serikali imeweka mikakati ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia hususan kwa Wanawake kwenye maeneo mbalimbali nchini,...

Biashara

NMB yashinda tena tuzo ya kuongoza kuwafadhili wajasiriamali

Benki ya NMB imetunukiwa tena tuzo na jukwaa la kufadhili ujasiriamali duniani (SME Finance Forum) kutokana na huduma zake wezeshi na ufadhili wake...

Habari za SiasaTangulizi

Wapiga kura 216,282 kupiga kura uchaguzi mdogo Mbarali, kata sita  

Wapiga kura 216,282 walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kupiga kura kesho tarehe 19 Septemba 2023 kwenye uchaguzi mdogo wa...

Biashara

SBL yazindua programu ya “Learning for Life” kuwajengea uwezo vijana Hanang

  KAMPUNI ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua programu ya “Learning for Life” itakayogusa vijana wa wilaya ya Hanang kwa lengo la kuwapa...

Habari Mchanganyiko

Kesi kampuni ya ngumi kuidai fidia Azam Media yapigwa kalenda

  KESI iliyofunguliwa na kampuni inayoandaa mapambano ya ngumi za kulipwa, Hall of Fame Boxing and Promotion, kuidai fidia ya zaidi ya Sh....

Habari za Siasa

Chadema yalishukia Bunge kuhusu bei ya mafuta

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimehoji kwa nini Bunge limeshindwa kuisimamia Serikali katika kutatua changamoto ya kuadimika kwa Dola ya Marekani...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Waziri Majaliwa wadhifa wake ni mkubwa

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake lazima imuenzi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa kutekeleza miradi ya maendeleo katika jimbo lake...

Kimataifa

Kufungwa kwa mpaka wa Tibet kulivyoathiri maisha ya Wanepali katika vijiji vya milimani

  KALU Dhami kutoka Dhalain moja ya kata ya Manispaa ya Vijijini ya Saipali ni mfugaji wa kondoo. Hadi miaka minne iliyopita, Dhami...

Habari Mchanganyiko

Askari wa kike Tanzania washiriki Mkutano wa Mwaka 2023 New Zealand

  ASKARI wa Kike kutoka Nchini Tanzania wameshiriki Mkutano wa mwaka 2023 wa Mtandao wa Polisi Wanawake Duniani (IAWP) Nchini New Zealand. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wanawake waislamu waomba msaada ujenzi makao makuu, Bihimba atoa matofali 1,000

BARAZA Kuu la Wanawake wa Kiislamu Tanzania, limewaomba wadau kuchangia ujenzi wa makao makuu yake yaliyopo maeneo ya Kivule, jijini Dar es Salaam....

Biashara

Meridianbet Kasino waja na mchezo mpya wa Reinin Money

LEO nakupasha kuhusu mchezo wa kasino ya mtandaoni waMeridianbet wenye kuvutia ambapo, shangwe la bonasi zakasino ya mtandaoni linakusubiri. Ili kunogesha mchezo nakuufanya...

HabariHabari Mchanganyiko

Kairuki Hospital Green IVF  yawanoa madaktari kuhusu upandikizaji mimba

KITUO cha Upandikizaji Mimba cha Kairuki Hospital Green IVF (KHGIVF), kimeendesha mafunzo kwa madaktari wa hospitali mbalimbali kuhusu namna bora ya upandikizaji mimba....

Habari Mchanganyiko

OMUKA HUB, NDI wafanikisha majadiliano Jukwaa la wanawake katika siasa

SHIRIKA la Omuka Hub ambalo kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Marekani National Democratic Institute – (NDI) wameandaa majadiliano kwa Jukwaa la...

Habari Mchanganyiko

Watafiti wasisitizwa ushiriki jopo la kimataifa la sayansi ya mabadiliko ya hali ya hewa

  KAIMU Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya...

Biashara

Ligi zarejea na maokoto ya Meridianbet kama kawaida wikiendi hii

  BAADA ya kukosa ladha ya ligi ya Ulaya hatimaye wikendi hii inarejea ikiwa na mechi kibao za kukupa pesa za kutosha ukibashiri...

Biashara

Meridianbet, halopesa waja na ‘Jichukulie maokoto na Halopesa’

  KAMPUNI kongwe na bora kabisa kwenye michezo ya kubashiri Meridianbet imeingia kwenye ushirikiano na kampuni ya simu za mikononi ya Halotel kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yapinga msimamo wa Baraza la Vyama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekosoa msimamo wa Baraza la Vyama vya Siasa wa kuipa muda Serikali katika mchakato wa marekebisho ya...

Biashara

Mbunge Lugangira azindua kampeni ya “Pika na Gesi”

MBUNGE wa Viti Maalum CCM, Neema Lugangira amezindua Kampeni ya “Pika kwa Gesi, Tunza Mazingira” inayolenga kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia...

Habari Mchanganyiko

AICC, JNICC yajipanga kukusanya bilioni 120

MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC), Ephraim Mafuru amesema malengo yao ya mwaka 2023/2024 ni kukusanya Sh 120...

error: Content is protected !!