Saturday , 30 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Jeshi la Polisi laanza uchunguzi wa clip inayosambaa mtandaoni
Habari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi laanza uchunguzi wa clip inayosambaa mtandaoni

Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime
Spread the love

 

JESHI la Polisi limesema limeona video fupi (clip) ikimwonesha Mtoto aliyefanyiwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji. Anaripoti Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi, Dodoma … (endelea).

Akitoa taarifa hiyo msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi, SACP David Misime amesema Jeshi hilo limeanza kuifanyia kazi kuanzia ilipoanza kusambaa ili aliyefanya kitendo hicho cha kinyama kisichokubalika aweze kukamatwa na hatua zingine za kisheria ziweze kufuata.

Misime ameongeza kuwa mtoto huyo lazima atakuwa na Mama, Babu, Bibi, Shangazi, Mjomba, Majirani na Viongozi wa Serikali za Mitaa ambapo ameomba ushirikiano wa karibu ili hatua za kisheria kisheria zichukue Mkondo wake.

Msemaji wa Jeshi hilo ametoa wito kwa yeyote mwenye taarifa za aliyefanya kitendo hicho au mahari kilipo tokea asisite kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi au kwa Kiongozi yeyote yule ili kufanikisha kukamatwa kwa mtuhumiwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Askari Polisi wa wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

Spread the love  KAMISHNA wa Polisi Utawala Menejimenti ya rasilimali watu, CP...

Habari Mchanganyiko

Vijana 400 waguswa na programu ya “Learning for Life” ya SBL

Spread the love  PROGRAMU ya “Learning for Life” imetimiza dhamira ya Serengeti...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Stamico yafungua fursa za kiuchumi kwa makundi maalumu

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Maabara ya bilioni 5 upimaji madini yazinduliwa Geita, inapima kwa mionzi

Spread the loveZaidi ya Sh bilioni tano zimewekezwa katika kampuni ya MSALABS...

error: Content is protected !!