Thursday , 2 May 2024
Home mwandishi
8754 Articles1261 Comments
Habari za Siasa

Rais Samia asamehe wafungwa 2,244

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewasamehe wafungwa 2,244, huku akiwabadilishia hukumu wafungwa wawili kutoka adhabu ya kifo na kuwa kifungo cha maisha jela....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataka jamii inayohoji mafisadi

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo juu ya uboreshaji dira mpya ya taifa ya maendeleo (2025 hadi 2050), huku akitaka iweke masuala yatakayosaidia...

Habari za SiasaTangulizi

Kapinga: Kukatika kwa umeme siyo hujuma

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali ipo kazini kuhakikisha suala la kukatika kwa umeme linashughulikiwa kikamilifu na hakuna hujuma yeyote kama...

Habari za Siasa

Balozi Mwamweta awasilisha hati za utambulisho kwa Rais Ujerumani

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani, Hassan Iddi Mwamweta amewasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa...

Biashara

Ushindi rahisi unpatikana kila ukicheza kasino ya Hot Joker

  HOT Joker Fruits 20 ni mchezo wa sloti ya kasino ya mtandaoni Meridianbet yenye nguzo tano zilizopangwa katika safu tatu na ina...

Michezo

Wenzako wameshakuwa mamilionea hapa wewe unasubiri nini?

  WIKIENDI imefika na ukiachana na mvua za Dar es salaam zinazonyesha basi zisikufanye usahau kutandika jamvi lako kwani inaweza ikawa wikendi hii...

ElimuTangulizi

Mwalimu Maganga Japhet asimamishwa kazi kwa utoro

Mwalimu Maganga Japhet amesimamishwa kazi na Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) kutokana na tuhuma za utoro kazini na kukaidi au kukataa kutekeleza...

Habari Mchanganyiko

Tanesco: Mvua chanzo kukatika umeme leo

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limedai kuwa hitilafu iliyojitokeza katika Gridi Taifa leo tarehe 8 Disemba 2023 majira ya saa 04:14 asubuhi, ndiyo...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Zara tours yajivunia kupandisha wageni 228 Mlima Kilimanjaro

Kampuni ya utalii ya Zara tours ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro kwa mara nyingine imeingia katika historia mpya kupandisha wageni wengi katika mlima...

Michezo

Manchester City vichwa chini Ligi Kuu England

MABINGWA watetezi wa ligi kuu ya Uingereza klabu yaManchester City mambo yanaonekana kuwaendea upandempaka sasa msimu huu, Kwani mpaka wanashika nafasi yanne kwenye msimamo...

AfyaHabari Mchanganyiko

NBC, Taasisi ya Benjamini Mkapa wazindua ufadhili mafunzo ya ukunga kwa wauguzi 50

Benki ya NBC kwa kushirikiana na taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation wamezidua rasmi utekelezaji wa mpango wa ufadhili wa masomo ya ukunga kwa...

Habari Mchanganyiko

Mitandao ya simu, Benki wapewa mbinu kupambana na ujangili

WADAU wa maliasili wamekutana kujadili namna ya kudhibiti mianya ya upitishaji miamala ya fedha kwa njia mitindao na benki inayolenga kufadhili biashara ya...

Habari za SiasaTangulizi

Samia akagua Hanang, awataka wananchi kuondoka maeneo hatarishi

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa mji mdogo wa Katesh, wilayani Hanang, Mkoa wa Manyara, waliokumbwa na maafa ya maporomoko ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wazuiwa kutembelea waathirika maafa Hanang

UJUMBE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), unaoongozwa na mwenyikiti wake Taifa, Freeman Mbowe, umedai kuzuiwa na Jeshi la Polisi kutembelea wahanga...

Habari za Siasa

Msimamo Chadema kuhusu uchaguzi kutolewa Januari

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kinajiandaa kushiriki chaguzi zijazo, huku kikiweka wazi kuwa, kitatoa msimamo mzito ifikapo Januari 2024, iwapo Serikali...

Habari Mchanganyiko

Viongozi wa kimila wamuahidi RPC Songwe kutokomeza ukatili, uhalifu

UONGOZI wa wazee wa mila mkoani Songwe  wamejitokeza kumuunga mkono Kamanda wa polisi mkoa huo, Theopista Mallya katika harakati za kuendeleza mapambano dhidi...

Habari Mchanganyiko

Mawakili vijana kufanya matembezi kupinga wenzao kufungiwa

CHAMA cha Mawakili Vijana kutoka Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS), kimepanga kufanya matembezi ya amani ili kupinga tabia ya wanataaluma hao kufungiwa...

Kimataifa

Sakata la uhamiaji Rwanda lamng’oa waziri Uingereza

Waziri wa Uhamiaji wa Uingereza, Robert Jenrick amejiuzulu baada ya serikali ya nchi hiyo kuchapisha sheria kuhusu mkataba wenye utata na Rwanda wa...

Habari za Siasa

Katesh wapewa lita 14,500 za petroli, dizeli

Naibu Waziri wa Nishati,Judith Kapinga, kwa Niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amesema Wizara ya Nishati imetoa mafuta...

Habari Mchanganyiko

OSHA yaongeza maeneo ya kazi kufikia 30,309

WAKALA wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), umesema kwa kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais Samia Suluhu wamepata mafanikio...

Michezo

Piga mkwanja wa kutosha katika usiku wa kibabe kati ya Man United vs Chelsea

USIKU wa leo katika dimba la Old Trafford utapigwa mchezowa kibabe kati ya klabu ya Manchester United dhdi yaklabu ya Chelsea wa ligi kuu...

Biashara

CEO NMB ashiriki mkutano wa Benki ya Dunia

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna ameshiriki uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Benki ya Dunia (IDA20 Mid Term Review) unaofanyika...

Biashara

Jisajili Meridianbet kasino msimu huu wa Sikukuu upate mgawo wa Mil 2.5

  UNAIJUA 200% inakuaje? Meridianbet msimu huu wa Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya unapojisajili, ukaongeza salio kwenye akaunti yako kisha kucheza kasino...

BiasharaHabari Mchanganyiko

‘BetPawa Dream Maker’ kutimiza ndoto miradi 20 ya kijamii

Jumla ya miradi 20 inayohusu masuala ya afya, usafi wa mazingira, maji, ujasiriamali na ubunifu imechaguliwa katika awamu ya pili ya kampeni ya...

AfyaHabari za Siasa

RAS Songwe: Tumepigwa… mkurugenzi nakupa siku 21

KATIBU tawala mkoani Songwe, Happines Seneda ametoa siku 21 kwa Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Ileje, Nuru Kindamba kumpatia majina ya...

Habari Mchanganyiko

Shura ya Maimamu kukata rufaa kupinga Sheikh kufungwa miaka 7

SHURA ya Maimamu Tanzania, inakusudia kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kwenda jela miaka saba, aliyohukumiwa Sheikh Dua Said Linyama, baada ya kukutwa...

Habari Mchanganyiko

TMA yaagizwa kutangaza mafanikio yao kikanda, kimataifa

  KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara ameiagiza Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kutangaza mafanikio ya taasisi yanayopatikana kikanda,...

Habari Mchanganyiko

NMB yasaidia waathirika wa mafuriko, maporomoko Hanang

Waathirika wa maporomoko ya tope Wilayani Hanang, mkoani Manyara, waliopoteza ndugu zao, makazi, pamoja na mali, wamepatiwa misaada ya kibinadamu na Benki ya...

Biashara

GGML yataja mbinu kuimarisha miradi ya ujenzi, Bashungwa atoa maagizo

KATIKA kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan kuimarisha shughuli za kihandisi nchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa wito...

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Viongozi tuache alama nzuri katika utendaji wetu

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ametoa wito kwa viongozi mbalimbali Serikalini kuhakikisha kazi walizonazo wanazifanya kwa bidii na...

Habari Mchanganyiko

TPF-NET Arusha yaonya jamii ya wafugaji zinazoendeleza ukatili wa watoto na wanawake

  MTANDAO wa Polisi wanawake wa Arusha kuelekea siku 12 za kupinga ukatili umeendelea na kutoa elimu kwa makundi mbalimbali ambapo wametoa elimu...

Biashara

NMB yang’ara Tuzo za Mwajiri Bora mwaka 2023

BENKI ya NMB imenyakua tuzo nne kwenye tuzo za Mwajiri Bora wa Mwaka (EYA 2023), ukiwemo ushindi wa pili kwenye mshindi wa jumla...

Biashara

Sloti ya Wild Riches ya Meridianbet kutoa ushindi mkubwa

  ILE Sloti bomba ya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inayokupa nafasi ya kuibuka shujaa kwenye kundi kubwa la matajiri sasa imerejea, ni...

Habari Mchanganyiko

RPC Songwe awafunda trafki kuzingatia uadilifu

ASKARI wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Songwe wametakiwa kuendelea kufanyakazi kwa kuzingatia haki, weledi na uadilifu hatua ambayo itachangia kudhibiti vitendo vya...

Habari za Siasa

Baba yake Ole Sabaya ashinda Uenyekiti CCM – Arusha

Loy Thomas Sabaya ambaye ni Baba wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa...

Habari Mchanganyiko

Mchimba madini jela maisha kwa kubaka, alihonga Sh 500

Mahakama ya wilaya ya Songwe imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha maisha gerezani mshtakiwa Dickson Mbadame (32) – mchimbaji wa madini kwa kosa...

BiasharaMichezo

Mwana FA anogesha Tamasha la Exim Bima Festival

NAIBU Waziri Wa Utamaduni, Sanaa Na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, mwishoni mwa wiki alipamba  msimu wa kwanza wa Tamasha la Bima Festival...

Biashara

Haya ni Maajabu ya sloti ya Jade Valley ya kasino ya mtandaoni Meridianbet

  JADE Valley ni mchezo wa sloti wenye nguzo tano zilizopangwa kwa ustadi katika mistari mitatu, sloti yenye mistari 50 ya malipo unaopatikana...

Habari Mchanganyiko

Mlima wa Moto wazindua kongamano la SHILO kumuenzi Rwakatare

KANISA la Mlima wa Moto Mikocheni jijini Dar es Salaam, limezindua kongamano liitwalo SHILO kama sehemu ya kumuenzi mwanzilishi wa Kanisa hilo, Hayati...

Habari za SiasaTangulizi

Wataalaam wa miamba watua Hanang

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama amesema kuwa Serikali imepeleka wataalamu wa miamba ambao watatoa taarifa...

Habari za Siasa

Mambo mawili yampeleka Mnyika Marekani

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, yuko nchini Marekani katika ziara ya kikazi ya siku nne, itakayoanza tarehe...

Biashara

Washindi wa Serengeti Maokoto ndani ya Kizibo Dar, Dodoma walamba mzigo

Mustapha Ally, Mkazi wa Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma (kushoto) akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh 500,000 kwa niaba ya Godlisen...

Habari za SiasaTangulizi

ACT Wazalendo washtushwa vifo 47 mafuriko Hanang

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeelezza kupokea kwa mshtuko na simanzi kubwa taarifa za vifo vya watu 47 na majeruhi 85 vilivyotokea wilayani Hanang...

Habari MchanganyikoTangulizi

20 wafariki dunia kwa mafuriko Manyara

MVUA za vuli zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeleta madhara katika mkoa wa Manyara baada ya kuripotiwa vifo 20 vilivyosababishwa na mafuriko katika...

ElimuHabari Mchanganyiko

CEO NMB awataka vijana kunoa ujuzi wao

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri vijana nchini Tanzania kunoa ujuzi wao wa karne ya 21 ili kufanikiwa katika...

Michezo

Manchester City dhidi ya Tottenham ni usiku wa kisasi

KIPUTE kati ya klabu ya Manchester City dhidi yaTottenham Hotspurs kitakachokwenda kupigwa katikadimba la Etihad wikiendi katika ligi kuu ya Uingerezautakua mchezo mkali na...

Michezo

Wikiendi ya kutamba na Meridianbet hii hapa usikubali kuikosa

MERIDIANBET wanakwenda kukupa nafasi ya kutambawikiendi hii kupitia ODDS KUBWA walizoweka katikamichezo mbalimbali ambayo inakwenda kupigwa wikiendihii katika ligi tofauti tofauti barani ulaya. Anaripoti...

Elimu

150 wahitimu Shahada ya Udaktari HKMU

CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali itoe ruzuku kwa vyuo vikuu vinafsi ili kuvijengea uwezo kuboresha miundombinu yake, kusomesha...

Elimu

Aliyehitimu udaktari HKMU na miaka 21 atoa siri

MHITIMU wa fani ya udaktari ambaye ni mdogo kuwahi kutokea tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert kairuki (HKMU), Ahlam Azam...

Habari za Siasa

Dk. Biteko aagiza wakurugenzi TANESCO kukemea rushwa kwenye maeneo yao

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amefanya kikao kazi na Wakurugenzi wa Kanda na Mameneja wa Mikoa wa Shirika...

error: Content is protected !!