Sunday , 5 May 2024
Home mwandishi
8787 Articles1248 Comments
Habari za SiasaKimataifa

Askofu Mkuu: Uchaguzi DRC umekuwa wa machafuko

Katika misa yake ya Krismasi, Askofu Mkuu wa Kinshasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Kardinali Fridolin Ambongo ameelezea jana Jumapili jioni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wakristo duniani washerehekea Sikukuu ya Krismasi

Shamrashamra za Krismasi zinaendelea  duniani kote leo Jumatatu, siku ambayo Wakiristo wanasherehekea sikukuu ya kuzaliwa kwa Mwokozi wao Yesu Kristo. Sikukuu hii imejiri...

Michezo

Biteko ashiriki Rombo marathon, apongeza ubunifu

  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Jumamosi ameshiriki mashindano ya Rombo Marathon yaliyohusisha mbio za Kilomita...

Habari MchanganyikoTangulizi

Silaa asimamisha matumizi ya kituo cha mafuta cha Barrel Dar

  WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesimamisha matumizi ya Kituo cha Mafuta cha Barrel Petrol Energy cha Mikocheni...

Michezo

Kivumbi na jasho wikiendi hii pale Anfield

  JUMAMOSI hii utapigwa mchezo mkali sana katika ligi kuu ya Uingereza ambapo utashuhudia vinara wa ligi kuu ya Uingereza klabu ya Arsenal...

Afya

Wananchi walia ujenzi kituo cha afya kukwama kwa miaka 8

Wananchi wa kijiji cha Songambele kilichopo kata ya Magamba wilayani Songwe mkoani humo, wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa kituo cha afya Ileza ambacho...

Biashara

Cheza sloti na Meridianbet ujishindie Samsung A32

KIPINDI hiki cha sikukuu kampuni bingwa ya michezo yakubashiri ya Meridianbet imekuja na promosheni kabambeambayo itatatoa ofa kwa washindi watakaocheza michezo yaKasino mitandaoni. Anaripoti...

Biashara

Aviator mchezo wa kasino unaotoa beti za bure kila siku

ILIKUWA ni asubuhi moja ya Jumatano kijana mmoja kutokafamilia duni aliamka mapema sana kisha akaanza kujiandaakwenda shule, kwakuwa alikuwa anaishi kwenye hali yaufukara...

Habari za Siasa

Wizara ya ardhi yazindua “ardhi app” kuwahudumia wananchi

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imezindua mfumo rasmi wa kuwahudumia wananchi popote walipo kupitia simu ya kiganjani “Ardhi App” wa...

Habari Mchanganyiko

NBC yafikisha huduma ya miamala kupitia Mashine ya POS katika Mlima Kilimanjaro

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo Ijumaa imewapokea wafanyakazi wake na wadau mbalimbali wa utalii wakiwemo waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro ambao...

Biashara

NMB yawazawadia washindi 100 waliobahatika droo ya 7 ya MastaBata

BENKI ya NMB imetangaza washindi 100 waliobahatika katika droo ya 7 ya kampeni yake ya MastaBata Halipoi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana...

Michezo

Simba gari limewaka Ligi ya Mabingwa Afrika

KUNA msemo waswahili wanasema baada ya dhiki faraja nahichi ndicho kinaonekana kwa klabu ya Simba kwasasa, Kwani walipitia kipindi kigumu lakini wameonekanakuanza kurejea...

Michezo

Yanga yaandika rekodi mpya CAFCL

MARA ya kwanza ilikuwa ni mwaka 1998 takribani miaka 25 imepita tangu Yanga aingie hatau ya makundi bila kushindamchezo wowote kwenye kundi lake...

Biashara

Vodacom waendesha mafunzo ya Tehama na Sayansi kwa wanafunzi wa kike

Meneja Rasilimali Watu wa Vodacom Tanzania PLC, Naiman Moshi (kulia) akikabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya masomo ya TEHAMA na Sayansi kwa mwanafunzi...

Habari za SiasaTangulizi

Salamu za Christmas: Askofu Bagonza atema nyongo

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amelia na kitendo cha mmomonyoko wa...

Biashara

Tanzania mwenyeji wa mkutano wa tano wa kimataifa wa Tanzania Energy Cooperation Summit 2024

WAWEKEZAJI  kutoka sekta mbalimbali, fedha na serikali zitakutana kuonyesha uwezo ilionao Tanzania. Uwezo ambao unaonyeshwa na nchi ambayo kwa sasa imeorodheshwa kuwa ya...

Biashara

Watakaolipa kwa M-Pesa Lake Energies kupata punguzo la bei

  WATEJA wa Kampuni ya Vodacom ambao watakaofanya manunuzi ya mafuta katika vituo vya mafuta vya Lake Energies kwa kutumia M-Pesa watapata punguzo...

Habari Mchanganyiko

Waumini wamefanya maombi kulaani vibaka

Waumini wa makanisa, mtaa wa Sanare kata ya Daraja mbili Jijini Arusha, wameungana na kufanya maombi ya pamoja kulaani vibaka wanaosumbua mtaani hapo...

Afya

Wafanyakazi NMB watoa mil. 11 matibabu ya watoto JKCI

WAFANYAKAZI wa Idara ya Wateja Wadogo na Biashara ya Benki ya NMB, wameikabidhi Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) ya Dar es...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar wadaka watuhumiwa usambazaji picha za ngono

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wawili wanaotuhumiwa kuwapa dawa za kulevya wanawake bila kujijua kisha kuwapiga picha...

Kimataifa

Tetemeko la ardhi lauwa watu 118 China

TETEMEKO la ardhi lililotokea nchini China maeneo ya Kaskazini-Magharibi, limesababisha vifo vya watu zaidi ya 100 na kujeruhi 397. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Ummy agoma kujiuzulu sakata wajawazito kujifungulia sakafuni

BAADA ya baadhi ya watu kumtaka Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, ajiuzulu kuonesha uwajibikaji kufuatia madai ya baadhi ya wajawazito kujifungulia kwenye sakafu...

Michezo

Mtanzania mwingine aogopwa Ukraine, akalia ubao miezi miwili

  NI miezi miwili sasa tangu Shaktar Donetsk ya Ukraine kufanya mabadiliko kwenye benchi lao la ufundi kwa kumfukuza mwalimu Patrick Van Leeuwen...

Biashara

Sloti ya Secret Book of Amun Ra maajabu ya kasino

  SECRET Book of Amun Ra sloti unatufanya turejee Misri ile ya kale yenye maandiko mbalimbali ya vitabu na historia isiyosahaulika ya taifa...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee wawaacha njia panda mawakili wao

WABUNGE Viti Maalum 19, waliovuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), bado hawajafanya maamuzi juu ya hukumu iliyotolewa na mahakama dhidi...

Habari za Siasa

Samia ateua, atengua na kuhamisha viongozi

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali ikiwamo mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Katika taarifa iliyotolewa leo tarehe...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aikabidhi NBC tuzo ya heshima kwa kukuza sekta ya viwanda

Rais Samia Suluhu Hassan amekabidhi tuzo ya heshima  kwa benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa benki...

Habari za Siasa

Rafat ajitosa kuwania uongozi chipukizi Taifa

Mtoto Rafat Ally Simba ambaye hivi karibuni alitikisa vyombo mbalimbali vya habari nchini baada kuandika na kuzindua kitabu chake cha The First Female...

Habari za Siasa

Mradi wa umeme- Rusumo (80 mw) wafikia asilimia 99.9

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema mradi wa maporomoko ya umeme wa Rusumo wa megawati 80 unaotekelezwa kwa...

AfyaTangulizi

Wajawazito wadaiwa kujifungulia sakafuni, Serikali yatoa kauli

BAADHI ya akina mama wajawazito katika Kituo cha Afya cha Buzuruga, kilichopo Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza, wanadaiwa kujifungulia chini kwenye...

ElimuTangulizi

Haya hapa majina wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2024

Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa ametangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza...

Habari Mchanganyiko

Tuzo za PMYA zamfurahisha Rais Samia

RAIS Samia Suluhu Hassan, amelipongeza Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI) kwa namna namna linavyokuwa mwaka hadi mwaka na kuboresha tuzo za wenye...

Michezo

Sir Jef Ratcliffe ampiga dongo Bruno kuelekea mchezo dhidi ya Liverpool

TAREHE 8 Septemba 1994 ni siku muhimu sana kwa kijanawa Kireno kutoka mitaa ya Maia, Bruno Miguel Borges Fernandes ni jina lililo kwenye vitabu...

Michezo

Ni Liverpool dhidi ya Man United kwenye Super Sunday

JUMAPILI ya leo itakua ya kibabe sana kwani kutakua namichezo kadhaa ambayo inaweza kwenda kuhakikishaunapiga mkwanja wa kutosha, Lakini shughuli nzimaitasimamiwa na mchezo mkali...

Biashara

Infinix yawafikia wateja wa simu yao mpya na punguzo la bei

KWMPUNI ya simu za mkononi Infinix Tanzania inaendelezashangwe kwa wateja wake, Infinix ilianza kwa uzinduzi wapromosheni za Christmass mwanzoni mwa mwezi huu, hawajaishia...

Biashara

Meridianbet yamwaga msaada kwa madereva wa Bajaj

KAMPUNI bingwa ya michezo ya kubashiri Meridianbetimefanikiwa kutoa msaada kwa madereva Bajaji katikamaeneo mbalimbali jijini Dar-es-salaam ambapo wametoa maturubai ya kufunga kwenye Bajaji. Anaripoti...

Kimataifa

Mpinzani DRC atangaza kuungana na waasi wa M23

Kiongozi wa upinzani wa Congo anayeishi uhamishoni, Corneille Nangaa jana Ijumaa ametangaza kuunda kitengo cha kisiasa cha kijeshi kitakachokuwa mshirika wa kundi la...

Michezo

Wikiendi ya maokoto ndani ya Meridianbet

  WIKIENDI imefika na ni muda wa kufanya maokoto na kampuni bingwa kabisa ya michezo ya kubashiri ya Meridianbet kwani itakwenda kupigwa michezo...

Habari za Siasa

Mchengerwa aonya ubabaishaji ujenzi stendi ya mabasi Bukoba

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amekemea ubabaishaji katika utekelezaji wa mradi wa...

Biashara

Meridianbet kasino yaja na toleo hili jipya la sloti

  MERIDIANBET kasino ya mtandaoni hatimaye tena tumekusogezea Sloti yenye hadithi ya nguruwe watatu na mbwa mwitu wanaotema Mamilioni kibao kwa mzunguko mmoja....

Habari Mchanganyiko

Tanzania yapongezwa kurejesha amani DRC, ICGLR

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepongezwa kwa kuendelea kuwa mstari wa mbele kurejesha amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na...

Biashara

Ukicheza sloti ya Winning Clover 5 Extreme kushinda Meridianbet ni rahisi

    WINNING Clover 5 Extreme ni sloti ya kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari mitatu, mistari mitano ya ushindi....

Habari za Siasa

Serikali yatakiwa kuondoa miswada ya uchaguzi bungeni

WANASIASA wa upinzani wameishauri Serikali iondoe miswada ya marekebisho ya sheria za uchaguzi bungeni jijini Dodoma, ili iboreshwe kisha irudishwe upya, kwa madai...

Afya

NMB yamwaga vifaa 750 vya kujifungulia Kigamboni

BENKI ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali 750 vya kujifungulia vyenye thamani ya Sh milioni 15.3 ikiwa ni utekelezaji wa dhamira ya...

Habari za Siasa

Serikali yaijibu EU sakata la Ngorongoro

SERIKALI ya Tanzania, imesema haitumii nguvu katika kuwaondoa wananchi jamii ya kimasai wanaoishi Hifadhi ya Ngorongoro, bali inawaondoa kwa hiari ili kuilinda hifadhi...

Habari za Siasa

Mashirika, taasisi 16 za Serikali zaunganishwa, 4 zafutwa

Serikali imeridhia mapendekezo ya timu ya wataalam katika awamu ya kwanza na kuelekeza kuunganishwa kwa mashirika na taasisi 16 na kufuta mashirika na...

Habari Mchanganyiko

MSCL kujenga meli ya mizigo, abiria kwenda visiwa vya Comoro na Shelisheli

  KAMPUNI ya Huduma za Meli (MSCL) imesema kuwa ipo katika mipango ya kukarabati Meli 13 na Kujenga Meli mpya tisa (9) ifikapo...

Habari za Siasa

Bunge la Ulaya lataka uchunguzi huru sakata la Ngorongoro

BUNGE la Umoja wa Ulaya (EU), limetaka uchunguzi huru ufanyike dhidi ya mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Wilaya za Ngorongoro na...

Habari za Siasa

Masheikh Sita wahukumiwa kunyongwa kosa la kulipua kanisa

MASHEIKH sita wamehukuwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha, baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya ugaidi iliyokuwa inawakabili...

Michezo

Usipitwe hii inapatikana Meridianbet pekee leo, ingia na ubeti

  MECHI za Europa zinaendelea leo hii kuanzia saa 2:45 usiku na saa 5:00 usiku hivyo kwa wewe mteja wa meridianbet ingia na...

error: Content is protected !!