Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Wikiendi ya maokoto ndani ya Meridianbet
Michezo

Wikiendi ya maokoto ndani ya Meridianbet

Spread the love

 

WIKIENDI imefika na ni muda wa kufanya maokoto na kampuni bingwa kabisa ya michezo ya kubashiri ya Meridianbet kwani itakwenda kupigwa michezo mbalimbali wikiendi hii ambayo itakuwezesa kushinda maokoto wewe mteja wetu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Michezo mbalimbali inakwenda kupigwa kwenye viwanja mbalimbali katika ligi tofauti tofauti kuanzia Ligi kuu ya Uingereza, Ufaransa, Hispania, Italia na kule nchini Ujerumani ambapo michezo hiyo imepewa ODDS KUBWA pale Meridianbet.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

EPL

Kunako ligi kuu ya Uingereza Jumamosi hii kutakua na mchezo mkali kati ya klabu ya Manchester City ambao watakua nyumbani kuwakaribisha klabu ya Crystal Palace, Fulham ambao wametoka kutoa kipigo kizito mbele ya Westham United watakua ugenini kukipiga na klabu ya Newcastle United, Chelsea baada ya kupoteza dhidi ya Everton watakwenda kumenyana na Sheffield United katika dimba la Stamford Bridge.

LA LIGA

Kunako ligi kuu ya Hispania nako itapigwa michezo mikali Jumamosi hii ambayo itamuwezesha mteja wa Meridianbet kupiga mikwanja ya kutosha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Hispania klabu ya Barcelona baada ya kuambulia kichapo mbele ya Girona wikiendi iliyomalizika watakua ugenini kukipiga na klabu ya Valencia, Atletico Madrid wakiwa kwenye kiwango bora kabisa watakipiga dhidi ya Athletic Club, Sevilla wao watakua nyumbani kucheza na klabu ya Getafe.

SERIE A

Ligi kuu nchini Italia nayo itaendelea wikiendi hii na siku ya Jumamosi itapigwa micgezo kadhaa ambayo itakwenda kuwawezesha watu kupiga mikwanja ya kutosha ambapo pale katika dimba la Diego Armando Maradona utakwenda kupigwa mchezo mkali kati ya Napoli dhidi Cagliari, Mchezo mwingine mkali utakua kati ya Torino na Empoli, Mchezo mwingine wa kibabe utakua kati ya Lecce ambao watakua nyumbani kuwakaribisha kllabu ya Frosinone.

BUNDESLIGA

Kunako ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga Jumamosi hii pia itapigwa michezo kadhaa ya kuwezesha watu kupiga maokoto ya kutosha kwani michezo hiyo imepewa ODDS KUBWA na za kibabe ambapo Augsburg watakua nyumbani kukipiga na Borussia Dormund ambao wametoka kusuluhu na vinara wa ligi hiyo wikiendi iliyopita, Rb Leipzig watakua nyumbani kukipiga na klabu ya Hoffenheim, Mchezo mwingine mkali utakua kati ya klabu ya Bochum ambao watakua nyumbani kukipiga na klabu ya Union Berlin.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!