Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Biashara Washindi wa Serengeti Maokoto ndani ya Kizibo Dar, Dodoma walamba mzigo
Biashara

Washindi wa Serengeti Maokoto ndani ya Kizibo Dar, Dodoma walamba mzigo

Spread the love
Mustapha Ally, Mkazi wa Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma (kushoto) akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh 500,000 kwa niaba ya Godlisen Moshi kutoka kwa Meneja mauzo kampuni ya bia ya Serengeti breweries Ltd (SBL) Mwanahamisi Musa. Moshi alibuka mshindiWa wa kiasi hicho cha fedha kwenye droo ya sita  MAOKOTO iliyochezeshwa wiki iliyopita  na makabidhiano hayo yalifika juzi usiku wilayani hapo
Meneja Mradi kutoka SBL Ali Maiko (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya Shs 500,000 mshindi wa Maokoto ndani ya kizibo, Fikiri Abdul (wa pili kushoto) kwenye droo ya sita iliyofanyika Malamba Mawili, Dsm kwenye baa iitwayo Kibo zone.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Serikali kuwakopesha wajasiriamali 18.5bn/- kupitia NMB

Spread the loveSerikali imetenga kiasi cha Sh 18.5 bilioni kwa ajili ya...

Biashara

Cheza kwa kuanzia Sh 400 kushinda mgao wa Expanse Tournament kasino 

Spread the love  UKISIKIA bosi kacheka ujue Maokoto yanafuatia, Kupitia promosheni pendwa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Biashara

Mchezo wa maokoto Cobra Queen unapatikana Meridianbet

Spread the love Meridianbet Kasino Mtandaoni utapata fursa ya kufurahiamchezo uliochochewa na...

error: Content is protected !!