DAKTARI Hussein Ali Mwinyi amechaguliwa kwa asilimia 78 za wajumbe wa Halmashauri Mkuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais wa Zanzibar...
By Mwandishi WetuJuly 10, 2020UPIGAJI kura wa kumchagua mgombea urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 unaofanywa na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha...
By Mwandishi WetuJuly 10, 2020WAKILI Simba Richmomd Akaro Neo, amechukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania, kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeJuly 10, 2020ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amemchomea utambi Rais John Magufuli kwamba, amewatupa watu wa Kigoma. Anaripoti Faki...
By Faki SosiJuly 10, 2020PROFESA Ibrahim Juma, Jaji Mkuu wa Tanzania, amewataka wanasheria kuwa na fikra mpya katika Karne hii ya 21 kwa kuwa, mambo yamebadilika. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaJuly 10, 2020Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imepitisha majina matatu yatakayopigiwa kura na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ili kumpata mgombea mmoja...
By Mwandishi WetuJuly 10, 2020JAIR Bolsonaro, Rais wa Brazil amewaambia wananchi wake, kwamba anaendelea vizuri ikiwa ni siku chache baada ya kutangaza kuambukizwa virusi vya corona (COVID-19)....
By Hamisi MgutaJuly 10, 2020CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), leo tarehe 10 Julai 2020, kinatarajia kumtangaza mgombea urais wake visiwani Zanzibar. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...
By Regina MkondeJuly 10, 2020RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Gabriel Pascal Malata kuwa Wakili Mkuu wa Serikali (Solicitor General). Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 10, 2020SERIKALI ya Tanzania imesema imefanikiwa kutimiza dhamira ya kuhakikisha upatikanaji wa uwiano wa kutosha katika utoaji huduma za afya za uhakika na wakati....
By Hamisi MgutaJuly 9, 2020NGOME ya vijana ya chama cha ACT- Wazalendo, kimemuomba aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bernard Kamilius Membe, kujiunga na chama hicho. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 9, 2020RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Maguful ametoa pole kwa familia ya Balozi Mstaafu Job Lusinde aliyefariki dunia tarehe 07 Julai,...
By Mwandishi WetuJuly 9, 2020SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, ametaja sifa za wagombea katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Kelvin...
By Kelvin MwaipunguJuly 9, 2020TAASISI ya Kuzia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemuhoji Lingstone Lusinde, aliyekuwa Mbunge wa Mtera (CCM) kwa tuhuma za kugwa rushwa. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJuly 9, 2020WARAKA wenye kurasa 18 kuhusu uchaguzi mkuu, umetolewa na Jumuiya na Taasisi za Kiislam ukisisitiza mambo muhimu ikiwemo Tume Huru ya Uchaguzi. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 9, 2020WIZI wa kura unaolalamikiwa wakati wa uchaguzi mkuu, sasa hautatokea kwa namna Chama cha ACT-Wazalendo kilivyojipanga Bara na Visiwani. Anaripoti Faki Sosi, Kasulu Kigoma...
By Faki SosiJuly 9, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad atashinda urais wa Zanzibar na tuna uhakika wa kushinda majimbo 34 ya uchaguzi visiwani humo. Anaripoti Faki Sosi, Kigoma …...
By Faki SosiJuly 9, 2020MIEZI sita baada ya kung’olewa Umeya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Demokrasia...
By Hamisi MgutaJuly 9, 2020FAMILIA tatu mkoani Mtwara zimeiomba Serikali ya Tanzania, kuboresha utendaji wa vyombo vyenye dhamana ya kutoa haki, ili kuondoa changamoto ya watuhumiwa kukaa...
By Mwandishi WetuJuly 9, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, yupo mdomoni mwa Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...
By Regina MkondeJuly 8, 2020HOJA kwamba, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) visiwani Zanzibar, anachaguliwa Tanzania Bara imepingwa na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa chama...
By Kelvin MwaipunguJuly 8, 2020JOSHUA Nassari, aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki mkoani Arusha na Willy Qambalo, aliyekuwa Mbunge wa Karatu, wote kutoka Chadema, wametimkia CCM. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 8, 2020JIMBO la Nkenge lililopo katika Wilaya ya Misenye, Kagera linawindwa na makada 19 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mmoja kutoka Chama cha...
By Danson KaijageJuly 8, 2020NATAMANI Tanzania iliyo tofauti na ya sasa, natamani Tanzania isiyogawika, tena isiyo na fursa ya kuwafanya hawa wawe chini au hawa juu. Tanzania...
By Regina MkondeJuly 8, 2020GASPAR Mwanalyela, Wakili wa Mahakama Kuu Tanzania, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 8, 2020WAKATI watia nia wanane kutoka CCM katika Jimbo la Bukoba Vijijini wakichuana kuwania kuteuliwa kugombea, Conchester Rwamlaza, aliyekuwa mbunge wa Viti Maalum (Chadema)...
By Danson KaijageJuly 8, 2020IDADI ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika majimbo tisa mkoani Kilimanjaro, wanaotaka kuwa wabunge mpaka sasa imefika 124. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro...
By Mwandishi WetuJuly 8, 2020DAKTARI John Magufuli, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesikitishwa na kifo cha Balozi Job Lusinde, aliyekuwa mdhamini wa chama hicho katika uasisi...
By Mwandishi WetuJuly 8, 2020CHRISTOPHER Wray, Mkurugenzi wa Shirika la Upelelezi la Mareani (FBI) amesema, vitendo vya Serikali ya China ni tishio kwa taifa hilo. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea)....
By Masalu ErastoJuly 8, 2020RIZIKI Mngwali, mtia nia wa ubunge katika Jimbo la Mafia kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, kelele za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye jimbo...
By Hamisi MgutaJuly 8, 2020BERNARD Membe, aliyekuwa mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Waziri wa Mambo ya Nje Nje katika Serikali ya Awamu ya Nne, ni...
By Hamisi MgutaJuly 8, 2020VIONGOZI wa mikoa mitano ya Chama cha ACT Wazalendo, wamemwomba Bernard Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Tanzania, akubari ombi...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema malengo ya Serikali ni kuimarisha usafiri kwenye maziwa yote na bahari ili kuwawezesha Watanzania wafanye biashara...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020SERIKALI ya Tanzania imetumia Sh. 2.3 bilioni katika mwaka wa fedha 2019/20 kununua vifaa vya kielemu na saidizi kwa ajili ya wanafunzi wenye...
By Masalu ErastoJuly 7, 2020SERIKALI ya Kenya imesema, shule za msingi na sekondori nchini humo zitafunguliwa Januari 2020. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Hayo yamesemwa na...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020DAKTARI Mayrose Majinge, amechukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020....
By Regina MkondeJuly 7, 2020UONGOZI wa Kiwanda cha Kutengeneza Nguo cha Sunflag, kilichopo mkoani Arusha, kimeeleza kuwa na uwezo wa kuzalisha sare za majeshi na shule nchini...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC) alikuwa na mpango wa kwenda kugombea ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini, lakini amefuta wazo...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020AUGUSTINE Lyatonga Mrema, Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), amesema mitego ya chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, bado...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020WIZARA ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania, imewahakikishia usalama wa watalii wanaoingia nchini humo kutembelea utalii hawaathiriki na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Mkuu wa Wilaya (DC) na Wakurugenzi wa Halmashauri (DED) tano nchini humo. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020BERNARD Membe, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania anazidi kuviweka mtegoni vyama vya upinzani nchini humo baada ya kusema, atagombea urais...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020WAZIRI wa Nchi, Ofisa ya Rais, Mwnejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, George Mkuchika amefanya uteuzi wa makatibu tawala watano wa wilaya (DAS)...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020BERNARD Kamillius Membe, aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, ametangaza kurejesha kadi yake ya uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020IDDI Azzan, aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni (CCM), anajipanga kumvaa Maulid Mtulia anayemaliza muda wake kwenye jimbo hilo, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeJuly 6, 2020UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesema, katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, jimbo la Iringa Mjini watashinda asubuhi na mapema....
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020WALIMU watatu wa Shule ya Sekondari y aKutwa Kalenge (Kalenge Day), Biharamulo, Kagera wanashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru),...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020KITUO cha kukuza vipaji cha Iringa Football Academy kimefanya majaribio ya wazi (Trial) kwa watoto wenye umri wa miaka 15 mkoani humo na...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amemwapisha James Kaji kuwa Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetoa onyo kwa watu wanaopanga kufanya maandamano kesho tarehe 7 Julai 2020, kwa ajili...
By Regina MkondeJuly 6, 2020