Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CCM yapitisha watatu kugombea Urais Z’bar
Habari za SiasaTangulizi

CCM yapitisha watatu kugombea Urais Z’bar

Dk. Hussein Mwinyi, Mgombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM
Spread the love

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imepitisha majina matatu yatakayopigiwa kura na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ili kumpata mgombea mmoja wa Urais wa Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Majina hayo ni;
1. Dk. Khalid Salum Muhamed
2. Dk. Hussein Mwinyi
3. Shamsi Vuai Nahodha

Shamsi Vuai Nahodha
Dk. Khalid Salum Muhamed

Awali, majina matano yalipokelewa na kikao cha Kamati Kuu na kujadiliwa na kupatikana matatu;

1. Dk. Hussein Mwinyi
2. Profesa Makama Mbarawa
3. Shamsi Vuai Nahodha
4. Dk. Khalid Salum Muhamed
5. Khamis Mussa Omar

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online kwa habari zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!