Friday , 26 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara

BENKI ya NMB imetoa traksuti kwa mkoa wa Mtwara ambako kutafanyika shughuli ya kuwashwa Mwenge wa Uhuru Aprili 2, 2023, katika Uwanja wa...

Habari Mchanganyiko

Yara yaja na bima ya mazao kwa wakulima

  WAKATI serikali ikiweka mikakati mbalimbali kuimarisha sekta ya kilimo ili kuwanusuru wananchi wake na baa la njaa, kampuni ya mbolea -Yara imezindua...

Habari Mchanganyiko

Mkulima maarufu Mbeya amuangukia Majaliwa, alizeti yadoda ghalani

  MKULIMA maarufu wa mazao ya alizeti, mahindi, mpunga pamoja na mazao mengine ya chakula katika mkoa wa Mbeya, Raphael Ndelwa amesema shehena...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango kumpokea Makamu wa Rais wa Marekani

MAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania tarehe 29 Machi 2023 na kupokewa na Makamu wa Rais Dk. Philip...

Habari Mchanganyiko

Serikali:Tupo kwenye majadiliano na Marekani kurejea MCC

UJIO wa Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, nchini Tanzania unaweza kuwa fursa ya kurudishwa kwa ufadhili wa Marekani kupitia Shirika la...

Habari Mchanganyiko

Sababu Kamala Harris kufanya ziara Tanzania zatajawa

TANZANIA ni miongoni mwa nchi tatu barani Afrika zitakazotembelewa na Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris zingine zikiwa ni Ghana na Zambia. ...

Habari Mchanganyiko

NALA kuwekeza zaidi ya bilioni 2 baada ya kupata leseni ya BoT

KAMPUNI ya Kitanzania inayowezesha huduma ya kutuma na kupokea fedha kwa njia ya kidigitali sehemu mbalimbali duniani (NALA), imepata leseni ya Benki Kuu...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aipongeza NMB kampeni upandaji miti, Shule zatengewa mamilioni

MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango, ameipongeza Benki ya NMB na kuitaja kuwa kinara katika kuunga mkono jitihada za Rais Samia...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aagiza makatibu wakuu, wakurugenzi kuajiri maofisa habari

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza makatibu wakuu wote, wakurugenzi wa halmashauri, wakuu wa taasisi za umma kuhakikisha taasisi zote za serikali kuanzia ngazi...

Habari Mchanganyiko

Nape atangaza ujio mkakati mpya wa upashanaji habari serikali

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema wizara hiyo ipo hatua ya mwisho ya kukamilisha utayarishaji wa mkakati wa...

Habari Mchanganyiko

Sungusia: Nataka kuikwamua TLS

MGOMBEA Urais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Wakili Harold Sungusia, amesema  malengo yake ni kukikwamua chama hicho ili kiweze kutoa mchango...

Habari Mchanganyiko

Wahariri kujadili Muswada Sheria ya Habari

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), linatarajiwa kufanya kongamano la siku nne kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali kuhusu tasnia ya habari, ikiwemo Muswada...

Habari Mchanganyiko

SBL yafadhili semina ya uwezeshaji kwa wasanii wa kike wa Tanzania

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) kwa kushirikiana na Mdundo, kampuni ya huduma ya muziki, imeendesha semina ya uwezeshaji kwa wasanii wa kike...

Habari Mchanganyiko

Mahakama: Hatujashindwa kusikiliza mashauri ya ugaidi sababu ya ukosefu wa bajeti

MAHAKAMA ya Tanzania imesema si kweli kwamba imeshindwa kusikiliza mashauri ya watuhumiwa wa ugaidi kutokana na ukosefu wa bajeti. Taarifa hiyo imekuja kufuatia...

Habari Mchanganyiko

Mchina wa SGR aburuzwa kortini kwa kumjeruhi Mtanzania, TRC waja juu

  RAIA wa China, Zheng Yuan Feng, amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumjeruhi mfanyakazi mwenzake katika mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa...

Habari Mchanganyiko

Wadau wauchambua muswada sheria ya habari “ muswada wa kupunguza adhabu”

  WADAU wa Umoja wa Haki ya Kupata Habari (CoRI), wameuchambua Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari ya 2016, uliowasilishwa bungeni jijini...

Habari Mchanganyiko

Watendaji Kata, Mitaa watakaoshindwa kusimamia usafi kukiona

  WATENDAJI wa kata, mitaa na vitongoji na maofisa afya wote ndani ya Jiji la Dodoma wametakiwa kuhakikisha wanasimamia usafi wa mazingira ambao...

Habari Mchanganyiko

Mtia nia urais TLS kukata rufaa kupinga kuenguliwa

  MTIA nia ya kugombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Sweetbert Nkuba amelaani kuenguliwa kwa jina lake kwenye hatua za awali...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua kampeni ya mkeka wa ushindi na ATM zake

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza uzinduzi wa kampeni ya mkeka wa ushindi na ATM za NBC inayolenga kuwapa watumiaji wake nafasi...

Habari Mchanganyiko

Uholanzi wampongeza Rais Samia kuimarisha vyombo vya habari, demokrasia

  UBALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, umempongeza Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuimarisha uhuru na utendaji wa vyombo vya habari nchini.Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Wagombea Uchaguzi TLS watangazwa, kampeni kuanza Machi 27

  KAMATI ya Uchaguzi ya Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), imetangaza majina ya walioteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu...

Habari Mchanganyiko

Wanajeshi Namibia watembelea TRC, waimwagia sifa SGR

SHIRIKA la Reli Tanzania  (TRC) limepokea ugeni wa wanafunzi wanajeshi wanaoshiriki kozi ya ukamanda na unadhimu kutoka nchini Namibia ambao wametembelea ujenzi wa...

Habari Mchanganyiko

NMB yamwaga mamilioni kuimarisha afya, elimu katika Kanda ya Kati

BENKI ya NMB imetoa msaada vifaa mbalimbali kwa sekta za elimu na afya vyenye thamani ya shilingi milioni 39 kwa Wilaya za Kanda...

Habari Mchanganyiko

Mwanamke afariki akifanya mapenzi kichakani

  Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 37 anakabiliwa na mashtaka ya mauaji baada ya mpenzi wake aliyefahamika kwa jina moja la Milca...

Habari Mchanganyiko

Taasisi ya kuendeleza uchimbaji mdogo imetakiwa kushirikiana na serikali

  KAMISHNA wa Madini Dk. AbdulRahman Mwanga ameitaka Taasisi ya Kuendeleza Uchimbaji Mdogo (FADev) kushirikiana na Serikali katika utekelezaji wa majukumu yake ili...

Habari Mchanganyiko

Almasi inayozalishwa maabara yatajwa tishio jipya kwa nchi zinazozalisha madini hayo

  KATIBU Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali amekabidhi rasmi Uenyekiti wa Kamati ya Wataalam wa Nchi Zinazozalisha Almasi Afrika (ADPA) kwa Katibu...

Habari Mchanganyiko

Dk. Tax, balozi wa Marekani wajadili mapokezi ya Kamala Harris

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax amekutana na kuzungumza na Balozi wa Marekani nchini, Michael...

Habari Mchanganyiko

NMB yatenga bilioni 20 mikopo kuchangia ukuaji sekta ya kilimo Tanzania

BENKI ya NMB imetenga mikopo ya Sh20 bilioni itakayotumika kuchangia maendeleo ya sekta ya kilimo nchini ikiwa ni dhamira ya benki hiyo katika...

Habari Mchanganyiko

GGML, halmashauri za Geita zasaini makubaliano ya CSR ya thamani ya Sh bilioni 19

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na wenyeji wake Halmashauri ya Mji Geita, Wilaya ya Geita pamoja...

Habari Mchanganyiko

Zumaridi aibua balaa! TCRA yatangaza kibano kwa vyombo vya habari kurusha maudhui ya kufikirika

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania imetangaza kuchukua hatua kali za kisheria kwa chombo chochote cha utangazaji ambacho kitabainika kuendeela kurusha taarifa zenye maudhui ya...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yakabidhi rasmi msaada nchini Malawi

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Tumeshagawa pikipiki 5,500 kati ya 7,000 kwa maafisa ugani

  WAZIRI wa Kilimo, Hussen Bashe, amesema wizara hiyo tayari imegawa pikipiki 5,500 kati ya 7000 zilizonunuliwa kwa ajili ya maafisa ugani kusimamia...

Habari Mchanganyiko

Spika Tulia awapa neno mawaziri utekelezaji mashamba ya pamoja

  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amewataka mawaziri kushirikiana kwa pamoja katika utekelezaji wa mashamba makubwa ya pamoja katika Programu ya Building...

Habari Mchanganyiko

Ukosefu wa maadili kwa wakunga, wauguzi bado changamoto

IMEELEZWA kuwa vitendo vya uvunjifu wa maadili kwa  wauguzi na wakunga pamoja na ‘vishoka’ ambao wamekuwa wakijiingiza katika taaluma hiyo bado ni kikwazo...

Habari Mchanganyiko

BAKWATA wafanya matembezi ya kupinga ushoga

UONGOZI wa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata) Kata ya Chamwino mkoani Dodoma umefanya matembezi ya amani ya kuunga mkono kauli ya Muft Mkuu...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Miaka miwili ya Rais Samia, TMA yaimarika, yatoa utabiri kwa usahihi

MACHI 19, 2023 Rais Samia Suluhu Hassan anatamiza miaka miwili ya kuiongoza Tanzania baada ya kifo cha Rais wa awamu ya tano, John...

Habari Mchanganyiko

Dk. Gwajima awafunda Ma-DC, awataka kudhibiti ukatili kwa jamii

  RAI imetolewa kwa Wakuu wa Wilaya nchini kuwa mstari wa mbele kubaini na kuibua mienendo isiyofaa ndani ya jamii ikiwemo vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

Ugonjwa wakwamisha hukumu kesi anayedaiwa kubaka mwanafunzi

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imeahirisha kutoa hukumu ya kesi ya kubaka inayomkabili Isack Jacob kutokana na hali ya...

Habari Mchanganyiko

Tanzania ipo tayari kuilisha Dunia

  KWA mujibu wa takwimu kutoka Benki ya Tanzania (BoT) na Wizara ya Kilimo, Tanzania imeongeza mauzo ya nje ya chakula mwaka hadi...

Habari Mchanganyiko

Jamii yasisitizwa kutunza vyanzo vya maji

  JAMII imesisitizwa kuona umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji utakaosaidia kutorudisha nyuma jitihada za upandaji miti na uhifadhi wa mazingira zinazofanywa...

Habari Mchanganyiko

Ibada ya kumuombea Hayati Magufuli yafanyika Chato

  IBADA maalum ya kumuombea aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli, imefanyika katika Kanisa la Mt. Yohana Mria Muzeyi,...

Habari Mchanganyiko

Dkt. Kiruswa: GGML inaibeba Geita, Wizara ya Madini kutafsiri vema maboresho sheria ya madini

NAIBU Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa amesema mojawapo ya kampuni za madini zinazoongoza nchini kwa kutafsiri na kutekeleza vyema matakwa ya Sheria...

Habari Mchanganyiko

TBA: Taasisi za fedha zisiwaache nyuma wanawake

CHAMA cha  Mabenki Tanzania (TBA)  kimetoa wito kwa taasisi za kifedha nchini kuhakikisha kuwa makundi yote kwenye jamii hususani wanawake ushirikishwaji wao unapewa kipaumbele....

Habari Mchanganyiko

Majaliwa acharuka wasoma mita kubambika bili, “wanaichafua serikali”

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaonya wasoma mita za maji nchini kuacha tabia ya kuwabambikia wananchi bili kubwa za maji kwani hatua hiyo inaichafua...

Habari Mchanganyiko

Watanzania watakiwa kutembelea hifadhi za Taifa ili kuongeza mapato

WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kufanya utalii wa ndani ili kuinua pato la Taifa ikiwa ni pamoja na kujivunia rasilimali muhimu za nchi...

Habari Mchanganyiko

AfrONet wapongeza uteuzi wa Dk. Mwatima.

  MTANDAO wa Kilimo Hai Afrika (AfrONet), umempongeza Mwenyekiti wa Taasisi ya Kilimo Hai Tanzania (TOAM), Dk. Mwatima Juma kwa kuteuliwa na Rais...

Habari Mchanganyiko

TRA – Chunya yaja kidijitali makusanyo ya kodi kwenye madini

MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya imesema katika kuboresha mfumo wa ukusanyaji mapato, imeanza kutoa elimu kwa wachimbaji wadogo...

Habari Mchanganyiko

Juhudi za kumkomboa mtoto wa kike ziendane na kumfikisha wa kiume kujitambua

  MENEJA wa Shirika la kuhudumia viwanda vidogo Tanzania (SIDO) Mkoa wa Morogoro, Joan Nangawe anasema juhudi za kumkomboa mwanamke na kumtoa katika...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

MWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mzee Sylvester Masinde amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando...

Habari Mchanganyiko

LHRC kutinga kwa Rais Samia sakata la masheikh wanaotuhumiwa kwa ugaidi

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), kimesema kina mpango wa kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kuwasilisha ombi la kufanyiwa...

error: Content is protected !!