Tuesday , 19 March 2024
Home Habari Mchanganyiko M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia
Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the love

MWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mzee Sylvester Masinde amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza, alikokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje Chadema, John Mrema, Mzee Masinde amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatano, tarehe 15 Machi 2023.

“Tunasikitika kutangaza kifo cha Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chama, Mzee Masinde, kilichotokea alfajiri ya leo katika Hopsitali ya Rufaa Bugando, Mwanza, alikokuwa amelazwa. Tunatoa pole kwa familia, ndugu jamaa na wajumbe wa bodi kwa msiba huu mzito,” imesema taarifa ya Mrema.

Taarifa ya Mrema imesema kuwa, ratiba ya mazishi ya muasisi huyo wa Chadema, itatolewa baada ya chama hicho kufanya kikao na familia yake.

3 Comments

  • CANADA Embassy and TACAIDS Here by requesting Trillion USD 56 to finance spread of diseases like HIV, Gonorea and Hapetititis B

  • KWA AJILI YA MASHINDANO YA MTU WA KWANZA KUWAHI PATIKANA DUNIANI – UKIONA VIPI TUMA KWENYE ANUANI HII

    H.E Ambassador
    Dr. Emmanuel John Nchimbi
    The Embassy of the United Republic of Tanzania
    10 ANAS Ibn Malek Street,
    Mohandessin,
    Cairo, Egypt
    Postal Code: 12411

  • @THINK/Dedication/Remember”@ EMPLOY THEM ALL – ALL TANZANIAN HAS JOB TO DO

    In 2021, the unemployment rate in Tanzania remained nearly unchanged at around 2.74 percent. With a decline of 0.04 percentage points, there is no significant change to 2020. Over the observed period, the unemployment rate has been subject to fluctuation.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

BiasharaHabari za Siasa

Zanzibar mbioni kuanza uchimbaji mafuta na gesi baharini

Spread the loveSERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na...

Habari za Siasa

Wizara ya afya yataja mafanikio 10 miaka mitatu Samia madarakani

Spread the loveWIZARA ya Afya imetaja mafanikio 10 iliyoyapata ndani ya miaka...

Habari MchanganyikoKimataifa

Shule zafungwa kutokana na ongezeko la joto

Spread the loveSUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu,...

error: Content is protected !!