Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia
Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the love

MWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mzee Sylvester Masinde amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza, alikokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje Chadema, John Mrema, Mzee Masinde amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatano, tarehe 15 Machi 2023.

“Tunasikitika kutangaza kifo cha Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chama, Mzee Masinde, kilichotokea alfajiri ya leo katika Hopsitali ya Rufaa Bugando, Mwanza, alikokuwa amelazwa. Tunatoa pole kwa familia, ndugu jamaa na wajumbe wa bodi kwa msiba huu mzito,” imesema taarifa ya Mrema.

Taarifa ya Mrema imesema kuwa, ratiba ya mazishi ya muasisi huyo wa Chadema, itatolewa baada ya chama hicho kufanya kikao na familia yake.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tanzania yakabidhi rasmi msaada nchini Malawi

Spread the loveWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Tumeshagawa pikipiki 5,500 kati ya 7,000 kwa maafisa ugani

Spread the love  WAZIRI wa Kilimo, Hussen Bashe, amesema wizara hiyo tayari...

Habari Mchanganyiko

Spika Tulia awapa neno mawaziri utekelezaji mashamba ya pamoja

Spread the love  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amewataka mawaziri kushirikiana...

error: Content is protected !!