MWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mzee Sylvester Masinde amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza, alikokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje Chadema, John Mrema, Mzee Masinde amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatano, tarehe 15 Machi 2023.
“Tunasikitika kutangaza kifo cha Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chama, Mzee Masinde, kilichotokea alfajiri ya leo katika Hopsitali ya Rufaa Bugando, Mwanza, alikokuwa amelazwa. Tunatoa pole kwa familia, ndugu jamaa na wajumbe wa bodi kwa msiba huu mzito,” imesema taarifa ya Mrema.
Taarifa ya Mrema imesema kuwa, ratiba ya mazishi ya muasisi huyo wa Chadema, itatolewa baada ya chama hicho kufanya kikao na familia yake.
CANADA Embassy and TACAIDS Here by requesting Trillion USD 56 to finance spread of diseases like HIV, Gonorea and Hapetititis B
KWA AJILI YA MASHINDANO YA MTU WA KWANZA KUWAHI PATIKANA DUNIANI – UKIONA VIPI TUMA KWENYE ANUANI HII
H.E Ambassador
Dr. Emmanuel John Nchimbi
The Embassy of the United Republic of Tanzania
10 ANAS Ibn Malek Street,
Mohandessin,
Cairo, Egypt
Postal Code: 12411
@THINK/Dedication/Remember”@ EMPLOY THEM ALL – ALL TANZANIAN HAS JOB TO DO
In 2021, the unemployment rate in Tanzania remained nearly unchanged at around 2.74 percent. With a decline of 0.04 percentage points, there is no significant change to 2020. Over the observed period, the unemployment rate has been subject to fluctuation.