Friday , 26 April 2024
Home mwandishi
8722 Articles1244 Comments
Biashara

Sloti ya Wild Riches ya Meridianbet kutoa ushindi mkubwa

  ILE Sloti bomba ya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inayokupa nafasi ya kuibuka shujaa kwenye kundi kubwa la matajiri sasa imerejea, ni...

Habari Mchanganyiko

RPC Songwe awafunda trafki kuzingatia uadilifu

ASKARI wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Songwe wametakiwa kuendelea kufanyakazi kwa kuzingatia haki, weledi na uadilifu hatua ambayo itachangia kudhibiti vitendo vya...

Habari za Siasa

Baba yake Ole Sabaya ashinda Uenyekiti CCM – Arusha

Loy Thomas Sabaya ambaye ni Baba wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa...

Habari Mchanganyiko

Mchimba madini jela maisha kwa kubaka, alihonga Sh 500

Mahakama ya wilaya ya Songwe imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha maisha gerezani mshtakiwa Dickson Mbadame (32) – mchimbaji wa madini kwa kosa...

BiasharaMichezo

Mwana FA anogesha Tamasha la Exim Bima Festival

NAIBU Waziri Wa Utamaduni, Sanaa Na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, mwishoni mwa wiki alipamba  msimu wa kwanza wa Tamasha la Bima Festival...

Biashara

Haya ni Maajabu ya sloti ya Jade Valley ya kasino ya mtandaoni Meridianbet

  JADE Valley ni mchezo wa sloti wenye nguzo tano zilizopangwa kwa ustadi katika mistari mitatu, sloti yenye mistari 50 ya malipo unaopatikana...

Habari Mchanganyiko

Mlima wa Moto wazindua kongamano la SHILO kumuenzi Rwakatare

KANISA la Mlima wa Moto Mikocheni jijini Dar es Salaam, limezindua kongamano liitwalo SHILO kama sehemu ya kumuenzi mwanzilishi wa Kanisa hilo, Hayati...

Habari za SiasaTangulizi

Wataalaam wa miamba watua Hanang

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama amesema kuwa Serikali imepeleka wataalamu wa miamba ambao watatoa taarifa...

Habari za Siasa

Mambo mawili yampeleka Mnyika Marekani

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, yuko nchini Marekani katika ziara ya kikazi ya siku nne, itakayoanza tarehe...

Biashara

Washindi wa Serengeti Maokoto ndani ya Kizibo Dar, Dodoma walamba mzigo

Mustapha Ally, Mkazi wa Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma (kushoto) akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh 500,000 kwa niaba ya Godlisen...

Habari za SiasaTangulizi

ACT Wazalendo washtushwa vifo 47 mafuriko Hanang

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeelezza kupokea kwa mshtuko na simanzi kubwa taarifa za vifo vya watu 47 na majeruhi 85 vilivyotokea wilayani Hanang...

Habari MchanganyikoTangulizi

20 wafariki dunia kwa mafuriko Manyara

MVUA za vuli zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeleta madhara katika mkoa wa Manyara baada ya kuripotiwa vifo 20 vilivyosababishwa na mafuriko katika...

ElimuHabari Mchanganyiko

CEO NMB awataka vijana kunoa ujuzi wao

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri vijana nchini Tanzania kunoa ujuzi wao wa karne ya 21 ili kufanikiwa katika...

Michezo

Manchester City dhidi ya Tottenham ni usiku wa kisasi

KIPUTE kati ya klabu ya Manchester City dhidi yaTottenham Hotspurs kitakachokwenda kupigwa katikadimba la Etihad wikiendi katika ligi kuu ya Uingerezautakua mchezo mkali na...

Michezo

Wikiendi ya kutamba na Meridianbet hii hapa usikubali kuikosa

MERIDIANBET wanakwenda kukupa nafasi ya kutambawikiendi hii kupitia ODDS KUBWA walizoweka katikamichezo mbalimbali ambayo inakwenda kupigwa wikiendihii katika ligi tofauti tofauti barani ulaya. Anaripoti...

Elimu

150 wahitimu Shahada ya Udaktari HKMU

CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali itoe ruzuku kwa vyuo vikuu vinafsi ili kuvijengea uwezo kuboresha miundombinu yake, kusomesha...

Elimu

Aliyehitimu udaktari HKMU na miaka 21 atoa siri

MHITIMU wa fani ya udaktari ambaye ni mdogo kuwahi kutokea tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert kairuki (HKMU), Ahlam Azam...

Habari za Siasa

Dk. Biteko aagiza wakurugenzi TANESCO kukemea rushwa kwenye maeneo yao

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amefanya kikao kazi na Wakurugenzi wa Kanda na Mameneja wa Mikoa wa Shirika...

Habari Mchanganyiko

TARURA kujenga madaraja 189 kwa teknolojia ya mawe

Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imejipanga kujenga madaraja 189 kwa kutumia teknolojia ya mawe katika mikoa yote 26 nchi nzima...

AfyaHabari Mchanganyiko

Majaliwa aipongeza GGML mapambano dhidi ya Ukimwi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na wadau wengine kwa kuiunga mkono Serikali kwa mchango wa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Uongozi wa Samia kuendelea hadi 2030

KWETU sisi tuliowahi kusoma sekondari, iwe O levo au A levo, nani aliwahi kusikia tangazo la wavuta bangi kujumuika pamoja au tangazo la...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Bado askari wastaafu wanaonewa

RAIS wangu Samia Suluhu Hassan tunaendelea kumshukuru Mungu kwamba wote hatujambo na kwamba Yeye anazidi kutujalia afya ya roho na mwili mpaka dakika...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Tunastawisha ufisadi na kuchukia matunda yake

BUNGE la Jamhuri linaloendelea mjini Dodoma, kwa wiki nzima limetawaliwa na mjadala juu ya ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Wamesahau aliyofanya Magufuli

JUMATATU ya tarehe 16 Oktoba 2023 itabaki kuwa siku ya kumbukumbu kwa wananchi wa kizazi hiki wakazi wa mkoa wa Singida. Hiyo ndiyo...

Kimataifa

Muandamanaji ajichoma moto akipinga vita Palestina, Israel

MUANDAMANAJI moja ambaye hajafahamika jina, yuko mahututi hospitalini akitetea uhai wake, baada ya kujichoma moto kwa kutumia mafuta ya petroli, nje ya ubalozi...

Kimataifa

Urusi kuongeza wanajeshi ikijihami dhidi ya NATO

SERIKALI ya Urusi iko katika mpango wa kuongeza wanajeshi wake, ili kujihami na vitisho vya kiusalama, kufuatia kupanuka kwa Jumuiya ya Kujihami ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aanika matobo miswada sheria za uchaguzi

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amekosoa miswada ya mabadiliko ya sheria za uchaguzi, akidai mapendekezo yake hayalengi...

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML waungana na Biteko kuanika mbinu za mapambano dhidi ya Ukimwi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini kwa kushirikiana na...

Elimu

Janeth Mbene apongeza HKMU, ataka wahitimu wajiajiri

WAHITIMU wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU),  watakiwa kutumia elimu waliyoipata kufanya tafiti na kutatua changamoto mbalimbali zilizoko kwenye jamii....

Biashara

Shinda mtonyo mrefu ukicheza Shaolin Crew kasino ya  Meridianbet

  TAIFA la Uchina limebebwa na historia kubwa sana, wengi wanaijua ile Movie inaitwa Shaolin Soccer ilikuwa balaa sana, jamaa walikuwa wanaupiga mpira...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwalimu jela miaka mitatu kwa rushwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi, wilaya ya Igunga, mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha miaka mitatu gerezani, Jesca Jones Yegera (60) baada ya kupatikana na...

Habari za Siasa

Rais Samia kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia kwa wanawake Afrika

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia wanawake barani Afrika (AWCCSP) kesho Jumamosi katika Umoja...

Kimataifa

Israel yarejesha mashambulizi Gaza ikilaumu Hamas kukiuka makubaliano

JESHI la Israel, limerejesha mashambulizi katika ukanda wa Gaza, baada ya kundi la wanamgambo wa kiislamu la Hamas, kudaiwa kukiuka makubaliano ya kusitisha...

Habari za Siasa

Jaji avunja ukimya sakata la Mpoki kusimamishwa uwakili

JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amekitaka Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kuwafikisha mbele ya kamati ya maadili wanachama wake watakaobainika...

Habari Mchanganyiko

Heche ataka mawakili vijana kuamka sakata Mpoki

MWENYEKITI wa Mawakili Vijana Tanzania kutoka Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS), Edward Heche, amewataka wanachama wake kuchukua hatua pindi watakapoona sekta ya...

Kimataifa

Papa Francis kumfukuza Kardinali anayepinga mageuzi Kanisa Katoliki

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, anadaiwa kupanga kumfumkuza Kardinali wa Marekani, Raymond Burke anayedaiwa kuwa mkosoaji mkubwa na mpingaji wa mpango...

Habari za Siasa

Sheikh Ponda ataka mwarobaini changamoto uchaguzi 2020

KATIBU Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema changamoto zilizojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, kama hazitajadiliwa kwa uzito...

Michezo

Fernandes hakamatiki Man Utd, mahesabu ni kuifunga Bayern

  NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes, alikuwa na kiwango bora sana usiku wa mabingwa Ulaya kwenye mchezo uliomalizika kwa sare ya 3-3...

Habari za Siasa

Wanawake Chadema waingilia kati sakata la Pauline Gekul

BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), wilayani Ilala, limeitaka Serikali kushughulikia kwa ukamilifu tuhuma za ukatili wa kijinsia, zinazomkabili...

Habari Mchanganyiko

Polisi wawili mbaroni tuhuma za kumuua mlinzi wa baa

ASKARI wawili wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, wanashikiliwa kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi aliyekuwa mlinzi wa...

Habari za Siasa

Dk. Tulia apendekeza mbinu kumaliza mgogoro Palestina, Israel

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, ameielekeza kamati inayoshughulikia masuala ya Mashariki ya Kati ya umoja huo kutembelea eneo...

Habari za Siasa

NEC CCM yateua wagombea uenyekiti mikoa, wilaya

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa leo Jumatano kufanya uteuzi wa mwisho wa wagombea wa nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

⁩ Samia aridhia Chongolo kujiuluzu

Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano ameridhia kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Daniel Chongolo kutokana na barua aliyoiandika...

Michezo

Meridianbet na Ligi ya Europa inakupa pesa za kumwaga mapema sana

  KOMBE la UEFA Europa League ni zito kuliko makombe yote ya UEFA yenye madini fedha licha ya kutokuwa na thamani kubwa sana,...

Habari za Siasa

RC Dodoma: Kila kaya, taasisi zilime heka 2 mazao ya chakula

KATIKA harakati za kuimarisha sekta ya kilimo pamoja na kuhamasisha  wananchi kulima mazao yenye tija ili kuondokana na baa la njaa, Mkuu wa...

Habari za Siasa

Kapinga awataka wananchi kutunza miundombinu ya umeme

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amewataka wananchi kuhakikisha wanalinda na kutunza miundombinu ya umeme nchini ili itumike kwa muda mrefu. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Zitto aipa ushauri Serikali maandalizi dira mpya ya maendeleo

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameishauri Serikali ianzishe mjadala wa kitaifa kwa ajili ya kujadili namna ya kuandaa dira mpya ya...

Habari za Siasa

Serikali yaanika mikakati upanuzi wa viwanja vya ndege Kigoma

SERIKALI imesema itaendelea kujenga na kupanua miundombinu ya viwanja vya ndege ili kujihakikishia utoaji wa huduma ndani ya nchi na nchi jirani. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

13 wafariki dunia ajali ya basi likigonga treni Singida

JUMLA ya watu 13 wakiwamo wanawake sita na wanaume saba wamefariki dunia baada ya basi la kampuni ya Ally’s Star Bus kugonga kichwa...

Habari Mchanganyiko

Polisi Arusha waja na mbinu mpya kukabiliana na uhalifu

  JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limekuja na mbinu mpya ya kukabiliana na matukio ya uhalifu katika Mkoa huo ambapo wamewapanga askari...

error: Content is protected !!