Saturday , 27 April 2024
Home mguta
611 Articles79 Comments
Habari za Siasa

Aliyeshinda ubunge Chadema asema…

AIDA Joseph Khenani, mbunge mteule wa Nkasi Kaskazini kupitia Chadema amesema, ushindi wake umejaa majonzi kutokana na kile kilichotokea kwa wagombea wenzake wa...

Habari Mchanganyiko

Mvua Dar: Tahadhari yatolewa

WAKAZI wa Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani, wametakiwa kuchukua tahadhari ya magonjwa ya mlipuko kutokana na mvua  zinazoendelea kunyesha. Anaripoti Hamis Mguta,...

Habari za Siasa

Mkakati wa Kubenea TFF huu hapa

SAED Kubenea, mgombea ubunge Kinondoni, jijini Dar es Salaam  kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, miongoni mwa mambo atakayosimamia ni kuhakikisha linaundwa Shirikisho la Mpira...

Habari za Siasa

Kubenea: Hii ndiyo kazi ya kwanza nitaifanya bungeni

MGOMBEA Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea amesema, akishinda ubunge kipaumbele chake cha kwanza ni kuhakikisha waliovunjiwa nyumba zao mabondenu wanalipwa fidia....

Habari za Siasa

Kubenea kuanzisha benki, kiwanda cha taka Kinondoni

SAED Kubenea, Mgombea Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo amesema, ana mpango wa kuanzisha benki kwa ajili ya wananchi wa jimbo hilo. Anaripoti Hamis...

Habari za Siasa

Mgombea ubunge Ubungo abadili mbinu za kampeni

KABENDERA Eugene, Mgombea wa Ubunge wa Ubungo kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), amefanya kampeni ya aina yake kupitia mkutano na waandishi...

Habari Mchanganyiko

Ajali yaua watano, yajeruhi wanane Dar

MAGARI matatu likiwemo la abiria (daladala) yamegongana katika taa za barabara eneo la Serengeti – Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kusababisha vifo...

Habari za Siasa

Chadema yamuunga mkono Maalim Seif, kuachiana majimbo na kata

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kumuunga mkono Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, pamoja na...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yamshusha Lissu jukwaani siku 7

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemsimamisha Tundu Lissu, mgombea urais kupitia Chadema kufanya kampeni kwa siku saba kuanzia kesho Jumamosi hadi 9...

Habari za Siasa

Sheikh Katimba: 28 Oktoba fursa wapinzani kupumua

SHEIKH Rajab Katimba kutoka Taasisi ya na Jumuiya za Kiislamu Tanzania amesema, Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020 utumike kama fursa ya...

Habari za Siasa

Zitto, Kubenea wamwaga sumu Mafia

ZITTO Zuberi Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na Saed Kubenea, mgombea ubunge wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam, wameongoza mashambulizi dhidi ya...

Habari za Siasa

Maalim Seif amgomea Zitto

MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, amekataa ombi la Kiongozi wa chama hicho, Zitto Zuberi Kabwe la kurudi nyumbani...

Habari za Siasa

Kubenea: Nilihofia kugawa kura Ubungo

SAED Kubenea, mgombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, amesema hakugombea ubunge katika Jimbo la Ubungo ili kutogawa kura za...

Habari Mchanganyiko

Saratani ya matiti yaanza kushambulia wenye umri mdogo

WASTANI wa umri wa wanawake wanaogundulika kuugua saratani ya matiti katika Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) umeshuka. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Wewe umetumwa na mabeberu? Swali lililomchefua Lissu

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kukerwa na fikra za ‘ubeberu’ zinazopandwa kwake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za Siasa

Profesa Mkumbo: Tutajenga ukumbi wa michezo wa kisasa

MGOMBEA ubunge wa Ubungo, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo amesema, akichagulia atahakikisha anaishaiwi Serikali kujengwa ukumbi wa...

Habari za Siasa

Profesa Mkumbo aanika vipaumbele 10

PROFESA Kitila Mkumbo, mgombea ubunge wa Ubungo, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amebainisha vipaumbele kumi atakavyokwenda kuvifanyia kazi endapo atachaguliwa...

Soka

Kessy ajiunga Mtibwa akitokea Nkana FC

TIMU ya Mtibwa Sugar ya Morogoro nchini Tanzania, imemsajili beki Ramadhan Kessy akitokea Nkana FC ya Zambia. Anaripoti Kelvin Mwapungu, Dar es Salaam…(endelea)...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yatupa mapingamizi ya Tundu Lissu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeyatupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema dhidi ya wagombea wenzake...

Habari Mchanganyiko

Ajali ya basi yaua watano, 26 majeruhi Muleba

WATU zaidi ya watano wamepoteza maisha huku 26 wakijeruhiwa katika ajali ya basi iliyotokea leo Ijumaa tarehe 21 Agosti 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari MchanganyikoTangulizi

A-Z uamuzi wa TCRA kwa vyombo vya habari

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa uamuzi katika malalamiko tisa ya watoa huduma ya utangazaji kwa makosa mbalimbali ya...

Habari za Siasa

Prof.Lipumba: Njia ya Ikulu nyeupe

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amesema njia ya kuingia Ikulu ipo wazi. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Watatu wajitosa kuwania urais NCCR-Mageuzi

WANACHAMA watatu wa chama cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania, watachuana kuwania kuteuliwa na chama hicho kugombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano...

Habari za Siasa

Wagombea urais Chadema wabanwa mbavu

WAJUMBE wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamewabana watia nia wa urais kupitia chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Mbowe ataja sababu ya kukacha kugombea urais

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, ameacha kugombea urais ili ajenge chama hicho. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yanza kupitia ‘mafaili’ ya watia nia

KAMATI Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo, imeketi leo tarehe 2 Agosti 2020 ikiwa ni maandalizi ya kuelekea Mkutano Mkuu. Anaripoti Hamis Mguta, Dar...

Michezo

30 kuwania mchezaji bora VPL, Simba yaongoza

KAMATI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) 2019/20, imetoa orodha ya majina 30 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa...

Habari Mchanganyiko

Dawasa: Tumuenzi Mkapa kwa Watanzania wote kupata maji

MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) imesema, itamuenzi Hayati Rais wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William...

BurudikaHabari za Siasa

Baba Levo: Sababu ni Zitto kurudi Kigoma Mjini

UAMUZI wa Zitto Kabwe, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo kugombea tena Jimbo la Kigoma Mjini, umenisukuma kugombea tena Kata ya Mwanga Kaskazini. Anaripoti Hamis...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Mkuu Tanzania Jumatano Oktoba 28

TUME ya Taifa ya Uchaguzi  (NEC) nchini Tanzania imesema, Uchaguzi Mkuu wa udiwani, ubunge na Urais wa Tanzania utafanyika Jumatano Oktoba 28, 2020....

Habari za SiasaTangulizi

Makonda, Mtolea, Nassari na Kitwanga wapigwa

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameshindwa kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kigamboni jijini...

Habari za Siasa

Dk. Ndugulile: Msiache mbachao kwa msala upitao

DAKTARI Faustine Ndugulile, Mbunge wa Kigamboni anayemaliza muda wake amesema, bado ana mikakati ya kuendelea kutatua changamoto ndani ya jimbo hilo. Anaripoti Hamis...

Habari za Siasa

Makonda: Nichagueni, nazifahamu changamoto za Kigamboni

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salam, Paul Makonda amesema ana uwezo wa kuyatekeleza yale yote yaliyomo kwenye Ilani ya Chama cha...

Habari za Siasa

Watia nia 78 kuchuana ubunge Kigamboni 

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Dar es Salaam wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanatarajia kupiga kura za...

Habari za Siasa

Nyalandu: Nikiwa Rais Tanzania, hakuna atakayeisoma namba

LAZARO Nyalandu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kati na mtia nia wa Urais kupitia chama hicho amesema, akiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Urais Chadema: Mbowe, Mchungaji Msigwa wautosa

WANACHAMA wanne kati ya 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ‘wameingia’ mitini katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea...

Habari za Siasa

Rafu CCM zatikisa Shinyanga

WATIA nia ya ubunge katika Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameanza kuchezeana rafu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Shinyanga…(endelea). Kutokana na...

Habari za Siasa

Waliounga juhudi CCM njia panda

IWAPO Rais John Magufuli na Humphrey Polepole, watayaishi maneno yao kwamba ‘hakuna mbeleko’ kwenye mchakato wa uteuzi wa watia wa ubunge na udiwani...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli ateua naibu katibu mkuu

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Dk. Mwinyi Talib Haji kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli aahirisha sherehe za mashujaa

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameahirisha sherehe za Mashujaa zilizopaswa kufanyika tarehe 25 Julai, 2020 Jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za Siasa

Kafulila na Katambi ‘out’, Ma DC, DAS wateuliwa

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameendelea kufanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wakiwemo Katibu Tawala Mkoa wa Songwe (RAS), Wakuu wa Wilaya (DC)...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ahimiza viongozi wa dini kuhubiri amani

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla watumie nyumba za ibada kuhubiri suala la amani na...

Habari za SiasaTangulizi

John Mnyika akimbia ubunge Kibamba

KATIBU mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John John Myika, “ameutema rasmi” ubunge wake, katika jimbo la Kibamba jijini Dar es...

Habari za Siasa

Agnesta awaongoza wanaume Segerea

AGNESTA Lambert, Mratibu wa Uhamasishaji wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) ameshinda kura za maoni za mgombea ubunge...

Habari za Siasa

Chadema Pwani: Ni zamu ya CCM kudondosha chozi

CHAMA cha Demokraia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani kimesema, ni zamu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kudondosha chozi. Anaripoti Hamisi Mguta, Dar...

Habari za Siasa

Dk. Hussein: Kupata ushindi Z’bar ni ngumu

KAZI ya kuutafuta ushindi kwenye uchaguzi mkuu visiwani Zanzibar ni ngumu. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Hiyo ni kauli ya Dk. Hussein Mwinyi, mgombea...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mkuu: Tumeganda katika Karne ya 19

PROFESA Ibrahim Juma, Jaji Mkuu wa Tanzania, amewataka wanasheria kuwa na fikra mpya katika Karne hii ya 21 kwa kuwa, mambo yamebadilika. Anaripoti Hamis...

Habari Mchanganyiko

Corona: Rais wa Brazil ‘sijambo,’ Hong Kong yafunga shule

JAIR Bolsonaro, Rais wa Brazil amewaambia wananchi wake, kwamba anaendelea vizuri ikiwa ni siku chache baada ya kutangaza kuambukizwa virusi vya corona (COVID-19)....

Afya

Serikali ya Tanzania yajivunia maboresho sekta ya afya

SERIKALI ya Tanzania imesema imefanikiwa kutimiza dhamira ya kuhakikisha upatikanaji wa uwiano wa kutosha katika utoaji huduma za afya za uhakika na wakati....

Habari za Siasa

Isaya Mwita: Aliyeng’olewa Umeya wa Jiji, ageukia urais

MIEZI sita baada ya kung’olewa Umeya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Demokrasia...

error: Content is protected !!