AIDA Joseph Khenani, mbunge mteule wa Nkasi Kaskazini kupitia Chadema amesema, ushindi wake umejaa majonzi kutokana na kile kilichotokea kwa wagombea wenzake wa...
By Hamisi MgutaOctober 30, 2020WAKAZI wa Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani, wametakiwa kuchukua tahadhari ya magonjwa ya mlipuko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Anaripoti Hamis Mguta,...
By Hamisi MgutaOctober 15, 2020SAED Kubenea, mgombea ubunge Kinondoni, jijini Dar es Salaam kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, miongoni mwa mambo atakayosimamia ni kuhakikisha linaundwa Shirikisho la Mpira...
By Hamisi MgutaOctober 15, 2020MGOMBEA Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea amesema, akishinda ubunge kipaumbele chake cha kwanza ni kuhakikisha waliovunjiwa nyumba zao mabondenu wanalipwa fidia....
By Hamisi MgutaOctober 13, 2020SAED Kubenea, Mgombea Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo amesema, ana mpango wa kuanzisha benki kwa ajili ya wananchi wa jimbo hilo. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaOctober 12, 2020KABENDERA Eugene, Mgombea wa Ubunge wa Ubungo kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), amefanya kampeni ya aina yake kupitia mkutano na waandishi...
By Hamisi MgutaOctober 9, 2020MAGARI matatu likiwemo la abiria (daladala) yamegongana katika taa za barabara eneo la Serengeti – Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kusababisha vifo...
By Hamisi MgutaOctober 5, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kumuunga mkono Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, pamoja na...
By Hamisi MgutaOctober 4, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemsimamisha Tundu Lissu, mgombea urais kupitia Chadema kufanya kampeni kwa siku saba kuanzia kesho Jumamosi hadi 9...
By Hamisi MgutaOctober 2, 2020SHEIKH Rajab Katimba kutoka Taasisi ya na Jumuiya za Kiislamu Tanzania amesema, Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020 utumike kama fursa ya...
By Hamisi MgutaSeptember 27, 2020ZITTO Zuberi Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na Saed Kubenea, mgombea ubunge wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam, wameongoza mashambulizi dhidi ya...
By Hamisi MgutaSeptember 18, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, amekataa ombi la Kiongozi wa chama hicho, Zitto Zuberi Kabwe la kurudi nyumbani...
By Hamisi MgutaSeptember 14, 2020SAED Kubenea, mgombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, amesema hakugombea ubunge katika Jimbo la Ubungo ili kutogawa kura za...
By Hamisi MgutaSeptember 14, 2020WASTANI wa umri wa wanawake wanaogundulika kuugua saratani ya matiti katika Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) umeshuka. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...
By Hamisi MgutaSeptember 13, 2020TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kukerwa na fikra za ‘ubeberu’ zinazopandwa kwake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Hamisi MgutaSeptember 9, 2020MGOMBEA ubunge wa Ubungo, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo amesema, akichagulia atahakikisha anaishaiwi Serikali kujengwa ukumbi wa...
By Hamisi MgutaSeptember 5, 2020PROFESA Kitila Mkumbo, mgombea ubunge wa Ubungo, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amebainisha vipaumbele kumi atakavyokwenda kuvifanyia kazi endapo atachaguliwa...
By Hamisi MgutaSeptember 5, 2020TIMU ya Mtibwa Sugar ya Morogoro nchini Tanzania, imemsajili beki Ramadhan Kessy akitokea Nkana FC ya Zambia. Anaripoti Kelvin Mwapungu, Dar es Salaam…(endelea)...
By Hamisi MgutaAugust 30, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeyatupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema dhidi ya wagombea wenzake...
By Hamisi MgutaAugust 27, 2020WATU zaidi ya watano wamepoteza maisha huku 26 wakijeruhiwa katika ajali ya basi iliyotokea leo Ijumaa tarehe 21 Agosti 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Hamisi MgutaAugust 21, 2020KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa uamuzi katika malalamiko tisa ya watoa huduma ya utangazaji kwa makosa mbalimbali ya...
By Hamisi MgutaAugust 14, 2020PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amesema njia ya kuingia Ikulu ipo wazi. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam …...
By Hamisi MgutaAugust 13, 2020WANACHAMA watatu wa chama cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania, watachuana kuwania kuteuliwa na chama hicho kugombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano...
By Hamisi MgutaAugust 6, 2020WAJUMBE wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamewabana watia nia wa urais kupitia chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Hamisi MgutaAugust 3, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, ameacha kugombea urais ili ajenge chama hicho. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...
By Hamisi MgutaAugust 3, 2020KAMATI Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo, imeketi leo tarehe 2 Agosti 2020 ikiwa ni maandalizi ya kuelekea Mkutano Mkuu. Anaripoti Hamis Mguta, Dar...
By Hamisi MgutaAugust 2, 2020KAMATI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) 2019/20, imetoa orodha ya majina 30 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa...
By Hamisi MgutaJuly 31, 2020MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) imesema, itamuenzi Hayati Rais wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William...
By Hamisi MgutaJuly 27, 2020UAMUZI wa Zitto Kabwe, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo kugombea tena Jimbo la Kigoma Mjini, umenisukuma kugombea tena Kata ya Mwanga Kaskazini. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaJuly 22, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imesema, Uchaguzi Mkuu wa udiwani, ubunge na Urais wa Tanzania utafanyika Jumatano Oktoba 28, 2020....
By Hamisi MgutaJuly 21, 2020ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameshindwa kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kigamboni jijini...
By Hamisi MgutaJuly 20, 2020DAKTARI Faustine Ndugulile, Mbunge wa Kigamboni anayemaliza muda wake amesema, bado ana mikakati ya kuendelea kutatua changamoto ndani ya jimbo hilo. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaJuly 20, 2020ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salam, Paul Makonda amesema ana uwezo wa kuyatekeleza yale yote yaliyomo kwenye Ilani ya Chama cha...
By Hamisi MgutaJuly 20, 2020WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Dar es Salaam wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanatarajia kupiga kura za...
By Hamisi MgutaJuly 20, 2020LAZARO Nyalandu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kati na mtia nia wa Urais kupitia chama hicho amesema, akiwa...
By Hamisi MgutaJuly 19, 2020WANACHAMA wanne kati ya 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ‘wameingia’ mitini katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea...
By Hamisi MgutaJuly 19, 2020WATIA nia ya ubunge katika Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameanza kuchezeana rafu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Shinyanga…(endelea). Kutokana na...
By Hamisi MgutaJuly 19, 2020IWAPO Rais John Magufuli na Humphrey Polepole, watayaishi maneno yao kwamba ‘hakuna mbeleko’ kwenye mchakato wa uteuzi wa watia wa ubunge na udiwani...
By Hamisi MgutaJuly 19, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Dk. Mwinyi Talib Haji kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano...
By Hamisi MgutaJuly 18, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameahirisha sherehe za Mashujaa zilizopaswa kufanyika tarehe 25 Julai, 2020 Jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Hamisi MgutaJuly 18, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameendelea kufanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wakiwemo Katibu Tawala Mkoa wa Songwe (RAS), Wakuu wa Wilaya (DC)...
By Hamisi MgutaJuly 18, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla watumie nyumba za ibada kuhubiri suala la amani na...
By Hamisi MgutaJuly 17, 2020KATIBU mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John John Myika, “ameutema rasmi” ubunge wake, katika jimbo la Kibamba jijini Dar es...
By Hamisi MgutaJuly 14, 2020AGNESTA Lambert, Mratibu wa Uhamasishaji wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) ameshinda kura za maoni za mgombea ubunge...
By Hamisi MgutaJuly 14, 2020CHAMA cha Demokraia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani kimesema, ni zamu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kudondosha chozi. Anaripoti Hamisi Mguta, Dar...
By Hamisi MgutaJuly 13, 2020KAZI ya kuutafuta ushindi kwenye uchaguzi mkuu visiwani Zanzibar ni ngumu. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Hiyo ni kauli ya Dk. Hussein Mwinyi, mgombea...
By Hamisi MgutaJuly 10, 2020PROFESA Ibrahim Juma, Jaji Mkuu wa Tanzania, amewataka wanasheria kuwa na fikra mpya katika Karne hii ya 21 kwa kuwa, mambo yamebadilika. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaJuly 10, 2020JAIR Bolsonaro, Rais wa Brazil amewaambia wananchi wake, kwamba anaendelea vizuri ikiwa ni siku chache baada ya kutangaza kuambukizwa virusi vya corona (COVID-19)....
By Hamisi MgutaJuly 10, 2020SERIKALI ya Tanzania imesema imefanikiwa kutimiza dhamira ya kuhakikisha upatikanaji wa uwiano wa kutosha katika utoaji huduma za afya za uhakika na wakati....
By Hamisi MgutaJuly 9, 2020MIEZI sita baada ya kung’olewa Umeya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Demokrasia...
By Hamisi MgutaJuly 9, 2020