Thursday , 25 April 2024
Home mguta
611 Articles79 Comments
Habari za Siasa

CCM haininyimi usingizi Mafia – Mngwali

RIZIKI Mngwali, mtia nia wa ubunge katika Jimbo la Mafia kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, kelele za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye jimbo...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: Membe ni mtaji kwetu

BERNARD Membe, aliyekuwa mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Waziri wa Mambo ya Nje Nje katika Serikali ya Awamu ya Nne, ni...

Habari za SiasaTangulizi

Membe aweka ‘sharti’ la Lowassa 2015

BERNALD Membe, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Nne, anataka kile alichofanyiwa Edward Lowassa mwaka 2015, afanyiwe...

Afya

Naibu Waziri aimwagia sifa CCBRT

NAIBU Waziri wa Afya Dk. Godwin Mollel ameipongeza hospitali ya CCBRT kwa utendaji kazi mzuri licha ya kuwepo changamoto zinawaikabili hospitali hiyo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mitihani kidato cha sita kuanza kesho, Necta yatoa onyo

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limewaonya wamiliki wa shuke kuingilia majukumu yanayotendeka ama kufanywa katika mitihami ya kidato cha sita na ualimu inayotarajiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kali ya mwaka: JPM atumbua, ateua hapo hapo

RAIS John Magufuli amemtumbua hadharani Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe (DAS ), Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi kushika nafasi hiyo hapo...

Habari za Siasa

Kushambuliwa Lissu, Mbowe: Chadema ‘tumepoteza imani’

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakina imani na uchunguzi unaofanywa na Jeshi la Polisi kuhusu viongozi wake walioshambuliwa. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...

Afya

Milioni 780 kupambana na dawa za kulevya Tanga 

SERIKALI ya Tanzania imepata Sh. 780 milioni  kwa ajili ya kujenga kliniki ya huduma za methadone kwa waathirika wa dawa za kulevya mkoani...

Habari za SiasaTangulizi

Membe amkosoa Jaji Warioba

MWANADIPLOMASIA mashuhuri nchini Tanzania, Bernard Kamillius Membe, amekosoa utaratibu unaotumika na Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kumtafuta mgombea wake wa urais. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu 2020: Mbatia amtumia salamu bosi wa NEC

CHAMA cha NCCR-Mageuzi, kimetuma ujumbe wa Jaji Semistocles Kaijage,  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuhakikisha watendaji wake wanatenda haki kwenye...

Habari za Siasa

IGP Sirro: Kama Mbowe kadanganya…

SIMON Sirro, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) amesema, kama Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kadanganya kuhusu...

Habari Mchanganyiko

THRDC, MISA-TAN yalaani kufutwa leseni Gazeti la Tanzania Daima

UAMUZI wa Idara ya Habari na Maelezo nchini Tanzania kusitisha leseni ya uzalishaji na uchapishaji wa Gazeti la Kila Siku la Tanzania Daima,...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba: JPM kugombea pekee, kuna sharti

JAJI Mstaafu Joseph Warioba, amsema ni utamaduni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuruhusu rais aliyepo madarakani kutetea kiti chake iwapo hajakiangusha chama. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Serikali yafuta leseni ya Gazeti la Tanzania Daima

GAZETI la kila siku la Tanzania Daima, linalomilikiwa na Kampuni ya Free Media Limited, limeingia kifungoni kwa muda usiojulikana. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Majaliwa: Milioni 700 kujenga shule ya wasichana Ruangwa  

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu kwa watoto wa kike nchini kote ikiwemo wilaya ya Ruangwa ambayo imepewa...

Habari Mchanganyiko

Corona isiwe kigezo watoto kukosa chanjo

SERIKALI ya Tanzania imeitaka jamii kutotumia kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya corona (Covid-19) kama kigezo cha kutopeleka watoto kwenye chanjo ili...

Habari za Siasa

Urais Z’bar: Refa avaajezi, aingia uwanjani

HATUA ya Jecha Salum Jecha, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM imeibua maswali. Anaripoti Hamis...

Habari za Siasa

Mkutano wa Trump wadoda Oklahoma

MATARAJIO ya timu ya kampeni ya Donald Trump, Rais wa Marekani katika kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu, yanawavunja moyo. Inaripoti...

Habari za Siasa

Rais Magufuli atua Dar, achangisha harambee Ubungo

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewasili Jijini Dar es Salaam akitokea Makao Makuu Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Taarifa iliyotolewa...

Habari za Siasa

Spika Ndugai awachongea wabunge kwa wananchi, avikosoa vyombo vya habari

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshauri wananchi kutowachagua wabunge walopokaji na watovu wa nidhamu. Anaripoti Mwandishi Wetu. …(endelea). Spika Ndugai ametoa...

Habari za Siasa

Urais Chadema: Mtia nia alivyojigamba kurudisha uhusiano wa kimataifa

WAKILI Simba Neo, aliyejitosa katika kinyang’anyiro cha Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Afya

Huduma zarejea Hospitali ya Amana, bila barakoa…

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema, Serikali imerudisha huduma za kawaida katika Hospitali ya Rufaa ya...

Habari za Siasa

Chadema ‘yavuna’ kutoka NCCR-Mageuzi

FELIX Mkosamali, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, ametangaza kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Uchaguzi mkuu 2020: Wafadhili waipa mamilioni THDRC

KUELEKEA Uchaguzi Mkuu Oktoba 2020, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umesema, utaendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari ya...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ummy aionya bodi mpya ya TMDA

BODI mpya ya ushauri ya Wizara ya Afya kwa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imetakiwa kuisimamia mamlaka hiyo na kuacha kufanya...

Habari Mchanganyiko

India, China ‘vitani,’wanajeshi 20 wauawa

WANAJESHI 20 wa India wameripotiwa kuuawa baada ya kushambuliwa na Jeshi la China mpakani Magharibi mwa Milima ya Himalaya. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Taarifa...

Habari za SiasaTangulizi

Urais Chadema: Nyalandu kutekeleza mambo 26 akiwa Rais 

LAZARO Nyalandu, ametangaza kutia nia ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) huku akibainisha vipaumbele 26...

Habari za Siasa

Mch. Msigwa: Nina dhamira ya kweli ya urais

MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini ametangaza nia ya kuwania urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), na kwamba ana dhamira...

Habari Mchanganyiko

Mweusi mwingine auawa Marekani

IKIWA ni zaidi ya wiki tatu ya maandamano kutokana na polisi wa Minnesota, Marekani kumuua raia mweusi wa taifa hilo George Floyd, tayari...

Habari za Siasa

Bunge lapiga ‘stop’ mtu au mamlaka kuihamisha Serikali Dodoma

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limepitisha azimio la kuitaka Serikali kutobadili uamuzi wa Jiji la Dodoma kuwa makao makuu ya nchi...

Habari za Siasa

Kwa nini tunaumba Miungu itakayogharimu taifa?

SERIKALI iko mbioni kuwasilisha bungeni muswada wa Sheria ya Utekelezaji wa Haki na wajibu wa Msingi, Sura ya 3 (The Basic Rights and...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo wapinga kinga ya Rais, Jaji Mkuu, Spika

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeleeza kuwa nia ya serikali ya kupitisha Muswada wa sheria mbalimbali Na.3 ya mwaka 2020 inalenga  kufunga milango ya kudai...

Tangulizi

Safu Mount Meru kufumuliwa

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Godwin Mollel, ameagiza kuondolewa kwa safu ya uongozi wa Hospitali ya...

Habari za Siasa

Mrema: Piga ua galagala Dk. Magufuli atashinda Urais

MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party,  (TLP) Augustine Lyatonga Mrema amesema, katika uchaguzi mkuu mwaka 2020 chama chake hakitaweka mgombea wa Rais...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ummy aonya wavuta sigara hadharani, atoa maagizo

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi NEMC wasomewa mashtaka tisa

WAFANYAKAZI wanne wa Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, wakikabiliwa na kesi ya...

Habari Mchanganyiko

‘Rais, Spika na Jaji Mkuu hawatoshitakiwa Tanzania’

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kwa kushirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamepinga muswada wa marekebisho...

Habari Mchanganyiko

Balozi Seif akerwa talaka za ovyo, unyanyasaji Z’bar

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi ameitaka Tume ya Haki za Binadamu Tanzania kufanya wajibu wake wa kuwaelimisha...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ateta na vigogo wa CCM Ikulu

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi, Rais John Pombe Magufuli amefanya kikao na viongozi waandamizi wa chama hicho akiwemo Rais wa Zanzibar, Ali Mohamed...

Habari Mchanganyiko

Watatu mbaroni tuhuma mauaji ya dereva tax Dar

POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva tax (UBER), Joseph Tillya Mpokala,(51),Mkazi...

Habari Mchanganyiko

Uhamiaji wakabidhiwa nyumba 103, Majaliwa awapa ujumbe

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka Idara ya Uhamiaji kutambua wajibu wao wa kutoa huduma iliyobora na inayokidhi matarajio ya wateja ambao...

Michezo

Serikali: Mashabiki ruhusa viwanjani

MSEMAJI wa Serikali, Dk. Hassan Abbas amesema kutokana na maoni mbalimbali serikali imeridhia mashabiki watakaotaka kwenda viwanjani kutazama mechi mara tu baada ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mauaji ya Floyd: Hali ilivyo miji 25 Marekani

MAUAJI yaliyofanywa na polisi wa Mji wa Minnesota, yamebadili taswira ya miji 25 ya Marekani na kuwa ya vurugu, maandamano na uharibifu wa...

Habari za Siasa

Madiwani Chadema, CUF Dar watimkia NCCR- Mageuzi

VIGOGO wawili wa upinzani jijini Dar es Salaam, Mustafa Muro (Chadema) na Maalim Amir Mbuju (CUF), wamekimbia vyama vyao na kujiunga na NCCR-...

Afya

CCBRT wajitosa vita ya corona

MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi amekabidhi vifaa maalumu vya kujikinga na virusi vya Corona usoni (Face Shields) vipatavyo 150...

Habari za Siasa

Ongezeko matumizi mabaya ya mitandao yatua bungeni

MBUNGE wa Ulanga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Goodluck Mlinga ameihoji Serikali ya Tanzania jinsi ilivyojipanga kudhibiti matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii....

Habari za Siasa

Kilichotarajiwa Burundi chatimia, wapinzani wang’aka

UCHAGUZI Mkuu nchini Burundi umefikia tamati, malalamiko yanayotolewa na vyama vya upinzani baada ya Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye wa chama tawala – CNDD-FDD...

Afya

Wagonjwa wa Fistula wasibaki nyumbani

WAZIRI wa Afya Tanzania, Ummy Mwalimu amesema Wanawake wenye matatizo ya Fistula wanatakiwa kuacha tabia ya kujifungia ndani na badala yake waende kupata...

Habari za Siasa

#live: Kinachoendelea Bungeni muda huu

Tazama LIVE Mkutano wa Bunge, Mkutano wa 19 kikao cha 35 tarehe 22 May 2020

Habari Mchanganyiko

Makonda atoa siku 10 Hospitali ya Kigamboni ianze kazi

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda ametoa siku kumi kwa uongozi wa Manispaa ya Kigamboni kuhakikisha Hospital wilaya hiyo inaanza...

error: Content is protected !!