Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo 30 kuwania mchezaji bora VPL, Simba yaongoza
Michezo

30 kuwania mchezaji bora VPL, Simba yaongoza

Spread the love

KAMATI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) 2019/20, imetoa orodha ya majina 30 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa ligi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Ligi hiyo iliyokuwa na timu 20, imehitimishwa hivi karibuni huku bingwa akiwa timu ya Simba SC ya jijini Dar es Salaam iliyotwaa kombe hilo mara tatu mfululizo.

Pia, imeshuhudia timu za Singida United, Lupuli ya Iringa, Alliance ya Mwanza na Ndanda ya Mtwara zikishuka daraja.

Kati ya orodha hiyo ya wachezaji 30, Simba imeingiza wachezaji nane huku Yanga ya Dar es Salaam ikiwa na wachezaji watano na Azam FC ya jijini humo wachezaji watatu.

Taarifa kamili ya kamati hiyo iliyotolewa leo Ijumaa tarehe 31 Julai 2020 hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!