Friday , 19 April 2024
Home mguta
611 Articles79 Comments
Habari za Siasa

Mama Samia kuapishwa leo

  LEO Ijumaa saa 4:00 asubuhi, tarehe 19 Machi 2021, Ikulu ya Dar es Salaam, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, ataapishwa kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mama Samia abeba ahadi ya Rais Magufuli Tanga

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassani ameahidi kusimamia ujenzi wa barabara ya Korogwe Vijijini hadi Tanga Mjini, ili kutekeleza ahadi...

Michezo

Kenya yaichapa Stars 2-1

  TIMU ya soka ya Kenya ‘Harambee Stars’ imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya timu ya Tanzania ‘Taifa Stars.’ Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

BurudikaTangulizi

Wizkid, Burnaboy wan’gara tuzo za grammy, Beyonce aweka rekodi

  TUZO kubwa ulimwenguni, zinazotolewa nchini Marekani maarufu ‘Grammy,’ zimeshuhudia gwiji wa muziki, Beyonce akiweka rekodi kwa kushinda na kufikisha tuzo 28 tangu...

Michezo

Kocha Simba: Lazima tuifunge Al Merrikh, Wawa nje

  KOCHA wa Simba ya Dar es Salaam, Didier Gomes amesema, mchezo wao dhidi ya Al Merrikh ya Sudan, utakuwa mgumu lakini “lazima...

Habari za SiasaTangulizi

Mama Samia: Ni wakati muhimu Watanzania tushikamane

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, hakuna kipindi ambacho taifa hilo, lipanaswa kujenga umoja, kama kipindi hiki cha sasa....

Tangulizi

Maangamizi Myanmar, waliouawa wafika 126

  IDADI ya wananchi waliouawa nchini Myanmar tangu jeshi la nchi hiyo kupora madaraka na kuanza kwa mandamano tarehe 1 Februari 2021, wamefika...

Habari Mchanganyiko

Simulizi kijiji cha maajabu, nyoka mwenye vichwa 12

  NI mikasa na maajabu inayoandika historia, katika kijiji cha Kiponzelo mkoani Iringa nchini Tanzania. Anaripoti Hamisi Mguta, Iringa … (endelea). Kijiji ambacho...

Michezo

Bilionea Patrice Motsepe, rais mpya CAF

  RAIS mpya wa shirikisho la kandanda barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe, ameomba umoja wakati akitafuta kurejesha sifa ya shirika hilo. Anaandika Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Akamatwa kwa kusambaza taarifa ‘JPM mgonjwa’

CHARLES Majura (35), fundi simu na mkazi wa Dar es Salaam, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, kwa madai ya kusambaza...

Habari Mchanganyiko

 Eric Omondi akamatwa

  MCHEKESHAJI maarufu nchini Kenya, Eric Omondi, amekamatwa kwa kukiuka kanuni ya maadili ya Bodi ya Ukaguzi wa Filamu nchini humo (KFCB). Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwanamke wa Kitanzania aliyekwapua mamilioni NBC

  SARAH Martin Simbaulanga, alivuma katika vichwa vya habari nchini Tanzania, miaka ya 1987, baada ya kuiibia Benki ya NBC, mamilioni ya shilingi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mgahawa wa viziwi unavyovutia wengi Iringa

  KUKOSA kiungo kimoja katika mwili wako ama kuwa na ulemavu sio mwisho wa maisha. Anaripoti Hamis Mguta, Iringa…(endelea). Kauli hii inathibitishwa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Usiyoyajua kuhusu Panya wapima TB

  MAMBO yanabadilika kadri teknolojia inavyozidi kukua. Panya ni mnyama mwenye historia ya uharibifu tu akiingia ndani ya nyumba, lakini hii ni tofauti....

Habari Mchanganyiko

Wanaharakati ‘wawaangukia mawakili wanawake

  WATETEZI wa haki za binadamu nchini Tanzania, wametoa wito kwa mawakili wanawake kuwa mstari wa mbele katika kushughulikia kesi zinazohusu maslahi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Mahindi Kenya Vs Tanzania: Zitto aonesha njia

  WAKATI Serikali ya Tanzania ikilalamikia hatua ya Kenya kuzuia mahindi yake kuingia nchini humo, Zitto Kabwe ameshauri diplomasia itumieke. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

COVID-19: Prof. Lipumba ‘watu wana hofu’

  PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) amesema, wataalamu na wanasayansi Tanzania wamekuwa na hofu ya kueleza hali halisi kuhusu...

Habari za Siasa

CCM ya tetea wazawa miradi ya ujenzi

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Tabora kimeiomba serikali kuwapa kipaumbele wazawa katika miradi ya ujenzi nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora…(endelea). Kauli...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Chadema: Serikali itoe taarifa sahihi za corona, chanjo

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Serikali ya Tanzania, kupima na kutoa takwimu za maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Manispaa Temeke matatani, Magufuli aagiza uchunguzi

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli amenusa ufisadi wa Sh.19 bilioni, Manispaa ya Temeke, Mkoa wa Dar es Salaam na kuagiza Taasisi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mafao ya wastaafu: Magufuli awanyooshea kidole mawaziri “hamuwasiliani”

  TATIZO la wastaafu nchini Tanzania, kuchelewa kulipwa mafao yao, linasababishwa na baadhi ya mawaziri kutowajibika ipasavyo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Nililetwa hospitali na mtungi wa Oksijeni

  DAKTARI Philip Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango wa Tanzania, ameeleza namna alivyokabiliana na tatizo la upumuaji, kwamba alifikishwa hospitali akiwa na...

Habari za Siasa

Saa 72 za Magufuli Dar

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli atafanya ziara ya kikazi ya siku tatu, jijini Dar es Salaam, kuanzia Jumatano hadi Ijumaa, tarehe 26...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif aliwahi kupigwa mawe Zanzibar –Ismal Jussa

  SAFARI ya Maalim Seif Sharif Hamad, katika harakati za kisiasa Visiwani, haikuwa rahisi. Ilipitia milima na mabonde; miamba na miba; dhuroba na...

Habari

Nape aibiwa bastola Dar, yapatikana Mbeya

  BASTOLA ya Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama (CCM) iliyoibwa tarehe 15 Februari 2021, katika eneo la Kawe Beach, jijini Dar es Salaam,...

Habari za Siasa

Lowassa: Maalim Seif ameacha ombwe kubwa

  WAZIRI Mkuu wa zamani wa Tanzania, Edward Lowassa amemtaja Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar kwamba alikuwa mwanasiasa...

Habari za SiasaTangulizi

Balozi John Kijazi afariki dunia

  KATIBU Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Tanzania, Balozi John Kijazi, amefariki dunia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma. Anaripoti Hamis Mguta,...

Habari za Siasa

Maalim Seif kuzikwa leo Z’bar

  MWILI wa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, aliyefariki leo Jumatano, tarehe 17 Februari 2021, Hospitali ya Taifa...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi ITV afariki dunia

  MWANDISHI wa habari wa televisheni ya ITV na Redio One, Vedasto Msungu amefariki dunia leo Jumatano, saa 11 jioni, tarehe 17 Februari...

Habari za Siasa

Simba, Yanga zamlilia Maalim Seif

  TIMU za Simba na Yanga za jijini Dar es Salaam, zimetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu...

Habari za SiasaTangulizi

Marekani yaomboleza kifo cha Maalim Seif

  UBALOZI wa Marekani nchini Tanzania umesema, Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad (77), alikuwa kiongozi anayeweka mbele watu...

Michezo

Kim Poulsen arejeshwa kuifundisha Taifa Stars

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Kim Poulsen raia wa Denmark (61) kuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ‘Taifa...

Habari MchanganyikoTangulizi

BAKWATA yatoa magizo kuikabili corona

  BARAZA Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA), limeelekeza misikiti yote kufanya maombi maalumu (kusoma dua) kwa ajili ya kumuomba Munga kuliepusha taifa na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Donald Trump atokea tundu ya sindano

  ALIYEKUWA rais wa Marekani, Donald Trump, ameponea chupuchupu kitiwa hatiani, kutokana na madai ya kuchochea vurugu katika jengo la Bunge, tarehe 6...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mil 5 zamtesa Joyce Kiria

JOYCE Kiria, Mwanaharakati wa masuala ya wanawake, anasaka Sh. 5 Mil ili kulipa faini baada ya kuweka maudhui mtandaoni bila kufuata sheria. Anaripoti...

Habari za Siasa

Polepole: JPM hatoongeza muda, itabaki hivyo

HUMPHREY Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema mwenyekiti wake Rais John Magufuli hatoongeza...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Mdee, wenzake: Prof. Safari, Lissu watofautiana

  WAKATI Tundu Lissu, Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akieleza chama hicho ‘kujivuwa’ kuwapeleka mahakamani Halima Mdee na wenzake,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ‘aichana’ serikali

JOSEPH Msukuma, Mbunge wa Shinyanga Vijijini amesema, serikali imekuwa ikiwekeza mabilioni ya fedha katika miradi ambayo haina faida kwa Taifa. Anaripoti Mwamdishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Shule za sekondari, msingi zatangaziwa fursa

Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF), umetangaza kutoa ruzuku ya Sh.5 milioni kwa kila andiko la mradi inayohusiana moja kwa moja na upandaji miti...

Habari Mchanganyiko

Mbunge apigania VETA Manyara

REGINA Qwaray, Mbunge wa Viti Maalum (CCM), ameihoji mkakati wa serikali wa kuongeza bajeti ili kuboresha elimu katika Vyuo vya Ufundi (VETA) mkoani...

Habari Mchanganyiko

‘Tembo, nyati wazua taharuki Selous’

KUTOKANA na wanyama kuongezeka katika Hifadhi ya Mbuga ya Selous, tembo na nyati wanatajwa kuzua taharuki. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Kauli hiyo imetolewa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ebola yaibuka tena Congo

MLIPUKO wa Virusi vya Ebola, umeibuka tena Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Taarifa ya mlipuko huo, imetolewa na...

Habari za Siasa

COVID-19: CUF, ACT-Wazalendo ‘waifuata’ serikali

  SIKU chache kupita baada ya viongozi wa Kanisa Katoliki Tanzania kutoa mwongozo kuhusu kujikinga na maambukizi mapya ya virusi vya corona, Chama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mgunduzi alama wenye ulemavu amwangukia JPM

  JUTORAM Kabatele Mahala, ni Mtanzania aliyebuni alama sita za barabarani kwa ajili ya kuwalinda makundi ya watu wenye walemavu barabarani ambazo zinatumika...

Habari Mchanganyiko

Miaka mitano ya mateso kijiji cha Kongo

  NI vuta nikuvute kwa miaka mitano sasa, kati ya wakazi wa Kijiji cha Kongo, Kata ya Yombo wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani na...

Habari za Siasa

Magufuli ampongeza Waziri Aweso, amuonya ‘ningekufukuza’

  RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amemuagiza Waziri wa Maji, Jumaa Aweso kutowachekea wakandarasi wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Takukuru yaitunuku tuzo MwanaHALISI TV

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imeitunuku tuzo Kampuni ya Hali Halisi Publishers Limited (HHPL), kwa kutambua mchango katika...

Habari za SiasaTangulizi

Ziara ya JPM: DED Kahama anusurika, aipandisha hadhi

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemsamehe kumfuta kazi, Anderson Msumba, Mkurugenzi wa Halmshauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga aliyetuhumiwa kununua gari kinyume...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 314 uhamiaji wakamatwa Dar

VYOMBO vya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, imewakamata watuhumiwa 314 wa uhamihaji haramu, ambao watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma...

Habari Mchanganyiko

Waziri Gwajima awanyooshea kidole wezi wa dawa, asema…

WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Dk. Dorothy Gwajima amewaonya watumishi wa afya wanaoiba dawa, wakibainika watafukuzwa kazi pamoja na kunyang’anywa taaluma zao. Anaripoti...

error: Content is protected !!