Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kafulila na Katambi ‘out’, Ma DC, DAS wateuliwa
Habari za Siasa

Kafulila na Katambi ‘out’, Ma DC, DAS wateuliwa

David Kafulila, Aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe
Spread the love

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameendelea kufanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wakiwemo Katibu Tawala Mkoa wa Songwe (RAS), Wakuu wa Wilaya (DC) na Wakurungezi wa Halmashauri (DED).

Pia, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejenti ya Utumishi wa Umma, George Mkuchika ameteua makatibu tawala wa wilaya (DAS).

          Soma zaidi..

Baadhi ya wateule wake anaowaweka kando ni kuwapa ruksa ya kwenda kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020.

Soma hapa chini taarifa kamili ya uteuzi iliyotolewa na jana Ijumaa tarehe 17 Julai 2020 na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ya Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!